Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

betplay

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

WAUGUZI BADILIKENI KATIKA UTOAJI HUDUMA ZENU

Written by Alex Sonna

Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA) akifunga Kikao kazi cha Viongozi wauguzi kilichofanyika leo mkoani Kilimanjaro.

Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Elianeth Kiteni akiwasilisha mada katika kikao kazi cha Viongozi wauguzi kilichofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro.

Baadhi ya Viongozi wauguzi wakifatilia mijadala mbalimbalia katika kikao kazi cha viongozi wauguzi kilichofanyika leo Moshi- Kilimanjaro.

Baadhi ya Viongozi wauguzi wakifatilia mijadala mbalimbalia katika kikao kazi cha viongozi wauguzi kilichofanyika leo Moshi- Kilimanjaro.

Baadhi ya Viongozi wauguzi wakifatilia mijadala mbalimbalia katika kikao kazi cha viongozi wauguzi kilichofanyika leo Moshi- Kilimanjaro.

Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Prof. Lilian Mselle (Kwanza Kulia) akijadiliana na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Agness Mtawa leo wakati wa kikao kazi cha viongozi wauuguzi Mkoani Kilimanjaro.

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania Agness Mtawa akiwasilisha mada katika kikao kazi cha Viongozi wauguzi kilichofanyika leo Moshi, mkoani Kilimanjaro.

Muuguzi Mkuu wa Serikali, Bi. Ziada Sellaha akifungua Kikao kazi cha Viongozi wauguzi kilichofanyika leo mkoani Kilimanjaro

………………………………

Na. WAF- KILIMANJARO
Wauguzi nchini wametakiwa kubadili fikra zao katika utendaji kazi ili kuleta ubora wa huduma kwa wateja wanaowahudumia katika vituo vyao vya kazi.

Wito huo umetolewa leo na Muuguzi Mkuu wa Serikali, Bi Ziada Sellah Mkoani Kilimajaro wakati wa ufunguzi wa Kikao kazi cha Viongozi wauguzi ambapo amesema wauguzi wanatakiwa kuona wagonjwa kama wafalme wakati wa kuwahudumia ili wakawe mabalozi wao katika kazi wanazofanya kazini.

Bi. Ziada Amesema kuwa mtu yeyote bila kubadili fikra hata kama anauelewa wakutosha hawezi kuonekana kama muuguzi au mkunga anayeka wodini na kutoa huduma.
“Ili kufikia maleng yetu katika kuhudumia wananchi lazima kutoa huduma kwa usawa kama tulivyofundishwa katika maadili ya kazi na bila kuangalia unayemuhudumia ni nani kwani kesho utahitaji huduma ya muuguzi mwenzako”, amesisitiza Bi. Ziada

“Wauguzi mnapotekeleza majukumu yenu mvae viatu vya mteja unayemuhudumia kwa wakati huo alafu piga picha ni ndugu yako yuko mbali nawe anahudumiwa na mtu mwingine” amesema Bi. Ziada

Bi. Ziada amesema kuwa Wauguzi Viongozi wanaposimamia wauguzi wenzao wakumbuke kusimamia maswala mazima ya huduma kwa mteja, kubadili fikra na kusimamia maadili ya kazi ili kuboresha utendaji kazi na viongozi wawe mfano wa kuigwa.

“Niwasii sana katika kuelekea siku ya wauguzi Duniani inayofanyika 12 Mei mwaka huu hapa mkoani Kilimanjaro twende tukabadilike na tusimamie wanafunzi wanaokuja kufanya masomo yao kwa vitendo kufata maadili ya uuguzi kama tulivyofundishwa”ametoa rai Bi. Ziada.

Kwa upande wake Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), Alexander Baluhya amesema lengo la kikao kazi hicho ni kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili taaluma na kuangalia namna ambavyo wanaweza kuzitatua ili kuimarisha ushirikiano katika maswala mazima ya kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

“Katika kuelekea siku ya Wauguzi Duniani Tarehe 12 Mei,2022 Kitaifa maadhimisho haya yatafanyika Moshi- Kilimanjaro ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majali” ameeleza Baluhya

Baluhya amesema kuwa Kauli mbiu ya Mwaka huu ni “Wauguzi ni sauti inayoongoza wekeza na Heshimu haki za watu kwa maboresho ya huduma za afya kwa wote”.

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Agnes Mtawa amewakumbusha watalaamu hao kujitambua kwa kuwasilisha taarifa zao kwa baraza kila baada ya kutoka masomoni ili kuwa na taarfa sahihi za muuguzi husika.

Mwenyekiti wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Prof. Lilian Mselle amewataka wataalamu hao kujitathimini katika utendaji kazi wao ili kuleta ubora na ufanisi katika kazi ya uuguzi wodi.

“Tukifanya kazi zetu kwa welidi changamoto ndogondogo tunazotupiwa wauguzi azitakuwepo basi tufanye kazi kwa weledi na kufata maadili ya kazi yanavyo taka”, amesisitiza Prof. Lilian.

Naye Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Elianeth Kiteni amesema kuwa wauguzi ni uti wa mgongo katika mfumo mzima wa huduma za afya akibainisha kwamba ili kufikia adhima hiyo wanapaswa kufuata miiko ya uuguzi katika kutekeleza majukumu yao kwa ufasaha na kuongeza tija katika utoaji huduma kwa wananchi wanao nufaika na huduma za afya.

About the author

Alex Sonna