marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

grandpashabet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

Grandpashabet Güncel Adres

vdcasino

betvole

Featured Kitaifa

WAZIRI BASHUNGWA AIBUA ‘MADUDU’ WILAYANI BUNDA

Written by Alex Sonna

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Mhe. Innocent Bashungwa akiongea na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika ziara yake ya kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri hiyo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Innocent Bashungwa akitoa maagizo kwenye kikao na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi,akizungumza wakati wa kikao cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Innocent Bashungwa  na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara.

Baadhi ya Viongozi walishiriki kikao ha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa wakisikiliza maagizo kwenye kikao na Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara

………………………………..

Na Angela Msimbira, OR-TAMISEMI

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhe. Innocent Bashungwa amesema kumekuwa na mdororo mkubwa wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara hali inayopelekea kucheleweshwa kwa maendeleo katika halmashauri hiyo.

Akizungumza kwenye kikao na menejimenti pamoja madiwani walipotembelea halmashauri kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa, Waziri Bashungwa amesema kwenye suala la ubovu wa miradi imeonekana kwenye ujenzi wa jengo la utawala vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya shilingi milioni 283. 83 vimelipiwa, lakini havijapokelewa na halmashauri na havijulikani vilipo.

Ameendelea kufafanua kuwa, kwa upande wa Mhandisi wa Mradi SUMA JKT kutokuwepo kwenye eneo la mradi huo kwa muda mrefu hali inayopelekea jengo hilo kutokamilika kwa wakati na si jambo jema.

Bashungwa amefafanua kuwa,pia kumekuwa na ucheleweshaji na usimamizi mbovu wa miradi ya maendeleo katika halmashauri hiyo.

Waziri Bashungwa amesema, inashangaza kwenye upande wa kujibu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali,halmashauri kufanya maamuzi bila idhini ya bodi ya wazabuni zaidi ya shilingi milioni 108. 5 na kushindwa kuchukua hatua kwa mapato ambayo hayakuwasishwa benki zaidi ya shilingi milioni 144. 1.

Sambamba na kushindwa kukusanya mapato yenye thamani ya shilingi milioni 154. 6 sawa na asilimia 11 ya lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 1. 4.

Waziri Bashungwa amesema, hoja nyingine kubwa ni halmashauri kushindwa kupeleka fedha za mapato ya ndani katika miradi ya maendeleo ya shilingi milioni 260. 7 hivyo ameitaka kuhakikisha inapeleka fedha kulingana na bajeti iliyopangwa.

Amesema kuwa, pia halmashauri ilifanya malipo bila kudai risiti za kielektroniki zaidi ya shilingi milioni 782.

About the author

Alex Sonna