Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

holiganbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

holiganbet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

MAZUNGUMZO YA FAMILIA YANACHANGIA KUONDOKANA NA MASUALA YA UKATILI

Written by Alex Sonna

 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasili katika soko la Mbezi Luis leo Mei 7,2022 na kuongea na baadhi ya wananchi wa aneo hilo kuelekea Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa.  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na mmoja wa wafanyabiashara wa soko la Mbezi Luis leo Mei 7,2022 Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wafanyabiashara wa mbogamboga katika soko la Mbezi Luis leo Mei 7,2022 Jijini Dar es Salaam kuelekea Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa Tamko Namba 47/237 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la tarehe 20 Septemba, 1993.  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza na wananchi wa Soko la Mbezi Luis kuelekea Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa Tamko Namba 47/237 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la tarehe 20 Septemba, 1993.  Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akisisitiza jambo wakati akizungumza na wananchi wa soko la Mbezi Luis kuhusu kuelekea Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa Tamko Namba 47/237 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la tarehe 20 Septemba, 1993.   Baadhi ya wananchi wa soko la Mbezi Luis wakimsikiliza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akizungumza kwenye na wananchi wa soko hilo.

(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)

**************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema mazungumzo ya familia yanasaidia kuimarisha ulinzi kwa mtoto dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vinaendelea kuongezeka nchini.

Ameyasema hayo leo Mei 7,2022 wakati alipofanya ziara katika Soko la Mbezi Luis Jijini Dar es salaam na kuzungumza na wananchi katika kuelekea Siku ya Kimataifa ya Familia (Mei 15) ambayo hudhimishwa na nchi zilizo Wanachama wa Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa Tamko Namba 47/237 la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la tarehe 20 Septemba, 1993. 

Akizungumza na wananchi katika eneo hilo Waziri Gwajima amesema Mazungumzo ya Familia yakifanyika kwa weledi yana tija kubwa katika kuleta maendeleo ya kiuchumi kwa familia na maendeleo ya mtoto katika nyanja za elimu, lishe, afya, maadili na utamaduni. 

“Mazungumzo ya familia yanaimarisha mahusiano na ushirikiano katika familia na hivyo kupunguza athari za migogoro ya ndoa ambayo kwa kiasi kikubwa inakwamisha maendeleo ya familia”. Amesema 

Aidha Waziri Gwajima amesema kwa kuwa na siku hii ya Mazungumzo ya Familia itawakumbusha wadau umuhimu wa familia na bila shaka itasaidia kujenga utamaduni wa wanafamilia kukutana na kujadiliana juu ya masuala yanayowahusu bila shinikizo kutoka nje ya familia.

Kwa upande wa wananchi wamechangia mawazo yao huku wengi wao wakisema tatizo la kuharibika kwa mtoto kitabia hutokana na malezi ya wazazi wao.

Bw.Samweli Muhonge ambaye ni Mwalimu wa Elimu Jumuishi kwa watoto wenye usonji na upofu, amesema changamoto ambayo ipo kwasasa hivi tumeacha malezi jumuishi ya jamii na kuwaachia familia husika, pale mtoto anapofanya tukio au jambo linalokwenda kinyume na maadili asisubiriwe mama au baba wa mtoto huyo mpaka yeye kuchukua hatua.

“Wazazi mara nyingi tumekuwa tupo kwenye mihangaiko ya kila siku kwahiyo ni jukumu la jamii nzima kuona kila mmoja anachangia kumjenga mtoto ambaye kesho ni kiongozi na tunnapokaa kimya, dosali yoyote itakayopatikana sio kosa la baba wala mama ni la jamii nzima”. Amesema 

Nae Bi.Mwajuma Mohamed amesema malezi bora yanaondoka kutokana na wazazi kuacha malezi bora ya zamani kwani mtoto akifanya kosa kuna ulazimu wa mtu yoyote kutoa adhabu asisubiriwe mzazi wake ndie atoe adhabu.

About the author

Alex Sonna