marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

kocaeli escort

izmit escort

escort bayan

matbet

sekabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

bahiscasino

betoffice

marsbahis

perabet giriş

interbahis

grandbahis

betpipo giriş

imajbet

betpipo

grandbahis giriş

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

betparibu, betparibu giriş

zirvebet, zirvebet giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

meritking

jojobet

holiganbet

meritking güncel giriş

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betine

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

Starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

casibom giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Milanobet

jojobet

grandpashabet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

pokerklas

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

betmarino giriş

perabet

betmarino

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pokerklas

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

elitbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

casibom

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu 2026

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

sekabet giriş

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MBUNGE MTATURU ALILIA KITUO CHA POLISI IKUNGI

Written by Alex Sonna

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameomba mambo matatu kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwemo kituo cha Polisi katika wilaya ya Ikungi na kuahidi kushika Shilingi endapo hatopata jibu la kuridhisha kuhusu ombi hilo.

Mtaturu ametoa maombi hayo Mei 5,2022,Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Akichangia mjadala huo Mtaturu amesema kituo cha polisi kilichopo Ikungi kimeanza ujenzi katika miaka saba iliyopita.

“Ndani ya bunge hili nimeuliza maswali sio chini ya mara tatu kuulizia kituo kile na majibu yamekuwa ni yale yale,kwenye kituo cha polisi kinachotumika sasa hivi mnaweza kusema ni stoo, sio kituo cha polisi chenye hadhi ya jeshi la polisi ,

“Nimeona hapa imetajwa ndani ya bajeti na Mh Masauni tuliongea na wewe umeshafika pale 2018 ukiwa Naibu Waziri ,nikuombe sana kama sitopata majibu yakutosheleza kwa hakika kwa mara ya kwanza nitashika shilingi ili nipate ufafanuzi wa kutosha juu ya kituo cha Ikungi lakini na vituo vingine nchini, nini mkakati wa serikali katika kuhakikisha vituo hivyo vinajengwa na kuweka hadhi ya jeshi la polisi ambalo linafanya kazi vizuri sana,”alisisitiza.

Jambo la pili aliloliomba Mtaturu ni kuhusu vyombo vya usafiri ambapo kwa mujibu wa ukubwa wa eneo la Ikungi magari yaliyopo ni chakavu na hayakidhi mahitaji.

“Tumeambiwa hapa wilaya ya Ikungi ina Kilomita za mraba 5,800 ni wilaya kubwa lakini ina magari mawili ambayo ni chakavu sana,ukihitaji leo waende waka attend tukio lolote wanaweza wakaenda ,lakini kabla hawajarudi wanaambiwa tukio lingine limetokea,kwa hiyo hawawezi kuwahi matukio mbalimbali,”alisema.

Amesema yeye mbunge alishawahi kuwachangia pikipiki mbili ili kupunguza makali hayo na hivyo kumuomba Waziri awapatie gari katika mgao wa magari .

“Niombe angalau watuongezee gari lingine moja ili kumsaidia OCD aweze kufanya kazi vizuri yeye na watu wake,lakini pia kwenye hili ni OC ya mafuta,tunategemea nini tunapokuwa tunaamini tunawawekea ration ndogo sana ya mafuta kwa mwezi,

“Unategemea huyu OCD atafanyaje kazi kilomita 300 kwenda na kurudi kila siku kwa matukio ,itakuwa niajabu sana unaruhusu aka attend matukio wakati hujamuwezesha ,niombe waziri tuwaongezee bajeti ili polisi waweze kufanya kazi yao vizuri na kuweza kuokoa watanzania na mali zao,”alisisitiza.

Suala la tatu ambalo ameliomba ni kuhusu mafao ya polisi ambao wanafanya kazi nzuri na kwa uzalendo mkubwa.

“Na kama ulivyosikia mishahara yao ni midogo lakini inapofika amestaafu mafao yake hayapati kwa wakati,hii inashangaza sana mtu amefanya kazi zaidi ya miaka 30 lakini siku anastaafu unaenda kumuomba vielelezo vya kudai mafao yake, hili Mh Spika sio sawa,

“Niwaombe serikali iweze kuona namna ya kuwasaidia wazee wetu hawa waweze kuendelea kuishi vizuri na wengine wanapostaafu wanakufa haraka kwa sababu wanachelewa kulipwa mafao yao,”aliongeza.

PONGEZI KWA WAZIRI.

Mtaturu amempongeza Waziri wa wizara hiyo Mhandisi Hamad Masauni na wasaidizi wake kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuhakikisha usalama wa nchi kama walivyokasimiwa madaraka na Mh Rais Samia Suluhu Hassan.

“Wizara hii ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi yetu kama hakuna usalama hakuna maendeleo kwa hiyo haya tunayoshauri lengo letu ni kuhakikisha usalama wa Tanzania na kwa hakika waweze kufanya kazi yao vizuri,mfano mzuri panya road wameweza kuharibu sana amani ya wananchi katika maeneo ya Dar es salaam,”alisema.

PONGEZI KWA SPIKA.

Mtaturu amempongeza Spika Dkt Tulia Ackson kwa kuruhusu mjadala wa bei ya mafuta kuendelea bungeni na kusema alichofanya ni jambo kubwa katika Taifa.

“Leo asubuhi umefanya jambo kubwa katika Taifa la kuweza kuruhusu mjadala ambao una maslahi makubwa katika Taifa letu,tumepata salamu nyingi kutoka kwa watanzania kwamba bunge sasa linaenda kuishauri serikali na kwa muda muafaka na tunategemea maagizo yako yatatekelezwa,”alipongeza.

About the author

Alex Sonna