Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

Featured Kitaifa

MAADHIMISHO SIKU YA MALARIA DUNIANI YAFANYIKA DIDIA SHINYANGA, SERIKALI YATAKA WANANCHI KUCHUKUA HATUA

Written by Alex Sonna

 

Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga  akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.

 

Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Serikali Mkoa wa Shinyanga imewataka watoa huduma katika vituo vya afya kuboresha huduma za matibabu na kutoa elimu ya kutambua dalili za Malaria na jinsi ya kujikinga ili kupunguza kiwango cha maambukizi na vifo ambavyo vinaweza kuzuilika kwa kuweka nia ya pamoja ya kutokomeza Ugonjwa wa Malaria.
 
 
Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga wakati akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema kwenye Maadhimisho ya Kilele cha Malaria Mkoani Shinyanga ambayo yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia halmashauri ya Shinyanga.
 
 
Kiswaga pia amevitaka Vituo vya afya vihakikishe vinatoa huduma za upimaji wa malaria kwa wagonjwa wote wenye homa kabla ya kuanzishia matibabu ya malaria “maana sio kila homa ni malaria”.
 
Aidha Kiswaga amezihimiza Halmashauri za wilaya kutekeleza mikakati ambayo inawekwa na Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria ili kupunguza madhara na vifo na hatimaye kutokomeza Malaria na kwamba elimu ya Afya itolewe kwa jamii kuhusu kuwahi matibabu mapema na kuondoa imani potofu kuhusu matumizi ya vyandarua vyenye viuatilifu vya muda mrefu.
 
“Malaria ni kati ya magonjwa ambayo taifa hutumia rasilimali nyingi katika kupambana nao. Ili kutokomeza Malaria, wananchi tumieni vyandarua vyenye viuatilifu vya muda mrefu kwa kujikinga na mbu wakati wa kulala na sio vinginevyo, kuvulia samaki ,kufugia vifaranga vya kuku,kutumia kama kamba za mifugo,kutumia kama kamba za nguo n.k”,amesema Kiswaga.
 
 
Katika hatua nyingine, Kiswaga ameeleza kuwa Takwimu zinaonesha kuwa katika mkoa wa Shinyanga halmashauri ya Wilaya ya Ushetu inaongoza kwa kuwa na maambukizi asilimia 45.2 ya Malaria ambapo mwaka jana 2021 maadhimisho ya siku ya malaria kimkoa yalifanyika katika halmashauri hiyo ikifuatiwa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga 43.1% ambapo Mwaka huu 2022 kilele cha maadhimisho kimkoa yamefanyikia.
 
Amesema kwa upande wa Halmashauri zingine , Halmashauri ya Wilaya ya Msalala inaongoza kwa maambukizi ya Malaria kwa 37% ,Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 27.5%, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga 20.5% na Halmashauri ya Mji Kahama 19.8%.
 
“Kutokana na takwimu hizo ndiyo maana mkoa umeamua kwa Mwaka huu 2022 kufanya madhimisho haya katika halmashauri ya Shinyanga ili wananchi muweze kujua ukubwa wa tatizo na kujua jinsi ya kulikabili”,amesema Kiswaga.
 
 
“Serikali inatumia rasilimali zake nyingi kudhibiti ugonjwa huu, hivyo basi tuzitumie ili kuboresha afya zetu kwa faida ya familia na taifa kwa ujumla kwa kuhakikisha tunapunguza kiwango cha maambukizi na vifo vitokanavyo na malaria”,ameongeza Kiswaga.
 
Kiswaga amesisitiza wananchi kusafisha mazingira wanayoishi kwa kufyeka nyasi, kufunika madimbwi ya maji, kutoa makopo au vifuu vinavyoweza kutuamisha maji, kuzibua mifereji ya maji ili kuondoa mazalia ya mbu pamoja na Halmashauri kunyunyizia viuadudu katika maeneo yote yenye mazalia ya mbu.
 
Aidha amewakumbusha wananchi kulala kwenye chandarua chenye dawa ya viuatilifu na Mama mjamzito apate dozi za SP kliniki kipindi cha ujauzito.
 
Kwa upande wake, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas amesema Malaria ni ugonjwa unaoambukizwa baada ya kuumwa na mbu jike aina ya Anofelesi aliyebeba vimelea vya Malaria toka kwa mtu mwenye vimelea na kwenda kwa mtu asiye na vimelea mara pale anapomuuma mtu huyo na kwamba maambukizi hayo huleta madhara makubwa na vifo katika jamii.
 
 
Dkt. Ndungile pia amewataka wananchi kuwahi mapema kwenye vituo vya afya pindi waonapo dalili za malaria ili kupata matibabu sahihi na kumaliza matibabu yote.
 
 
Dkt. Ndungile amezitaja dalili za ugonjwa wa malaria kuwa ni homa, maumivu ya kichwa, kutapika, kuharisha, mwili kuchoka/kuregea na kukosa nguvu na kukosa hamu ya kula.
 
Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani mkoa wa Shinyanga yakiongoza na kauli mbiu “Matokeo ya Sensa,Msingi wa Mapambano Dhidi Ya Malaria – Ziro Malaria Inaanza na Mimi” pia yamehudhuriwa na wadau wa afya Kanisa la KKKT Dayosisi ya Kusini Mashariki ya Ziwa Victoria kupitia Idara ya afya ya jamii Uinjilisti ambao wanatekeleza mradi wa kutokomeza malaria katika Halmashauri ya Shinyanga.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkuu wa
wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga yakiongozwa na kauli mbiu “Matokeo ya Sensa, Msingi wa Mapambano dhidi ya Malaria – Ziro Malaria inaanza na Mimi’. Picha zote na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga
Kaimu Mganga Mkuu Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt. Damas Mnyaga Nyansira akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga
Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga  akipiga picha na wacheza ngoma ya Ugoyangi wakiwa na nyoka kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
MC Mama Sabuni akiuliza maswali kwa wanafunzi na wananchi kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika  katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mwanafunzi wa shule ya Sekondari Don Bosco Didia, Jane Johnson baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mwanafunzi wa shule ya Sekondari Don Bosco Didia, Bryan Mathias baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Diwani wa kata ya Didia Mhe. Richard Luhende (kulia) akimkabidhi zawadi cha Chandarua mkazi wa Didia Said Ramadhan baada ya kujibu vyema swali kuhusu Malaria kwenye Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wanafunzi wa shule ya Msingi Didia wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wageni waalikwa wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mcheza ngoma ya Ugoyangi akicheza na nyoka wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mcheza ngoma ya Ugoyangi akicheza na nyoka wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi na wanafunzi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wageni waalikwa wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Wananchi na wanafunzi wakifuatilia matukio wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
MC Mama Sabuni akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani ambayo katika Mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Jumatatu Aprili 25,2022 katika kijiji cha Didia kata ya Didia Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna