Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

RIPOTI YA CAG INAONYESHA MAKUSANYO YA SH.BILIONI 17 HAYAJAPELEKWA BENKI

Written by Alex Sonna

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo April 12,2022 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu  uwasilishaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni,2021.  

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere,akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo April 12,2022 jijini Dodoma mara baada ya kutoa taarifa kuhusu  uwasilishaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni,2021.  

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC) Mhe.Grace Tendega,akizungumza mara baada ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere,kutoa taarifa kuhusu  uwasilishaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni,2021 leo April 12,2022 jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia hotuba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere,(hayupo pichani) leo April 12,2022 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu  uwasilishaji wa ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa Fedha ulioishia tarehe 30 Juni,2021. 

……………………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa mwaka wa fedha ulioishia June 30 2021 inaonesha  wakusanya mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 147 hawakuwasilisha benki makusanyo yanayofikia jumla ya shilingi bilioni 17.

Pia,Mashirika 14 ya kibiashara yanajiendesha kwa hasara ikiwemo    Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na  Shirika la Posta Tanzania (TPC).

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Aprili 12,2022 Jijini hapa mara baada ya asubuhi kuiwasilisha ripoti hiyo bungeni,Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema wakusanya mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 147 hawakuwasilisha benki makusanyo yanayofikia jumla ya shilingi bilioni 17.

MASHIRIKA 14 YANAJIENDESHA KIHASARA

Kichere amesema  kwa miaka miwili 2019-2020 na 2020-2021 mashirika 14 ya kibiashara yalipata  hasara mfululizo.

“Hali hiyo ilisababishwa na hasara kwenye uwekezaji uliofanywa,ufanisi duni wa mashirika husika na udhibiti hafifu wa mapato na matumizi,”amesema.

Amesema kampuni ya ATCL kwa mwaka 2020-2021 imepata hasara ya sh. Milioni 36,499.20 na mwaka 2019-2020 ilipata hasara y ash.milioni 60.

C.A.G amesema Kampuni ya Biotech Production kwa mwaka 2020-2021 imepata hasara ya sh. Milioni 14,779.56 na mwaka 2019-2020 ilipata hasara ya sh.milioni 15,073.79.

Ameyataja Makampuni mengine yaliyojiendesha kwa hasara ni Kampuni ya Mkulazi,Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL),Kiwanda cha Kimataifa cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro,(KILC),Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC),Shirika la uuzaji bidhaa Tanzania (EPZA).

Pia,Kampuni ya Kuzalisha nguo za umeme za zege Tanzania (TCPM),Shirika la Posta Tanzania (TPC),Kampuni ya Nyumba za watumishi (Watumishi Housing),Kampuni ya T-PESA kampuni tanzu ya TTCL,Kampuni ya uwekezaji ya PPF,DCC,Kampuni ya uchapishaji ya Chuo Kikuu Dar es salaam (DUP) na Kampuni ya Umeme ya Kikuletwa.

C.A.G amesema hati za ukaguzi zinaonesha katika Mamalaka za Serikali za Mitaa kati ya hati 185 zinazoridhisha ni  178 zenye shaka sita,hati mbaya ni moja.

HATI MBAYA NA ZENYE MASHAKA

Amesema Mashirika ya umma 195 yenye hati zinazoridhisha ni 185 yenye hati zenye  shaka ni  nane hati mbaya hakuna na yaliyoshindwa  kutoa maoni ni  mawili.

Kwenye Serikali Kuu amesema  kati ya hati 308 hati zinazoridhisha ni 305 zenye shaka mbili,hati mbaya moja na hakuna ambayo imeshindwa kutoa maoni.

HALMASHAURI

Amesema Halmashauri zilizopata hati zenye mashaka ni ya Wilaya ya Kisarawe,Longido,Mlele,Musoma,Halmashauri ya Sengerema na Bunda.

Kwa upande wa Mashirika ya Umma ameyataja yenye hati zenye mashaka ni pamoja na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Geita,Taasisi ya Mifupa Muhimbili,Mamlaka ya Bandari Tanzania,Kampuni ya Magazeti ya Tanzania,Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).

Amesema kwa upande wa Serikali kuu,Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) imepata hati yenye mashaka pamoja na Hesabu Jumuifu za Taifa huku Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) likipata hati mbaya.

Aidha,C.A.G amesema wakusanya mapato katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 147 hawakuwasilisha benki makusanyo yanayofikia jumla ya shilingi bilioni 17.

Pia,Mawakala wa kukusanya mapato katika Mamkala za Serikali za Mitaa 12 hawakupeleka benki makusanyo ya shilingi bilioni 3.31 kinyume na mikataba yao.

“Ninapendekeza kwamba Tamisemi iongeze usimamizi wa mapato na kuhakikisha makusanyo yanapelekwa benki bila kuchelewa,”amesema.

Vilevile,amesema Mamlaka ya Serikali za Mitaa 24 zilitumia sh.milioni 664 katika matumizi yasiyo na manufaa kama vile malipo kwa riba na adhabu za kuchelewesha malipo na posho kwa watumishi wasiostahili.

Aidha,Mamkala za Serikali za Mitaa 61 ziliagiza na kulipa sh bilioni 8.44 kwa ajili ya bidhaa ambazo hazikuwasilishwa  na wazabuni kwa muda wa hadi kufikia miezi 24.

About the author

Alex Sonna