Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

casinomaxi

casinomaxi giriş

betturkey giriş

betturkey

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

betgar, betgar giriş

monobahis, monobahis giriş

korsan taksi istanbul, istanbul korsan taksi

betsat

jojobet

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

superbetin

jojobet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

sweet bonanza oyna

Ankara escort

kingroyal

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

kulisbet, kulisbet giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis giriş

sweet bonanza siteleri

Canada Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

sweet bonanza

jojobet giriş

betflix

betflix

deneme bonusu

grandpashabet

matbet

marsbahis

imajbet

teosbet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

jojobet

marsbahis

jojobet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet

marsbahis giriş

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

mavibet giriş

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking

meritking

marsbahis güncel giriş

meritking

jojobet

jojobet güncel

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

pusulabet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet giris

jojobet para çekme

jojobet güncel

jojobet giris

jojobet giris

jojobet

primebahis

otobet

otobet giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

Bet365 Giriş

casinomaxi

casinomaxi giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

tarafbet

robinbet

tipobet

holiganbet

porno izle

bets10

porno izle

runtobet

runtobet giriş

1xbet

caddebet, caddebet giriş

meritbet

holiganbet

jojobet erişim

jojobet adres

jojobet para yatırma

jojobet giris

marsbahis

jojobet adres

jojobet oyunlar

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet son giriş

jojobet canlı bahis

jojobet aninda

jojobet bonuslar

jojobet bahis

jojobet casino

jojobet adres

jojobet telegram

giriş jojobet

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

jojobet vip giriş

jojobet tik giriş

jojobet adres

jojobet gir

marsbahis giriş

güncel giriş burada jojobet

jojobet telegram

jojobet heyecan

jojobet telegram

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

nerobet

meritking

marsbahis, marsbahis giriş

monobahis, monobahis giriş

deneme bonusu

jojobet giriş

Deneme Bonusu

ligobet

jojobet

https://sjconsultors.com/

lunabet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

Pusulabet

betbox

casibom

meritking giriş

meritking

dedektör

vdcasino

marsbahis

jojobet

Deneme Bonusu VDS Kiralama

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

bets10

bets10 giriş

extrabet giriş

grandpashabet

dental implants turkey

mavibet

artemisbet

setrabet

jojobet

jojobet giriş

maritbet

holiganbet

grandpashabet

mavibet

lunabet

lunabet giriş

izmit escort

kingroyal

Featured Kitaifa

MRADI WA SITT WAONGEZA UFAULU KWA ASILIMIA 30

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Idara ya Elimu na Mafunzo CWT, Stella Kiyabo,akizungumza wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Mhadhiri na Mtafiti kutoka Chuo Kikuu cha Bern, Idara ya Uchumi na Utafiti nchini Uswisi, Dk.Konstantin Büchel,akiwasilisha matokeo ya tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma. 

Mkurugenzi wa Shirika la Helvetas nchini, Annet Witteveen,akizungumzia jinsi walivyoamua kuingia kwenye mradi huo kuungana na CWT baada ya kuona kuna uhitaji wa kuendeleza elimu nchini.

Mbunge wa Urambo (CCM) Magreth Sitta na Mwenyekiti wa Kamati ya ushauri wa Mradi wa SITT,akizungumza kwenye Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu CWT Maganga Japhet ,akizungumza wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Mmoja wa walimu walionufaika na mafunzo hayo, Mwalimu Diana Zakaria kutoka Shule ya Msingi Ololieni Mkoa wa Arusha,akielezea mradi huo ulivyowajengea uwezo wa kufundisha wanafunzi wengi wanaokuwa kwenye chumba kimoja kwa kuwaweka kwenye makundi mbalimbali na kufundisha zaidi ya mada moja.

Meneja Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) Donatian Marusu,akielezea mradi huo ulivyosaidia ufaulu kweye  Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Mdhibiti ubora wa Shule za Wilaya ,Robert Assey,akielezea mradi unavyosaidia wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Afisa Elimu Kondoa Mjini Yovin Mtawa,akitoa ushuhuda wa mradi SITT  wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Katibu wa CWT Mkoa wa Tabora Digna Nyaki,akichangia mada wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

Mratibu Elimu TAMISEMI Riaz Abbeid,,akizungumza wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

SEHEMU ya washiriki wakifatilia mada mbalimbali wakati wa Warsha ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

PICHA ya pamoja mara baada ya Kupokea taarifa ya Tathmini ya Utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji Elimu uitwao Inclussive School-based In-service Teacher Training (SITT) unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas jijini Dodoma.

………………………………

Na Alex Sonna-DODOMA

MATOKEO ya tathmini ya Mpango wa uboreshaji elimu kupitia mafunzo ya ualimu kazini (SITT) uliotelekezwa kwenye shule 408 za msingi nchini yameonesha kuongezeka kwa ufaulu wa alama za juu kwa asilimia 30.

Kutokana na matokeo hayo, Chama cha Walimu nchini(CWT) kimetoa wito kwa serikali kutoa mafunzo hayo ili kuwa na walimu mahiri na wabunifu nchini.

 Mkuu wa Idara ya Elimu na Mafunzo CWT, Stella Kiyabo, ameyasema hayo leo jijini Dodoma kwenye kikao kazi cha kupokea taarifa ya tathmini ya mradi huo unaofadhiliwa na CWT kwa kushirikiana na Shirika la Helvetas.

Amesema mradi huo unafundisha walimu mbinu rahisi za kufundishia masomo ya Hisabati, Kiingereza, Sayansi na unajihusisha na masuala ya afya na mazingira.

“Tumetaka wafanye kazi zao kwa urahisi bila kuogopa mada yeyote kwa madai kuwa ni ngumu, CWT inaionesha serikali umuhimu kuwa na mafunzo kazini kwa walimu,”amesema.

Awali akiwasilisha matokeo ya tathmini hiyo, Mhadhiri na Mtafiti kutoka Chuo Kikuu cha Bern, Idara ya Uchumi na Utafiti nchini Uswisi,  Dk.Konstantin Büchel, amesema SITT imeongeza ufaulu wa alama za juu kwa asilimia 30 huku kufeli kukipungua kwa asilimia 10.

Amesema  idara hiyo hufanya utafiti wa masuala ya maendeleo na elimu kwenye nchi mbalimbali ambapo kupitia Shirika la Helvetas  wamefanya tathmini ya mradi wa SITT.

“Tuliamua kufanya utafiti ili kuona matokeo ya mradi huu katika shule mbalimbali, tulishirikiana na Helvetas Tanzania katika kufanya tathmini kwenye Wilaya za Mbulu, Karatu, Mbulu Mji na Siha ambapo tulishirikisha walimu, wanafunzi, viongozi  ambapo wameonesha kufurahia mradi na wapo tayari kuubeba na kuendeleza zaidi kwa ajili ya manufaa ya wanafunzi na walimu,”amesema.

Amesema katika tathmini waliyowafanya wamegundua mradi unaleta tija katika ufundishaji na ujifunzaji kutokana na walimu kushirikiana, kuwa huru kufundisha na wanawapa wanafunzi nafasi kubwa kama chanzo cha maarifa.

“Tumeona ushirikishaji huo wa wanafunzi shule za mradi zimefanya vizuri katika matokeo ya mtihani wa darasa la saba na la nne, na tumegundua ongezeko la alama za juu yaani A na B zimeongezeka katika shule za mradi kwa asilimia 30 na kufeli kumekupungua kwa asilimia 10, hivyo mradi unaonesha kuleta tija ikilinganishwa na maeneo mengine,”amesema.

Naye, Meneja Mradi huo, Donatian Marusu, amesema mradi huo umefikia shule 408 na walimu 892 kwenye mikoa ya Dodoma, Shinyanga, Tabora, Singida, Arusha, Manyara na Kilimanjaro.

“Pia kupitia vyuo vya ualimu tumefikia vyuo 12, tumetoa mafunzo juu ya mbinu shirikishi za ujifunzaji, vitendo na ubunifu wa zana zinazopatikana kwenye mazingira yao, hivyo kupitia mpango wa SITT tumeona matokeo mazuri ni mradi unaofaa tunaomba wadau washirikiane na Helvetas kupanua mradi na kufikia maeneo mengine,”amesema.

Mkurugenzi wa Shirika la Helvetas nchini, Annet Witteveen, amesema waliamua kuingia kwenye mradi huo kuungana na CWT baada ya kuona kuna uhitaji wa kuendeleza elimu nchini.

Amesema kuna haja ya kupeleka mradi huo kwenye mikoa mingine ya Lindi, Geita, Mtwara na Morogoro ili kuwahakikisha wananchi wanapata mbinu mbalimbali za ufundishaji.

Mmoja wa walimu walionufaika na mafunzo hayo, Mwalimu Diana Zakaria kutoka Shule ya Msingi Ololieni Mkoa wa Arusha, amesema mradi huo umewajengea uwezo wa kufundisha wanafunzi wengi wanaokuwa kwenye chumba kimoja kwa kuwaweka kwenye makundi mbalimbali na kufundisha zaidi ya mada moja.

“Mradi wa SITT unamfanya mwalimu kujishusha kuwa sawa na wanafunzi ili kutambua matatizo mbalimbali ya wanafunzi na kuzitatua hii imesaidia kuongeza ufaulu,”amesema.

Mwalimu huyo amesema mafunzo hayo yamemsaidia kufundisha wanafunzi wa kike namna ya kutengeneza taulo za kike za asili hali ambayo imesaidia kuongeza mahudhurio kwa wanafunzi.

Ametoa wito kupanua wigo wa mradi huo ili kwenda mikoa yote nchini kwa kuwa mbinu na elimu ya hedhi ni muhimu ili kuongeza ufaulu na kuwa na wanafunzi mahiri.

About the author

Alex Sonna