Featured Kitaifa

SPIKA DKT.TULIA ATETA NA BALOZI WA ALGERIA NCHINI

Written by mzalendoeditor

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akizungumza na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiagana na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Algeria Nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal leo Aprili 5, 2022 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

About the author

mzalendoeditor