marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

izmit escort

izmit escort

izmit escort

cashwin

palacebet

meritking giriş

kavbet

bets10 giriş

holiganbet

holiganbet

teosbet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

ngsbahis

betlike

parmabet

mislibet

mislibet

artemisbet

nitrobahis

jojobet

jojobet

kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

vdcasino, vdcasino giriş

kralbet, kralbet giriş

alobet, alobet giriş

jojobet

restbet

jojobet

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet güncel giriş

holiganbet giriş

Nitric Boost

bahiscasino giriş

betebet

Featured Kitaifa

SHAKA:’CCM HAITOMBAGUA RAIA YEYOTE KATIKA KUTOA HUDUMA ZA KIJAMII’

Written by Alex Sonna

Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde akiwa na wanachama wa CCM Mkoa wa Dodoma wakiwa katika maandamano ya amani yaliyofanyika leo Machi 31,2022 jijini Dodoma.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, akizungumza na baadhi ya wanachama wa CCM walioshiriki kwenye maandamano ya amani ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwakaribisha wajumbe wa CCM kutoka maeneo tofauti nchini yaliyofanyika leo Machi 31,2022 jijini Dodoma.

Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde, akizungumza na baadhi ya wanachama wa CCM walioshiriki kwenye maandamano ya amani ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwakaribisha wajumbe wa CCM kutoka maeneo tofauti nchini yaliyofanyika leo Machi 31,2022 jijini Dodoma.

Baadhi ya Wasanii walioshiriki kwenye mapokezi ya Wajumbe wa CCM mkoani Dodoma.

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka akiwa na Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde wakiwatazama wananchi waliokuwa wanaingia katika Viwanja wa Nyerere Square kwenye kuwapokea wajumbe wa CCM mkoani Dodoma.

Mbunge wa Viti Maalumu Dodoma Mjini Mariam Ditopile (kushoto) akiteta jambo na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka,(kulia) wakati wa mapokezi ya Wajumbe wa CCM mkoani Dodoma ambayo yalifanyika kwa maandamano ya amani.

Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde akimsikiliza mmoja kati ya wananchi waliojitokeza kwenye mapokezi ya Wajumbe wa CCM mkoani Dodoma.

………………………………

Na Bolgas Odilo, Dodoma.

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kuendelea kutoa huduma zote za kijamii kwa wananchi wake bila kujali utofauti wa itikadi za vyama kwa kuwa ubaguzi sio msingi wa chama hicho.

Kauli hiyo imetolewa leo Machi 31,2022 jijini Dodoma na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, wakati akizungumza na baadhi ya wanachama wa CCM walioshiriki kwenye maandamano ya amani ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwakaribisha wajumbe wa CCM kutoka maeneo tofauti nchini.

“Chama hiki tangu kimezaliwa mwaka 1977 kutoka kwa vyama anzilishi TANU na ASP tulipitia katika nyakati tofauti tofauti za uongozi mpaka kufikia awamu hii ya sita lakini huko kote Chama hiki hakijapata kutoa huduma kwa misingi ya ubaguzi wa aina yeyote ile kwa sababu sio asili yetu.

“CCM chini ya uongozi wa Samia Suluhu Hassan tutaendelea kutoa huduma za kijamii bila kujali itikadi ya mtu, ukabila kwasababu hiyo sio sera ya chama hiki.

“Kupitia awamu hii ya sita wasanii wameanza kupata mirabaha yao, hiyo ndiyo serikali ya Chama cha Mapinduzi na bado mambo mengine makubwa yanakuja,” alimalizia Shaka.

Kwa upande wake Mwenyeji wa Maandamano hayo Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde ameshukuru na kupongeza jitihada ambazo zinaendelea kufanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika uongozi wake.

“Dodoma tunamshukuru sana mheshimiwa Rais kwa kazi kubwa ambayo ameifanya hapa Dodoma, ametupa heshima kubwa sana na Dodoma inang’ara hivi sasa.

“Mheshimiwa Rais ametuletea Shilingi Bilioni 20 tunajenga barabara za lami ndani ya jiji la Dodoma kuanzia Shoppers Plaza mpaka stendi ya Job Ndugai lakini pia tunajengewa barabara ya mzunguko na mambo mengi yanakuja Dodoma.

“Tupo tayari kufanya nae kazi muda wowote na vijana wa Dodoma tuko tayari kwa jambo lolote kwaajili yakulinda Chama chetu na kumlinda Rais wetu,” alihitimisha Mavunde.

Nao wanachama pamoja na viongozi wa chama waliojitokeza kwenye mapokezi hayo hawakusita kuonesha uungaji mkono kwenye jitihada zinazoendelea kufanywa na Rais Samia.

About the author

Alex Sonna