MzalendoBlog
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala
Mzalendo
  • Habari
    • Kitaifa
    • Kimataifa
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala

Home » AJALI:WATU SITA WAFARIKI DUNIA TANGA

Featured • Kitaifa

AJALI:WATU SITA WAFARIKI DUNIA TANGA

3 years ago
by mzalendoeditor
174 Views
Written by mzalendoeditor

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Tanga, Safia Jongo amesema watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari aina ya fuso lenye namba T239 AFB walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kutumbukia kwenye korongo katika eneo la barabara ya Soni/Mombo wilayani Lushoto mkoani humo.

Akizungumza naΒ  leo Machi 29, 2022 Kamanda Safia amesema ajali hiyo imetokea leo asubuhi.

    FacebookXGoogle+PinterestLinkedIn
ZAIDI YA WANANCHI 22,000 WA NYANGAO – MTAMA KUPATA MAJI SAFI NA SALAMA
UKAME WAUA MIFUGO 92,047 SIMANJIRO

You may also like

Featured • Kitaifa

π—ͺπ—œπ—­π—”π—₯𝗔 𝗬𝗔 π—˜π—Ÿπ—œπ— π—¨ π—¬π—”π—§π—˜π—§π—” 𝗑𝗔 π—¨π—’π—‘π—šπ—’π—­π—œ 𝗠𝗣𝗬𝗔 π—§π—”π— π—’π—‘π—šπ—¦π—–π—’

Featured • Kitaifa

DKT.MADELE AREJESHA FOMU YA UBUNGE DODOMA MJINI

Featured • Kitaifa

HUDUMA ZA AFYA ZABORESHA MAISHA KAGERA,SHULE NA UMEME...

Featured • Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI...

Featured • Kitaifa

REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI...

Featured • Kitaifa

MTANZANIA WA DIASPORA ABDALLAH NYALIGWA ACHUKUA FOMU...

About the author

mzalendoeditor

View all posts

Copyright © 2025. Mzalendo Blog - Design by Yatosha Web Services.

  • Habari
  • Michezo
  • Burudani
  • Makala