marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet giriş

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

sapanca escort

sapanca escort

vdcasino

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

bets10

milanobet

holiganbet

casibom

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

ultrabet, ultrabet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

superbetin

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

holiganbet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

aaa

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

taksimbet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

bets10

Milanobet

jojobet

cratosroyalbet

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

padişahbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

cratosroyalbet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

jojobet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

esbet

vdcasino

bets10 giriş

perabet

efesbet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

zirvebet

superbetin

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

imajbet

imajbet giriş

jojobet

casibom

casibom

jojobet güncel giriş

casibom

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

celtabet

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

galabet, galabet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

roketbet, roketbet giriş

betsat

holiganbet

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

betist

betist

Featured Kitaifa

DC MOYO: KUREJESHWA MAHAKAMA KATA YA MABOGA HAKUTOATHIRI SHUGHULI ZA MAHAKAMA YA IFUNDA

Written by Alex Sonna

Mkuu Wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amewakikishia Wakazi Wa Tarafa ya Kiponzero kuwa kurejeshwa Kwa shughuli za kimahakama katika Kata ya Maboga hakutoathiri shughuli za kimahakama zinazoendelea kata ya Ifunda.

Mkuu Wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akiwasikiliza viongozi wa vijiji na kata katika tarafa ya Kiponzero juu ya ukarabati jengo la Mahakama na ujenzi wa choo katika mahakama hiyo iliyopo katika kijiji cha Kiponzero 

 

Na Fredy Mgunda,Iringa.

 

Mkuu Wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amewakikishia
Wakazi Wa Tarafa ya Kiponzero kuwa kurejeshwa Kwa shughuli za kimahakama katika
Kata ya Maboga hakutoathiri shughuli za kimahakama zinazoendelea kata ya
Ifunda.

 

Akizungumza na viongozi wa vijiji na kata za Tarafa ya Kiponzero
Mkuu wa Wilaya huyo alisema kuwa alipata malalamiko ya kuhamishwa kwa mahakama
kutoka Kiponzero kwenda Ifunda jambo ambalo limenipelekea kulifanyia kazi suala
hilo kushirikiana na mamlaka husika.

 

Alisema kuwa mahakama ya mwanzo Kiponzero itarudi na kufanya
kazi zake katika kijiji cha kiponzero kama ambapo ilikuwa awali na kuwahudumia
wananchi wote wa Tarafa ya Kiponzero

 

Moyo alisema kuwa  kilichobakia ni makubaliano ya wananchi kuanza
kuchangia ujenzi wa choo na kukarabati jingo la mahakama ambapo kinatakiwa
kiasi cha shilingi milioni sita (6,000,000)

 

Alisema kuwa viongozi wa vijiji vyote kumi na tano wamekubali
kuchangia kiasi cha shilingi lakini nne (400,000) na mwisho wa michango ya
wananchi ni tarehe 30/4/2022 ili zoezi la ukarabati na ujenzi wa choo uanze
mara moja.

 

Moyo alisema kuwa Mahakama iliyopo Ifunda itaendelea na shughuli
zake Wakati huo huo Mahakama ya mwanzo ya Kiponzero pia itakuwa ikitoa huduma
kwa lengo la kusaidia wananchi kupata huduma za kimahakama kwa urahisi zaidi.

 

Alisema kuwa Tarafa ya Kiponzero inajiografia ngumu kidogo hivyo
serikali imeamua kuwa wananchi ambao wapo karibu na mahakama ya Ifunda
wataendelea kupata huduma za kimahakama Ifunda hivyo hivyo na wananchi waliopo
karibu na kijiji cha Kiponzero nao watapata huduma hiyo.

 

katika kikao hicho viongozi wa Tarafa hiyo wamekubaliana Kwa
pamoja Ili kufanikisha Ukarabati wa jengo la Mahakama ya Kiponzero Wananchi
watachangia kiasi cha shilingi milioni sita na kinachosalia kitatolewa
idara ya mahakama.

 

Aidha mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo alisema kuwa
ametembelea ujenzi wa ofisi ya Afisa Tarafa ya Kiponzero na ujenzi unaendelea
vizuri na hivi karibuni ofisi hiyo itaanza kufanya kazi.

 

Moyo alisema kuwa baada ya wiki mbili wananchi wa Tarafa ya
Kiponzero wataanza kupata huduma kutoka kwa Afisa Tarafa katika makao makuu ya Tarafa
hiyo katika kijiji cha Kiponzero.

 

Aliwaomba wananchi kumuombea dua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Samia Suhulu Hassan ili aweze kuwaletea maendeleo na huduma
zote muhimu karibu na wananchi.

 

Nao baadhi ya wenyeviti na watendaji wa vijiji,kata na Tarafa
hiyo wamesema kuwa wamefurahishwa na kitendo cha serikali ya awamu ya sita
chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suhulu Hassan
kuamua kuwasogezea huduma ya kimahakama karibu yao.

 

Walisema kuwa kulingana na ukubwa wa Tarafa hiyo kulikuwa
kunawatesa baadhi ya wananchi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za
kimahakama ili kupata haki zao ambazo wanakuwa wanazidai kisheria.

 

Amina said ni m kazi wa kijiji cha Maboga alisema kuwa wamekuwa
wakinyimwa haki zao za msingi kwa kuwa mahakama ilikuwa mbali na maeneo yao
kiasi kwamba kesi nyingi walishindwa kuzifaatili kutokana na kutumia gharama
kubwa kufuata huduma hiyo.  

 

About the author

Alex Sonna