marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sapanca escort

escort sapanca

holiganbet

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

palacebet

madridbet

marsbahis

imajbet giriş

interbahis

klasbahis

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

pusulabet, pusulabet giriş

betgar, betgar giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet

restbet

bets10

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

royalbet

trimology review

jojobet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

kingroyal

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

setrabet

Madridbet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

superbetin

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

casibom giriş

jokerbet

jokerbet giriş

imajbet

imajbet giriş

interbahis giriş

imajbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

porno izle

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

porno izle

Hacklink Panel

teosbet

vdcasino

bets10 giriş

interbahis

goldenbahis

imajbet

interbahis giriş

klasbahis

interbahis giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

royalbet giriş

jojobet

holiganbet

bets10

trust score weak 3

holiganbet

slot siteler

deneme bonusu 2026

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

ilbet

ilbet giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

primebahis

alobet, alobet giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

royalbet

tarafbet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

padişahbet

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

meritking

betoffice

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

herabet

casibom

Featured Kitaifa

JELA MIEZI SITA KWA UDANGANYIFU WAKATI WA ZOEZI LA USAILI NAFASI ZA UHANDISI UJENZI

Written by Alex Sonna

Mahakama ya Wilaya ya Dodoma imewatia hatiani waombaji kazi wawili Mabula Edward Kanga pamoja na Joel Johnson Kimatare baada ya kufanya udanganyifu wakati wa zoezi la usaili kwa nafasi za Uhandisi Ujenzi uliofanyika  tarehe 08 Mei, 2021 katika Ukumbi Wa Chuo Kikuu cha UDOM. 

Kutokana na umakini unaofanywa na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma wakati wa uratibu wa michakato ya ajira,  walifanikiwa kumkamata msailiwa Joel Johnson Kimatare ambaye alifika katika eneo hilo kwaajili ya kumfanyia usaili Bwana Mabula Edward Kanga. 

Mabula Edward Kanga aliitwa kufanya usaili 8/5/2021 uliofanyika katika Chuo Kikuu cha Dodoma kwa nafasi ya Mhandisi-Ujenzi kwaajili ya taasisi ya Watumishi Housing Company na badala yake akamtuma Joel Johnson Kimatare kumfanyia usaili huo akitambua ni kosa kisheria. Ndugu Joel Johnson Kimatare alipofika kufanya usaili, alikaguliwa vyeti na kuhurusiwa kuingia ndani ya chumba cha usaili wa kuandika na kwa makusudi alikwenda kukaa pasipo kujisajili kwenye orodha ya wasailiwa akihofia kukamatwa. 

Baada ya usaili, maofisa wa Sekretarieti ya Ajira walihakiki idadi ya wasailiwa waliojisajili kabla ya usaili na idadi ya wasailiwa baada ya usaili nakubaini uwepo wa msailiwa mmoja ambaye hakuwa amejisajili. Maofisa hao walimtaka msailiwa ambaye hakuwa amejiandikisha asimame ili ahudumiwe na ndipo Bwana JoelJ ohnson Kimatare alisimama na kujitambulisha kwa jina la Mabula Edward Kanga. Alipotakiwa kutoa vyeti vyake na kitambulisho, ndipo ikabainika kuwa yeye anaitwa Joel Johnson Kimatare na sio Mabula Edward Kanga. Baada ya kukamatwa, mtuhumiwa Joel Johnson Kimatare alichukuliwa naj eshi la polisi na kufunguliwa kesi iliyohitimishwa tarehe 28 Februari, 2022 katika mahakama ya Wilaya ya Dodoma kwa kuwatia hatiani watuhumiwa wote wawili.

Kesi hiyo ya jinai Na. 46 ya Mwaka 2021 ilifunguliwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Dodoma tarehe 16 Mei 2021 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi D.J Mpelembwa na watuhumiwa walikutwa na hatia baada ya mahakama kujiridhisha na maelezo ya mashahidi na vielelezo vilivyowasilishwa mahakamani.

Akitoa ushahidi wake, Naibu Katibu anayesimamia masuala ya TEHAMA na ambaye kwasasa ni Kaimu Katibu wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye aliieleza mahakama kuwa yeye ni Msimamizi wa Mfumo wa Ajira portal ambao umemtambua Mabula Edward Kanga kuwa ndiye aliyeomba kazi za Uhandisi Ujenzi kwaajili ya Watumishi Housing company na kwamba namba ya usaili ilitumwa kwenye akaunti yake. Hivyo, nidhahili kuwa wawili hao waliwasiliana ili kuweza kupeana namba za usaili ambazo Joel Johnson Kimatare alizitumia wakati wa usaili wa kuandika. Pia, Afisa Utumishi wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bwana Ally Mnyimwa aliieleza mahakama  kuwa, alimruhusu Ndg. Joel Johnson Kimatare kuingia ndani ya chumba cha usaili baada ya kumkagua vyeti mlangoni kabla ya Joel kuwakwepa maofisa waliokuwa wakikagua vitambulisho kabla ya kuwasainisha kwenye karatasi ya mahudhurio na kwenda kuketi kusubiri kufanya usaili wa kuandika.

Baada ya Mahakama  kuwatia hatiani watuhumiwa wote wawili, Mwendesha mashtaka wa Serikali Mhe. Meshack Lyabonga aliiomba mahakama kutoa adhabu kali kwawatuhumiwa ili iwe fundisho kwa wengine kwani vitendo hivyo vinatia aibu kwa vijana wasomi katika jamii yetu.

Katika kesi hiyo, Washitakiwa wote wawili walikiri kufanya makosa hayo nakuiomba mahakama iwasamehe kwakuwa ilikuwa ni mara yao ya kwanza kufanya kosa hilo.  Mtuhumiwa wa kwanza ambaye ni Mabula Edward Kanga baada ya kutiwa hatiani, aliiomba mahakama imhurumie kwani anao watoto wane na wote wakimtegemea na mtuhumiwa wa pili Joel Johnson Mabula aliiomba mahakama imruhumie kwani alikuwa akimuuguza mama yake mzazi.

Tarehe 28/02/2022 Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Dodoma ilitoa hukumu ya kifungo cha nje miezi sita kwa washitakiwa wote wawili. Aidha, Hakimu Mkazi Mwandamizi D.J Mpelembwa amewataka kutokufanya makosa ndani ya kipindi hicho cha miezi sita tangu kutolewa kwa hukumu hiyo. 

Kaimu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Mhandisi Samwel Tanguye amewaasa waombaji fursa za ajira nchini kuacha tabia ya udanganyifu wakati wa michakato ya ajira kwani inaweza kuwaondolea sifa za kuajiriwa ndani ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa Kaimu Katibu huyo, Ndg.Mabula Edward Kanga na Joel Johnson Kimatare wamepoteza sifa za kuajiriwa katika Utumishi wa Umma. 

About the author

Alex Sonna