marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

Grandpashabet

türk ifşa

İkimisli

casinofast

bets10

bahibom

marsbahis

betsin

celtabet

casino zonder cruks

Uncategorized

MUST YATAKIWA KUENDELEZA BUNIFU ZA WANAFUNZI 

Written by Alex Sonna

Na WyEST,MBEYA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeutaka uongozi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuendeleza bunifu za wanafunzi wa chuo hicho pamoja na kulinda maslahi ya wabunifu hao ili ubunifu wao uweze kutambulika na kumnufaisha mbunifu na Taifa.
 
Hayo yamesemwa mkoani Mbeya na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Stanslaus Nyongo (Mb) mara baada ya Kamati hiyo kukagua miradi ya ujenzi na kuoneshwa ubunifu mbalimbali wa wanafunzi wa chuo hicho.

Miradi ya ujenzi iliyokaguliwa na Kamati hiyo ni ya karakana na maabara, maktaba na mabweni ambayo yote imetengewa bajeti ya Shilingi bilioni sita katika mwaka wa fedha 2021/2022.

“Mbali ya miradi ya ujenzi tuliyokagua, tumevutiwa sana na baadhi ya bunifu za wanafunzi wa chuo hiki. Uongozi wa chuo hakikisheni mnalinda maslahi yao ili kuwe na utambulisho rasmi kuwa teknolojia au bidhaa hii imebuniwa na mwanafunzi fulani hatimae imnufaishe yeye na Taifa,” amesema Mhe. Nyongo.

Katika hatua nyingine Kamati hiyo imekitaka chuo hicho kuongeza idadi ya udahili wa wanafunzi wa kike na kukishauri kutumia kitengo chake cha masoko kuhamasisha kuhusu suala hilo.

“Tumeona katika taarifa yenu idadi ya wanafunzi wa kike ni ndogo, tunasisitiza watoto wa kike wahamasishwe kujiunga na chuo hiki kwa kutumia kitengo cha masoko,” amesisitiza Mhe. Nyongo.
 
Naye Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Omari Kipanga (Mb) akiongea kwa niaba ya Waziri Mhe. Adolf Mkenda amesema kupitia fedha za mradi wa HEET chuo cha MUST kimetengewa jumla ya Shilingi bilioni 41.2 ambazo zitatumika kuboresha miundombinu ya chuo hicho.

Kuhusu uchache wa wanafunzi wa kike chuoni hapo, Mhe. Kipanga amefafanua kuwa utafanyika mkakati wa kutembelea shule za sekondari zenye wanafunzi wa kike wa mchepuo wa sayansi ili kuwaelezea umuhimu wa kozi za sayansi na kuwahamasisha kujiunga na kozi hizo.

“Ni kweli tuna changamoto ya upungufu wa watoto wa kike katika kozi za sayansi chuoni hapa, lakini kupitia shule za sekondari zaidi ya 25 za wanafunzi wa kike za mchepuo wa sayansi zinazojengwa na Serikali, tunaamini tutapata watoto wengi watakaojiunga na vyuo vya sayansi kikiwemo hiki cha MUST,” amefafanua Mhe. Kipanga.

Naye Makamu Mkuu wa chuo cha MUST, Prof. Aloys Mvuma amesema katika mwaka wa masomo 2021/22 chuo kilidahili jumla ya wanafunzi 8,398, kati yao wanafunzi wa kike ni 1,939 sawa na 23.4% na wakiume 6,459 sawa na 76.6%.

Ameongeza kuwa wamepokea maelekezo na ushauri wote uliotolewa na Kamati hiyo na kuahidi kwenda kuyafanyia kazi kwa kushirikiana na Wizara.

Kwa upande wake Makamu wa Rais wa Serikali ya chuo (MUSTISO), Gloria Chambo ameiomba Serikali kuharakisha uboreshaji wa miundombinu ya chuo hicho hususan maabara kwa kuwa kozi za sayansi zinategemea sana uwepo wa maabara ili wanafunzi wapate elimu bora.

About the author

Alex Sonna