slot siteleri

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

deneme bonusu veren siteler

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

sapanca escort

google algoritma hack

escort sapanca

jojobet

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

jojobet

grandpashabet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

teosbet

madridbet

marsbahis

artemisbet giriş

artemisbet giriş

klasbahis

mavibet giriş

mavibet

klasbahis

goldenbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

pusulabet giriş

alobet, alobet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

holiganbet giriş

restbet

casibom

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

timebet

trimology review

holiganbet

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

holiganbet

jojobet

holiganbet

jojobet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet giriş

jojobet

jojobet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet

supertotobet giriş

tipobet

Pusulabet

grandpashabet giriş

Jojobet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

deneme bonusu veren siteler

trendbet

jojobet güncel giriş

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

bets10

bets10 giriş

zirvebet

Milanobet

casibom giriş

slot siteleri

deneme bonusu

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

holiganbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet giriş

artemisbet

kavbet

matbet

savoybetting

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

istanbul escort

deneme bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

betsat

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

page

Hacklink Panel

palacebet

vdcasino giriş

bets10 giriş

artemisbet

mavibet

imajbet

artemisbet

klasbahis

artemisbet giriş

kralbet giriş

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

bets10

timebet giriş

casibom giriş

holiganbet

jojobet

trust score weak 3

jojobet giriş

slot siteler

deneme bonusu 2026

kavbet

kavbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu veren siteler

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

primebahis

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

madridbet

bets10

ilbet

ilbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritking

timebet

Piabet

casino siteleri

bets10 güncel giriş adresi

betsat

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

zahnimplantate türkei

Ankara escort

Marsbahis - Marsbahis Giriş

güvenilir bahis siteleri

deneme bonusu veren siteler

vdcasino giriş

mavibet

kulisbet, kulisbet giriş

grandpashabet

lunabet

norabahis

betasus

padişahbet

Google Search Console giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

dental implants turkey

holiganbet giriş

dental implants turkey

full mouth dental implants turkey

casibom

casinowon

wbahis

betpuan

sekabet

bahiscasino

vdcasino giriş

vdcasino

Featured Kitaifa

THTU YAWEKA WAZI MAFANIKIO YA RAIS SAMIA KATIKA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA

Written by Alex Sonna

MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) Dk.Paul Loisulie,akizungumzia mafanikio ya Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ndani ya mwaka mmoja.

…………………………………………………….

Na Bolgas Odilo-DODOMA

CHAMA cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), kimetaja mambo saba ambayo yamefanywa ya serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ndani ya mwaka mmoja ikiwamo upandishwaji wa madaraja kwa watumishi wanaostahili.

Mwenyekiti wa THTU Taifa, Dk.Paul Loisulie ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mwaka mmoja wa Rais Samia kwa wafanyakazi hao.

Dk.Loisulie amesema Rais Samia ameondoa mateso ya Bodi ya Mikopo uliowatesa wafanyakazi kwa miaka kadhaa kwa kuondoa tozo ya kutunza thamani ya mkopo  ambayo ilikuwa inaongeza mkopo kila mwaka badala ya kupunguza.

Amesema kiburi cha madaraka kwa wakuu na watendaji wa taasisi kimepungua, kuongezeka kwa amani na utulivu ofisini mwa wafanyakazi kutokana na mabadiliko hayo.

“Awali, wafanyakazi wengi walikuwa katika hali ya uoga na njia panda kutokana na vitisho, pia kufufuka kwa matumaini ya maboresho ya mishahara iliyosimamishwa kupandishwa kwa miaka mitano iliyotangulia, hii ni baada ya kutoa ahadi ya kuboresha maslahi ya mishahara katika sherehe za Mei Mosi jijini Mwanza mwaka 2021,”amesema.

Dk.Loisulie amesema kuendelea kulipwa malimbikizo ya mishahara na maslahi mengine kwa awamu mbalimbali na kuongeza kwa umri wa wanufaika wa Bima ya Afya kutoka miaka 18 hadi 21.

MATARAJIO YAJAYO

Mwenyekiti huyo amesema wafanyakazi wana matumaini makubwa na Rais Samia atazitafutia ufumbuzi kero zao ambazo wameziwasilisha kwa maandishi kwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi mwishoni mwa mwaka 2021.

“Katika andiko hilo tulilowasilisha, tulichambua kwa kina kila suala kwa kuonesha chanzo chake, madhara, namna ya kutatua na tija itakayopatikana baada ya kutatuliwa, baadhi ya masuala hayo ni malalamiko juu ya marekebisho ya Sheria ya Utumishi wa Umma kuhusu muda wa kustaafu watumishi wanataaluma,”amesema.

Amesema malalamiko yaliyojitokeza kwa watumishi wa Umma yanayolenga Waraka wa Msajili wa Hazina namba sita wa mwaka 2015 ambao unaleta athari kubwa kwa mishahara ya wafanyakazi waendeshaji wa mkondo wa PGSS.

“Kukosekana kwa Sheria ya Kazi na miongozo ya serikali inayoweka viwango vya mishahara katika sekta binafsi ya Taasisi za Elimu ya Juu, Masuala yaliyobakia kupatiwa ufumbuzi katika Bodi ya Mikopo likiwemo suala la ushirikishaji wa vyama vya wafanyakazi kwenye Bodi ya Bodi ya Mikopo ya wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB)  na mengine machache,”amesema.

Pia ametaja mambo mengine ni ucheleweshwaji wa mafao kwa waastaafu, kukosekana kwa fao la huduma ya afya baada ya kustaafu na kusitishwa kwa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi.

“Pia mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma ambayo inaleta athari kwa taratibu za nidhamu kwa watumishi wa umma kwa sababu ya matumizi mabaya,”amesema.

Kuhusu nyongeza ya mishahara, Mwenyekiti huyo amesema ilikwama kwa miaka sita sasa na wana matumaini lipo ndani ya uwezo wa Rais Samia kutokana na kauli aliyoitoa mwaka jana wakati wa sherehe za Mei Mosi mkoani Mwanza kwamba ambapo aliahidi nyongeza kwa mwaka huu.

“Sisi wafanyakazi kwa tunaunganisha nguvu zetu za sala na dua kwa Mama ili aweze kutafuna fupa hili sugu,Tunaamini liko ndani ya uwezo wake na Mungu yupo pamoja nae, zipo faida nyingi za kuongeza mishahara kwa wafanyakazi kijamii, kisiasa na kiuchumi,”amesema.

About the author

Alex Sonna