Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

perabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Uncategorized

KAMATI YA BUNGE YAISHAURI TEMESA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akishauri jambo kwa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), hawapo pichani, wakati Kamati hiyo ikikagua miradi ya ukarabati wa vivuko vya MV. Sabasaba na MV. TEMESA jijini Mwanza. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, akisikiliza jambo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Ujenzi, Ludovick Nduhiye, wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ikikagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) jijini Mwanza. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Selemani Kakoso (Mb).

Mkurugenzi wa Huduma za Matengenezo na Ufundi, kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Mhandisi Hassan Karonda, akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakati kamati hiyo ikikagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya TEMESA jijini Mwanza.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakiwa kwenye picha ya pamoja ndani ya Kivuko cha MV. TEMESA, kinachokarabatiwa jijini Mwanza. Wa nne kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya.

Picha na WUU

……………………………………………….

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mheshimiwa Seleman Kakoso (Mb), amewaongoza wajumbe wa kamati hiyo, kukagua miradi ya ukarabati wa  karakana na vivuko inayosimamiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Mwanza na kuushauri Wakala huo kujiendesha kibiashara.

Kamati hiyo imekagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya TEMESA mkoa wa Mwanza unaogharimu Shilingi Milioni 500.7, ambao utekelezaji wake umefikia asilimia 70 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Aprili mwaka huu, ambapo hadi sasa tayari Mkandarasi wa mradi huo ameshalipwa kiasi cha shilingi Milioni 300.

Wakizungumza katika kikao cha majumuisho wajumbe wa Kamati hiyo ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wameishauri TEMESA kujitathmini na kuweka mikakati ya kujiendesha kibiashara sambamba na kununua vitendea kazi vya kisasa vya karakana, kuajiri mafundi wenye ujuzi, kununua vipuri vya kutosha, na kukamilisha kazi za wateja kwa kuzingatia ubora na ndani ya muda stahiki.

“Mtendaji Mkuu ibadilishe TEMESA ili iweze kujiendesha, Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye Wakala huu, na hivyo ni vizuri ukaajiri mafundi wa kutosha na wenye ujuzi, sambamba na kuboresha mazingira ya utendaji kazi ili TEMESA iweze kutoa huduma inayolingana na thamani ya fedha zinazotolewa na wateja wake.” ameshauri Kakoso.

Vile vile kamati hiyo imekagua mradi wa ukarabati wa kivuko cha MV. Sabasaba unaogharimu Shilingi Milioni 239.9, ambapo hadi sasa Mkandarasi ameshalipwa kiasi cha shilingi milioni 150, pamoja na mradi wa ukarabati wa kivuko cha MV. TEMESA kinachotoa huduma kati ya Kirumba na Luchelele jijini Mwanza. Vivuko hivi vyote vinakarabatiwa na Kampuni ya Songoro Marine Boatyard ya jijini Mwanza

Wajumbe hao wameonyesha kufurahishwa na Mkandarasi huyo wa Kitanzania kwa kutekeleza miradi ya ukarabati wa vivuko pamoja na ujenzi wa vivuko vipya. Hata hivyo, wameishauri TEMESA kuhakikisha kuwa Mkandarasi huyo anasimamiwa kwa karibu ili aweze kufanya kazi nzuri zaidi.   

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameiambia Kamati hiyo kuwa kivuko cha MV. Sabasaba kinatarajiwa kupelekwa katika eneo la Kigongo – Busisi kama kivuko mbadala ili kivuko cha MV. Misungwi kifanyiwe ukarabati mkubwa na baadae kivuko cha MV. Sabasaba kitapelekwa kuongeza nguvu katika eneo la Nyakaliro – Kome.

Nae Naibu Katibu Mkuu Ujenzi, Ludovick Nduhiye ameiambia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Wizara itaendelea kuisimamia TEMESA na kuhakikisha kuwa maagizo yote yanayotolewa na kamati hiyo yanatekelezwa kikamilifu ndani ya muda ulioainishwa.

Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya TEMESA jijini Mwanza, Mtendaji Mkuu TEMESA Lazaro Kihalala, ameiambia Kamati hiyo kuwa ukarabati wa Karakana ya Mwanza umelenga kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwenye karakana hiyo. Aidha, ameahidi kuwa ofisi yake itaandaa taarifa za kina za utekelezaji wa miradi wanayoisimamia na kuiwasilisha kwenye kikao cha kamati hiyo Bungeni jijini Dodoma.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iko jijini Mwanza kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali ya Serikali inayotekelezwa jijini humo.

About the author

Alex Sonna