marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

marsbahis giriş

marsbahis

perabet giriş

interbahis

betmarino

betpipo giriş

imajbet

betmarino

casinowon

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

holiganbet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

türk ifşa

deneme bonusu

İkimisli

onwin

betsat

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lordcasino

lordcasino giriş

imajbet

ngsbahis giriş

perabet

ngsbahis

belugabahis

belugabahis giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

vbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

cratosroyalbet

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

lordcasino

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

deneme bonusu

jasminbet

jasminbet giriş

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

deneme bonusu

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

1xbet

casibom giriş

deneme bonusu

Uncategorized

KAMATI YA BUNGE YAISHAURI TEMESA KUJIENDESHA KIBIASHARA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akishauri jambo kwa watendaji wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), hawapo pichani, wakati Kamati hiyo ikikagua miradi ya ukarabati wa vivuko vya MV. Sabasaba na MV. TEMESA jijini Mwanza. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya.

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya, akisikiliza jambo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Ujenzi, Ludovick Nduhiye, wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ikikagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) jijini Mwanza. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Selemani Kakoso (Mb).

Mkurugenzi wa Huduma za Matengenezo na Ufundi, kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Mhandisi Hassan Karonda, akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakati kamati hiyo ikikagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya TEMESA jijini Mwanza.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, wakiwa kwenye picha ya pamoja ndani ya Kivuko cha MV. TEMESA, kinachokarabatiwa jijini Mwanza. Wa nne kulia ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya.

Picha na WUU

……………………………………………….

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Mheshimiwa Seleman Kakoso (Mb), amewaongoza wajumbe wa kamati hiyo, kukagua miradi ya ukarabati wa  karakana na vivuko inayosimamiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), jijini Mwanza na kuushauri Wakala huo kujiendesha kibiashara.

Kamati hiyo imekagua mradi wa ukarabati wa Karakana ya TEMESA mkoa wa Mwanza unaogharimu Shilingi Milioni 500.7, ambao utekelezaji wake umefikia asilimia 70 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Aprili mwaka huu, ambapo hadi sasa tayari Mkandarasi wa mradi huo ameshalipwa kiasi cha shilingi Milioni 300.

Wakizungumza katika kikao cha majumuisho wajumbe wa Kamati hiyo ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wameishauri TEMESA kujitathmini na kuweka mikakati ya kujiendesha kibiashara sambamba na kununua vitendea kazi vya kisasa vya karakana, kuajiri mafundi wenye ujuzi, kununua vipuri vya kutosha, na kukamilisha kazi za wateja kwa kuzingatia ubora na ndani ya muda stahiki.

“Mtendaji Mkuu ibadilishe TEMESA ili iweze kujiendesha, Serikali imewekeza fedha nyingi kwenye Wakala huu, na hivyo ni vizuri ukaajiri mafundi wa kutosha na wenye ujuzi, sambamba na kuboresha mazingira ya utendaji kazi ili TEMESA iweze kutoa huduma inayolingana na thamani ya fedha zinazotolewa na wateja wake.” ameshauri Kakoso.

Vile vile kamati hiyo imekagua mradi wa ukarabati wa kivuko cha MV. Sabasaba unaogharimu Shilingi Milioni 239.9, ambapo hadi sasa Mkandarasi ameshalipwa kiasi cha shilingi milioni 150, pamoja na mradi wa ukarabati wa kivuko cha MV. TEMESA kinachotoa huduma kati ya Kirumba na Luchelele jijini Mwanza. Vivuko hivi vyote vinakarabatiwa na Kampuni ya Songoro Marine Boatyard ya jijini Mwanza

Wajumbe hao wameonyesha kufurahishwa na Mkandarasi huyo wa Kitanzania kwa kutekeleza miradi ya ukarabati wa vivuko pamoja na ujenzi wa vivuko vipya. Hata hivyo, wameishauri TEMESA kuhakikisha kuwa Mkandarasi huyo anasimamiwa kwa karibu ili aweze kufanya kazi nzuri zaidi.   

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameiambia Kamati hiyo kuwa kivuko cha MV. Sabasaba kinatarajiwa kupelekwa katika eneo la Kigongo – Busisi kama kivuko mbadala ili kivuko cha MV. Misungwi kifanyiwe ukarabati mkubwa na baadae kivuko cha MV. Sabasaba kitapelekwa kuongeza nguvu katika eneo la Nyakaliro – Kome.

Nae Naibu Katibu Mkuu Ujenzi, Ludovick Nduhiye ameiambia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kuwa Wizara itaendelea kuisimamia TEMESA na kuhakikisha kuwa maagizo yote yanayotolewa na kamati hiyo yanatekelezwa kikamilifu ndani ya muda ulioainishwa.

Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa miradi ya TEMESA jijini Mwanza, Mtendaji Mkuu TEMESA Lazaro Kihalala, ameiambia Kamati hiyo kuwa ukarabati wa Karakana ya Mwanza umelenga kuboresha mazingira ya utendaji kazi kwenye karakana hiyo. Aidha, ameahidi kuwa ofisi yake itaandaa taarifa za kina za utekelezaji wa miradi wanayoisimamia na kuiwasilisha kwenye kikao cha kamati hiyo Bungeni jijini Dodoma.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iko jijini Mwanza kwa ajili ya kukagua miradi mbali mbali ya Serikali inayotekelezwa jijini humo.

About the author

Alex Sonna