Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

casibom

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

bets10 giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

casibom giriş

holiganbet güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

marsbahis güncel giriş

holiganbet giriş

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

casibom

holiganbet

holiganbet

casibom giriş

matbet giriş

matbet

deneme bonusu

esbet

nesinecasino

holiganbet

bahiscasino

betgit

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

meritking

marsbahis

mavibet

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

romabet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

galabet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

marsbahis

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

casibom giriş

Betsin

enjoybet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

casibom

Betsin Güncel Giriş

holiganbet giriş

casibom güncel giriş

holiganbet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

sonbahis

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

bahisvebahis

Uncategorized

DC MBONEKO AIPONGEZA LIFEWATER KUTEKELEZA KIKAMILIFU MRADI WA MAJI MWANTINI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akinawa mikono kwenye Kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
 
Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko amelipongeza Shirika la Kimataifa la LifeWater International kwa kushirikiana na Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kutekeleza kikamilifu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini,kujenga vyoo na vituo vya kunawia mikono kwenye shule za msingi Jimondoli,Bushoma na Ng’hama zilizopo katika halmashauri ya Shinyanga.
 
Mboneko ametoa pongezi hizo leo Jumatano Machi 16,2022 alipotembelea miradi ya maji katika kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji nchini Tanzania.
 
“Tupo kwenye Wiki ya Maji na kwenye wiki hii ya maji tunapitia, kukagua na kuangalia utekelezaji wa maelekezo ya serikali kwenye upande wa maji,kuna maeneo mheshimiwa Rais ameleta fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi lakini pia kuna maeneo wadau wetu wa maendeleo katika sekta ya maji na wenyewe pia wameshirikiana na sisi kwa hiyo ndiyo tupo kwenye mchakato huo”,amesema Mboneko.
 
“Tunayo furaha kubwa wadau wetu wazuri LifeWater International mmeshirikiana na serikali yetu na upande wa RUWASA kuhakikisha kuwa maji eneo la Mwantini (Mishepo na Bushoma) wanapata maji, hongereni sana na tunawashukuru sana LifeWater. Haya maji tumeyapima ni maji salama, bora kwa kunywa na kuoga na tutaendelea kuyapima mara kwa mara”,amesema Mboneko.
 
Amesema kukamilika kwa mradi huo sasa kutaondoa changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya Bushoma na Mishepo kwa sababu ilikuwa ni kero ya muda mrefu.
“Wakati LifeWater walipokuja ofisini kwangu kujitambulisha na kunieleza kuhusu mradi huu,niliwapa maelekezo. Niliwaambia mkitaka mfanikiwe shirikisheni uongozi wa kwenye kata husika wote, waelewe mradi na watawapa ushirikiano asilimia 100 na nikasema viongozi wote waliopo kwenye ngazi ya serikali, watendaji na wenyewe watoe ushirikiano mtapata mkishirikiana na maafisa tarafa. Ninayo furaha kuona yale niliyowaelekeza wameyafanya. Mradi huu umeenda kama tulivyotarajia”,amesema Mboneko.
Amewataka RUWASA na LifeWater kuendelea kuelimisha wananchi kutunza chanzo cha maji wasifanye shughuli za kilimo ili kiwe endelevu sambamba na kutunza miundombinu ya maji pamoja na Kamati za maji zisimamie mapato vizuri.
 
“Tunawashukuru LifeWater kwa kujenga vyoo katika shule tatu na kuweka sehemu za kunawia mikono za kisasa kabisa. Mradi huu umekuwa wa mafanikio makubwa sana.Watoto wetu wanatumia vyoo bora na maji safi wanayatumia ili wasipate magonjwa mbalimbali. Mmeleta furaha katika jamii yetu”,amesema.
 
“Natumia fursa hii kuwapongeza viongozi wa kata ya Mwantini kwa kusimamia wananchi kushiriki katika mradi kwa kuchimba mitari ili maji yafike kwao, wameokoa shilingi milioni 24”,ameongeza Mboneko.
 
Naye Diwani wa kata ya Mwantini, Mpemba Jilungu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Edward Ngelela wamelishukuru Shirika la LifeWater kwa kushirikiana na RUWASA kuwapatia mradi huo na kwamba wameahidi kuutunza ili uwe endelevu.
 
Akitoa taarifa kuhusu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira kata ya Mwantini, Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara amesema hivi sasa Mkoani Shinyanga wanatekeleza mradi wake wa kwanza wa miaka mitatu kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 katika kata za Mwantini, Mwalukwa na Mwamala katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
 
“Ukarabati na upanuzi wa mradi wa maji ya kisima kirefu Mishepo ulihusisha ufungaji wa Solar Pump mpya na mifumo yake, kutandaza mabomba mapya ya maji kutoka chanzo mpaka kwenye tenki la maji na kupanua mtandao wa maji katika kijiji cha Bushoma (kaya 513) kwa kujenga gati 5. Gati 11 za zamani zilikarabatiwa hivyo kuwezesha mtandao wote kuwa na gati 16 zinazofanya kazi zikihudumia wakazi 4,200”,ameeleza Kamara.
 
“Kukamilika kwa mradi huu kuligharimu jumla ya shilingi za Kitanzania 256,569,000/= ikijumlisha mchango wa jamii ambayo ilichangia kwa kuchimba na kufukia mtaro wa maji urefu wa kilomita 7.36 ambao unakadiriwa kugharimu shilingi 24,000,000/=. Kwa kushirikiana na RUWASA tumeweza kutoa mafunzo kwa kamati 8 za maji na tumetoa mafunzo na vitendea kazi kwa wahudumu wa kujitolea 184 ambao wanaendelea kutoa elimu ya usafi wa mazingira”,ameongeza.
Katika hatua nyingine amesema LifeWater International imefanikiwa kukarabati vyoo vine vyenye jumla ya matundu 29 katika shule za msingi Kilimawe na Hinduki (kata ya Mwantini) na Bunonga (kata ya Mwamala) pamoja na kujenga vituo vya kunawia mikono mashuleni katika shule za msingi Jimondoli, Bushoma na Ng’hama samba na kukamilisha ujenzi wa vyoo vipya vine katika shule za msingi Hinduki,Bunonga na Ng’hama vyenye jumla ya matundu 21.
 
 
“LifeWater International tunajishughulisha na uhamasishaji jamii na kushirikiana na serikali kujenga miundombinu vijijini kwa lengo la kuboresha huduma za maji safi na usafi wa mazingira likilenga jamii, shule za msingi na taasisi za huduma ya afya zilizopo vijijini. Huwa tunatekeleza shughuli zetu kwa kushirikiana na viongozi na wataalamu wa serikali katika ngazi husika”,ameongeza Kamara.
 
ANGALIA PICHA HAPA CHINI
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akiwa katika Gati la maji kijiji cha Mishepo akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) kuhusu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga. Kulia ni Meneja Miradi wa LifeWater International mkoa wa Shinyanga, Benety Malima. Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akiwa katika Gati la maji kijiji cha Mishepo akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (katikati) kuhusu Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akinawa mikono kwenye Kituo cha Kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International. Vituo vingine vimejengwa katika shule ya Msingi Jimondoli na Ng’hama katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara (katikati) akimwelezea Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kuhusu Kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kulia) akiangalia Wanafunzi wakinawa mikono kwenye kituo cha kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza baada ya kukagua Kituo cha Kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International. Vituo vingine vimejengwa katika shule ya Msingi Jimondoli na Ng’hama katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Muonekano upande wa pili wa Kituo cha Kunawia mikono katika shule ya Msingi Bushoma kata ya Mwantini kilichojengwa na Shirika la LifeWater International. Kituo hicho kina sehemu 12 za kunawia mikono
Kaimu Meneja wa RUWASA wilaya ya Shinyanga, Mhandisi Emael Nkopi akielezea namna wanavyoshirikiana na Shirika la LifeWater International kutekeleza miradi ya maji na usafi wa mazingira
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akiwashukuru viongozi na watalaamu mbalimbali kwa ushirikiano wanaotoa katika kutekeleza miradi ya maji na usafi wa mazingira
Mkurugenzi wa Shirika la LifeWater International, Devocatus Kamara akimshukuru Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko ,viongozi na watalaamu mbalimbali kwa ushirikiano wanaotoa katika kutekeleza miradi ya maji na usafi wa mazingira
Diwani wa kata ya Mwantini, Mpemba Jilungu akilishukuru Shirika la LifeWater kwa kushirikiana na RUWASA kuwapatia mradi wa maji.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Vijijini, Edward Ngelela akilishukuru Shirika la LifeWater kwa kushirikiana na RUWASA kuwapatia mradi wa maji.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza baada ya kutembelea Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza baada ya kutembelea Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza baada ya kutembelea Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akipiga ya kumbukumbu na wadau wa maji na usafi wa mazingira baada ya kutembelea Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akipiga ya kumbukumbu na wadau wa maji na usafi wa mazingira baada ya kutembelea Mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira katika vijiji vya Bushoma na Mishepo kata ya Mwantini halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
 
 
Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog
 

About the author

Alex Sonna