marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

marsbahis giriş

NervEase

sapanca escort

sakarya escort

izmit escort

matbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

betnano

pusulabet giriş

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

betgaranti

kavbet

marsbahis

perabet giriş

kavbet

mavibet giriş

mavibet giriş

imajbet

mavibet

pashagaming

marsbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betgar, betgar giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

betkolik, betkolik giriş

jojobet

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

bettilt

trimology review

celtabet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

savoycasino giriş

betebet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

betosfer

bilgi kutusu

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

aaa

Madridbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

betixir giriş

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10 giriş

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

galabet

İkimisli

onwin

süperbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10 giriş

casibom

lunabet

lunabet giriş

imajbet

bahiscasino

perabet

lunabet

kavbet

artemisbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Deneme Bonusu

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

sahabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

grandpashabet

Hacklink Panel

betplay

vdcasino

bets10

perabet

perabet

perabet giriş

artemisbet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

imajbet

สล็อตเว็บตรง

bets10 giriş

bettilt giriş

holiganbet giriş

jojobet

jojobet

trust score weak 3

jojobet

Holiganbet

hitbet

kavbet

kavbet

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

dinamobet

netbahis

1xbet giriş

vipslot

galabet giriş

interbahis

agb99

betper

Hacking forum

trend hack methods

norabahis

galabet

avşa kiralık daire

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

deneme bonusu

tophillbet

Featured Kitaifa

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA KISWAHILI

Written by Alex Sonna

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na washiriki wa  Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo  uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC) leo tarehe 14 Machi 2022.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizindua kitabu cha Matumizi ya TEHAMA katika Tasnia ya Habari kilichoandikwa na Victor Elia, Mtumishi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea tuzo ya Nishani ya Heshima ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mtumiaji mahiri wa lugha ya Kiswahili aliokabidhiwa na Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa,wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akipokea tuzo ya Nishani ya Heshima ya kuwa mtumiaji mahiri wa lugha ya Kiswahili aliokabidhiwa na Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa,wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC).

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizindua Kamusi Kuu ya Kiswahili Toleo la 3 wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC) 

………………………………………………

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango leo tarehe 14 Machi 2022 amefungua Kongamano la Pili la Idhaa za Kiswahili Duniani, ufunguzi uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha (AICC).

Makamu wa Rais amewaasa wataalamu, mabingwa na wapenzi wa lugha ya Kiswahili kuendelea kuandika vitabu vya taaluma mbalimbali kwa lugha ya Kiswahili ili kuepusha ongezeko la upotoshaji wa matumizi  wa lugha ya Kiswahili miongoni mwa jamii husasani  wanahabari  wanaotumia maneno yasiyo rasmi au kuchanganya kiswahili na maneno ya lugha nyingine.

Amesema ubunifu unahitajika  katika ufundishaji na uwasilishaji wa lugha ya Kiswahili kwa kutumia teknolojia ya kisasa, ili kuendana na kasi ya maendeleo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA). Aidha amesema Katika tasnia ya habari, ni muhimu kuwa na vifaa bora vitakavyowezesha maarifa ya lugha hii yafike popote yanapohitajika kwa haraka na ufasaha. 

Makamu wa Rais ameongeza kwamba  Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ipo tayari kushirikiana na Taasisi na wadau mbalimbali katika kusimamia kwa karibu Mkakati wa Taifa wa kubidhaisha Kiswahili ambao utazinduliwa rasmi siku ya kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani na kuhakikisha kuwa unatekelezwa kikamilifu ili kufikia malengo yaliyokusudiwa. Amesema Serikali itaendelea kuhamasisha ufundishaji wa Kiswahili kwa wageni kupitia Balozi na kujenga ushawishi kwa nchi nyingine kuingiza Kiswahili katika mitaala ili kuendelea kusambaza lugha hiyo.

Awali akimkaribisha Makamu wa Rais, Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amesema wizara itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili ili waweze kutumia fursa mbalimbali za lugha hiyo kama vile ukalimani, tafsiri, ufundishaji, uhariri na uandishi wa vitabu na majarida. Ameongeza kwamba wizara imeandaa kanzi data ili kuwatambua wataalamu wa kiswahili nchini katika ngazi zote.

Kwa upande wake kaimu katibu mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) Consolata Mushi amesema Kongamano hilo litasaidia kubadilishana uzoefu na kupata ufumbuzi wa changamoto zinazowapata wanahabari katika kutumia Kiswahili katika kazi zao. Amesema uzinduzi wa  Kamusi Kuu ya Kiswahili Toleo la 3 utaongeza ufanisi katika tasnia ya habari kwa idhaa zinazotumia lugha ya Kiswahili kutokana na uwepo wa maneno zaidi ya mia moja mapya.

Kongamano hilo la siku tano linabeba kauli mbiu isemayo Tasnia ya Habari kwa Maendeleo ya Kiswahili Duniani huku likishirikisha wadau wa Kiswahili na vyombo vya habari kutoka ndani na nje ya nchi.

About the author

Alex Sonna