Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wajumbe wa Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa leo tarehe 12 Machi, 2022, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyekiti wa Kikosi Kazi cha kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa Profesa Rwekaza Mukandala pamoja na Wajumbe wa Kikosi Kazi hicho wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mazungumzo yao leo tarehe 12 Machi, 2022,

Previous articleWAZIRI WA ZANZIBAR MGENI RASMI SIMBA NA RSB BERKANE YA MOROCCO
Next articleCCM YAIAGIZA SERIKALI KUANGALIA UPYA MWENENDO WA JESHI LA POLISI NCHINI

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here