Featured Michezo

RAIS SAMIA APIGA SIMU NA KUIPONGEZA YANGA,AMCHANGIA MILIONI 15 MTOTO ALLY

Written by mzalendoeditor

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan amepiga  simu na kuipongeza Young Africans SC pamoja na kuahidi kuchangia shilingi Milioni 15 kwenye Taasisi ya Ali Kimara Rare Diases Foundation.’

‘Nawapongeza Yanga kwa kitu kizuri ni jambo zuri mmefanya kuandaa mechi ya hisani kwa ajili ya mtoto ni ugonjwa mbaya sana,namimi naungana nanyi kuchangia milioni 15 mcheze vizuri ni mchezo wa kirafiki namimi natizama’Rais Samia

About the author

mzalendoeditor