marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

vdcasino

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

türkçe altyazılı porno izle

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

casinomilyon

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betsat

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

jojobet

jojobet giriş

ilbet

herabet

herabet

Featured Kitaifa

WIZARA, WADAU WAKAA MEZA MOJA KUUJADILI MUONGOZO WA TAIFA WA UENDESHAJI MABARAZA YA USULUHISHI WA MIGOGORO YA NDOA NA FAMILIA.

Written by Alex Sonna

Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Baraka Makona akizungumza katika kikao cha wadau waliokutana mkoani Morogoro kujadili Mwongozo wa Taifa wa uendeshaji wa Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia.

 Mkuu wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii Dkt. Joyce Nyoni akitoa maoni katika kikao cha wadau waliokutana mkoani Morogoro kujadili Mwongozo wa Taifa wa uendeshaji wa Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia.

Baadhi ya wadau wakitoa maoni kuhusu Mwongozo wa Taifa wa uendeshaji wa Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia kilichofanyika mkoani Morogoro.

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WMJJWM

…………………………………………………………..

Na WMJJWM-Morogoro

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekutana na wadau kutengeneza Mwongozo wa Taifa wa uendeshaji wa Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia wenye lengo la kuongeza ufanisi katika uendeshaji wa Mabaraza hayo nchini.

Akizungumza katika kikao hicho mkoani Morogoro Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Baraka Makona amesema, lengo la kikao hicho ni kupata maoni ya wadau katika kuuboresha Mwongozo huo ili uendelee kutatatua migogoro mbalimbali inayotokea katika ndoa na familia.

“Ndoa na familia nyingi zimekuwa zikikumbwa na migogoro inayosababisha mtengano wa familia hasa watoto kukosa malezi na makuzi na wengi wao kuishia kufanya kazi na kuishi mitaani” alisema Baraka

Ameongeza kuwa Mwongozo huo utasaidia kupatikana kwa taarifa sahihi kutoka katika Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia kutoka jumuiya mbalimbali hivyo kuwa katika mstari mmoja wa utoaji wa huduma hiyo kwa jamii.

Akiongea katika Kikao hicho, Hakimu Mkazi Mfawidhi Mwajuma Lukindo, amesema Mwongozo huo utasaidia kuelekeza namna ya kufuata pale migogoro ya ndoa na familia inapofika katika ngazi ya mahakama kwa kufuata njia maalum kwa kutumia mfumo wa kupokea taarifa kutoka katika Mabaraza hayo.

Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii Dkt. Joyce Nyoni amesema Mwongozo huo utasaidia Wanandoa na familia kutatua changamoto zao, hivyo ukitekelezwa itasaidia kurudisha uhusiano katika ndoa na familia na sio kuvunjika kwa mahusiano hayo.

Naye Afisa wa Jinsia kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Getrude Diabele amesema Shirika hilo linashirikiana na Wizara kuhakikisha kunakuwa na Uratibu mzuri wa uendeshaji wa Mabaraza ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa na familia katika jamii ikiwemo Usawa wa Kijinsia katika Mabaraza hayo ambayo mengi yao yana wajumbe wa jinsi ya kiume pekee.

“Wadau tutaendelea kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha Mwongozo huu unatekelezeka ili kuyapa Mabaraza ya Usuluhishi wa Migogoro ya ndoa na Familia uwezo wa kusuluhisha migogoro hiyo kwa ngazi ya Familia na Kata bila kufikia hatua za talaka” alisema Getrude

Kwa upande wake Katibu wa Kadha Mkuu wa BAKWATA Hamis Kwangaya  amesema Mwongozo huo utaisaidia Taasisi hiyo kuongeza mbinu katika Baraza la usuluhishi wa migogoro ya Ndoa na familia lililopo katika Taasisi hiyo kufanya kazi kwa ufanisi na kutatua migogoro hiyo katika jamii.

Baraza la Usuluhishi wa Ndoa la Kamishna wa Ustawi wa Jamii ni chombo cha Serikali kilichoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Ndoa Na.5 ya mwaka 1971 na kutangazwa na Waziri wa Katiba na Sheria katika Gazeti la Serikali Na.196 la mwaka 1971.

Baraza la Ndoa la Kamishna wa Ustawi wa Jamii liliundwa ili liweze kushughulikia migogoro ya Ndoa kwa Watanganyika wote bila kujali itikadi zao za dini,kabila, jinsia au dhehebu.

Baraza la Usuluhishi wa Ndoa la Kamishna wa Ustawi wa Jamii ni la kipekee kwa muundo na ufanyaji wake wa kazi ukilinganisha na Mabaraza mengine yanayoshughulikia migogoro ya Ndoa ambayo yanaendana na mila na desturi zao mfano Imani za dini, kabila, dhehebu na eneo mhusika anapoishi(kata)

About the author

Alex Sonna