Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

luxbet

betmarino giriş

kareasbet

gobahis giriş

betcool giriş

betnis giriş

elitbahis giriş

luxbet

primebahis

betturkey

betturkey giriş

betturkey

betturkey giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

kalebet güncel giriş

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betturkey

betturkey giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

betyap

padişahbet

porno izle

porno izle

türk ifşa izle

evcil hayvan satış

uyuşturucu satın al

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

hepbet giriş

betmarino

parmabet

avrupabet giriş

hepbet

hazbet giriş

gobahis

betnis

parmabet

realbahis

luxbet giriş

hazbet

aresbet giriş

betlivo

betface

betlivo giriş

betra giriş

gallerbahis

matbet

parmabet giriş

kareasbet

casival giriş

celtabet

celtabet giriş

vipslot giriş

lordcasino

realbahis giriş

betface giriş

millibahis

lordcasino giriş

aresbet

vipslot

elitbahis

bungalov kiralama

kiralık bungalov

alobet, alobet giriş

aresbet, aresbet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu

smartbahis

deneme bonusu

casinofast giris

matbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

meritbet giriş

tarafbet

meritbet

jojobet güncel giriş

marsbahis

bets10

betpark

jojobet

grandpashabet

ultrabet

mavibet

mavibet

setrabet

deneme bonusu veren siteler 2026

anadoluslot

ibizabet

deneme bonusu veren siteler

sapanca bungalov kiralama

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

celtabet

millibahis

lordcasino

casival

matbet giriş

betlike giriş

mavibet giriş

matbet güncel giriş

mavibet

mavibet

matbet giriş

matbet

mavibet giriş

betlike

mavibet giriş

mavibet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

madridbet

madridbet

casibom güncel giriş

jojobet

meritking

betsat

matbet, matbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark

betsat giriş

dinamobet

betpas

grandpashabet

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

jojobet

betpas

casibom

grandpashabet

Hacklink panel

betturkey

betmarino

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

pulibet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

Casibom

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

Featured Kitaifa

UHUSIANO KATI YA TANZANIA NA MATAIFA MENGINE UMEIMARIKA – MAJALIWA

Written by Alex Sonna

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisoma hotuba ya kuahirisha Mkutano wa Sita wa Bunge jijini Dodoma

 ……………………………………………………

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema uhusiano kati ya Tanzania na mataifa mengine umeendelea kuimarika kutokana na jitihada kubwa zilizofanywa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae ameendelea kufanya ziara katika nchi mbalimbali sambamba na viongozi wakuu wa nchi hizo na Mashirika ya Kimataifa kuzuru Tanzania.

Amesema katika kipindi kifupi ziara zilizofanywa na Rais zimeiwezesha Nchi kupata manufaa makubwa ikiwemo kuingiwa kwa makubaliano ya ushirikiano katika maeneo mbalimbali kama vile miundombinu, nishati, elimu, teknolojia ya habari na mawasiliano, afya, michezo, kilimo na uwekezaji.

”Pamoja na mafanikio yote hayo ya kiuchumi, Tanzania imefanikiwa kuzishawishi Nchi Wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) kutangaza tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa siku ya Kiswahili duniani.”

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa Februari 18, 2022) wakati akiahirisha Mkutano wa sita wa Bunge la kumi na mbili (12) la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Amesema  lugha ya Kiswahili hainabudi kuwa chachu ya kukuza ajira kwa wakalimani, walimu wa ngazi zote, mauzo ya vitabu, filamu na aina nyingine za sanaa.

 

”Nitoe wito kwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Balozi zetu nje kuja na mikakati maalumu ya kukiendeleza Kiswahili hususan nje ya mipaka ya Tanzania ikiwemo kufungua madarasa ya kufundisha kiswahili na kuimarisha ushirikiano na wadau binafsi wenye kuendesha vituo vya kiutamaduni vya kufundisha Kiswahili.”

Aidha, Waziri Mkuu amewaeleza waheshimiwa wabunge kuwa Serikali imekuwa na utekelezaji mzuri wa bajeti hadi kufikia asilimia 86.2 ambapo fedha za maendeleo zilizotolewa zinajumuisha shilingi trilioni 5.19 ya fedha za ndani na shilingi bilioni 167.1 ya fedha za nje na shilingi bilioni 443.7 ni fedha za Washirika wa Maendeleo zilizopelekwa moja kwa moja kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa Wananchi.

Aliongeza kuwa, utekelezaji huo wa bajeti umeenda sambamba na kukua kwa makusanyo ya kodi ambapo katika mwaka huu wa fedha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iliweza kuvunja rekodi ya makusanyo ya kodi kwa kukusanya jumla ya Shilingi trilioni 2.3, sawa na asilimia 103.1 ya lengo, ikiwa ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kukusanywa na TRA kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa kwa upande wa matumizi, ridhaa ya matumizi iliyotolewa katika kipindi cha Julai hadi Desemba 2020 ni shilingi trilioni 16.50 sawa na asilimia 90.5 ya lengo. “Kati ya kiasi hicho, shilingi trilioni 11.14 ni fedha za matumizi ya kawaida, sawa na asilimia 96.9 ya lengo na shilingi trilioni 5.36 ni fedha za maendeleo, sawa na asilimia 79.6.” Alisema na kuongeza.

“Nyote mtakubaliana nami kuwa tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza sana Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwenendo huo mzuri katika utekelezaji wa bajeti kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 2021.”

Aliongeza kuwa mafanikio ya makusanyo na utekelezaji wa bajeti yametokana na Jitihada za Mheshimiwa Rais katika kuvutia uwekezaji, kuhamasisha utalii, biashara na kusimamia ukusanyaji wa mapato zimechangia kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kodi na kuimarika kwa uchumi hapa Nhcini.

 

Akitoa pongezi kwa Utendaji wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Waziri Mkuu amewasihi Wabunge na Watanzania wote kwa ujumla kumuunga Mkono Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nia ya kuwaletea maendeleo Watanzania.

“Waswahili hunena mwenye macho haambiwi tazama. Sote tu mashuhuda wa mafanikio hayo sambamba na maeneo mengine ambayo kiuhalisia yanaakisi kazi nzuri inayofanywa na Nitoe wito kwa Watanzania wote kuendelea kumuunga mkono kwa moyo wa dhati ili aweze kutimiza azma yake ya dhati ya kujenga uchumi imara, shindani na endelevu” Alisema

 

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amewataka Watendaji wa TARURA kusimamia  kwa karibu na kwa umakini kazi zinazofanywa na wakandarasi kwa ajili ya kubaini mapema na kuchukua hatua stahiki za kisheria kwa mujibu wa mikataba na kutaka Ufuatiliaji ufanywe mara kwa mara ili miradi ikamilike katika muda uliopangwa na kwa ubora stahiki.

 

“Watumishi wa TARURA jiepusheni na kazi zenye mgongano wa maslahi. Kwa mantiki hiyo, ikiwa unataka kufanya biashara na Serikali wakati wewe ni mtumishi wa umma ni vyema ukaacha kazi ili ufanye biashara yako kwa ufanisi.” Alisema.

About the author

Alex Sonna