Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

poker

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis giriş

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

kingroyal

meritking

Milanobet

casibom giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

jojobet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet

meritking

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pusulabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino

bets10

jojobet giriş

nerobet

cratosroyalbet

jojobet güncel giriş

meritking giriş

cratosroyalbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

tarafbet

kingroyal

bets10

jojobet

trust score weak 3

marsbahis

ikimisli giriş

tipobet

meritking

cratosroyalbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

marsbahis giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

alobet, alobet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

holiganbet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

monobahis, monobahis giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

casibom giriş

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

casibom

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

casibom güncel giriş

deneme bonusu

matbet

grandpashabet

sekabet

jojobet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

casibom

jojobet

jojobet

casibom

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

meritking

marsbahis

jojobet giris

jojobet telegram

holiganbet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giriş

holiganbet

Hacklink panel

jojobet

bets10

Google

jojobet

jojobet

jojobet giriş

holiganbet giriş

jojobet telegram

casibom giriş

jojobet giriş

casibom giriş

casibom güncel giriş

jojobet giriş

matbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

mavibet giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

sweet bonanza

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

piabellacasino

robinbet

cratosroyalbet

cratosroyalbet

betgaranti

betkare

betkare

runtobet

runtobet giriş

1xbet

caddebet, caddebet giriş

yakabet

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

holiganbet güncel giriş

casibom güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

marsbahis

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

nerobet

kulisbet, kulisbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

holiganbet giriş

cratosroyalbet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

extrabet

Kimataifa

SHIRIKA LA POSTA LAPOKEA UGENI WA KAMATI YA MAWASILIANO, ARDHI NA NISHATI YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Written by mzalendo

 

Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) Macrice Mbodo akielezea taarifa mbalimbali zinazofanywa na Shirika hilo na namna wanavyoendesha shughuli ili kuwafikia watanzania nchi nzima baada ya kupokea ugeni toka Kamati ya  Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo Makao Makuu ya Shirika hilo Jijini Dar es salaam.

Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) Macrice Mbodo akikabidhi zawadi ya kalenda na shajara (Diary) kwa 
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Zanzibar Rahma Kassim Ali akiambatana na  Kamati ya  Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo Makao Makuu ya Shirika hilo Jijini Dar es salaam.

Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) Macrice Mbodo akikabidhi zawadi ya kalenda na shajara (Diary) kwa  Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati,  Yahya Rashid baada akiwa ameambatana na 
  Kamati ya  Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar na kutembelea  Makao Makuu ya Shirika hilo Jijini Dar es salaam.

Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) Macrice Mbodo akielezea taarifa mbalimbali zinazofanywa na Shirika hilo na namna wanavyoendesha shughuli ili kuwafikia watanzania nchi nzima baada ya kupokea ugeni toka Kamati ya  Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mbodi ameongozana na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Zanzibar Rahma Kassim Ali na  Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati,  Yahya Rashid leo Makao Makuu ya Shirika hilo Jijini Dar es salaam.

 

Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar

 

 

KAMATI ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo tarehe 21 Januari imelitembelea Shirika la Posta Tanzania (TPC) ili kujionea utendaji na huduma mbalimbali zinazotolewa na Shirika hilo.
Kamati hiyo ilianza ziara hiyo kwa kupokea kupokea taarifa ya utendaji ya Shirika hilo ikiangazia historia ya kuanzishwa kwake, mapito mbalimbali lililopitia Shirika tangu kuazishwa kwake mwaka 1994 hadi sasa. Pia mwelekeo wa sasa wa Shirika katika kutoa huduma zake.
Akizungumza wakati wa ziara hiyo, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Bwana Yahya Rashid amesema wamefurahishwa na utendaji kazi wa Shirika la Posta Tanzania hususan ni namna lilivyojipanga kwenye kuhakikisha wananchi wanapata huduma zenye tija kulingana na mahitaji yao ya sasa.  
Aidha, Mwenyekiti wa Kamati hiyo Yahya Rashid amelipongeza Shirika la Posta nchini kwa kuendelea kukuza na kuimarisha uhusiano kati yake na Taasisi mbalimbali zilizopo visiwani Zanzibar kwani ushirikiano huo utaboresha zaidi upatikani wa huduma mbalimbali kwa pande zote za Muungano wa Tanzania.  
“Napongeza ushirikiano uliopo kati ya Serikali zetu za Tanzania Bara na Zanzibar kupitia Taasisi zetu hizi kwani kutaleta huduma bora kwa wananchi wetu”. Alisema Yahya
Katika hatua nyingine, Yahya amelitaka Shirika la Posta kuhakikisha linatoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya huduma za Posta nchini kwani wananchi wanapaswa kufahamu na kutumia huduma za Posta za kisasa za kidijitali.
“Wananchi wanahitaji kuelimishwa kuhusu huduma za Posta, mkawajengee uelewa wa kutosha kwa sababu Shirika la Posta lina fursa za kibiashara na  kuna huduma za kidigitali na gharama zake ni nafuu na ni za uhakika”. Amesema Yahya.
Kwa upande wa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Rahma Kassim Ali aliyeambatana na msafara wa Kamati hiyo amesema kufika kwao kama Wizara katika  Shirika la Posta kumesaidia kufahamu masuala mbalimbali ambapo hawakuwa na uelewa nayo na kupata elimu na ufahamu wa mambo mengi ya msingi na yenye manufaa kwa jamii ya watanzania.
“Nimefarijika sana kufika hapa leo, nimepata nafasi ya kujifunza na kufahamu namna Shirika la Posta linavyofanya kazi zake kwa upande wa Tanzania Bara na Zanzibar, hii itatusaidia sana kwenye mambo mengi tunaosimamia sekta ya mawasiliano”. Amesema Rahma.
Aidha,  Waziri ameahidi kuwa, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia Wizara yake itaendelea kutoa ushirikiano kwa Shirika la Posta nchini ili kuhakikisha wananchi wa pande zote za Muungano wanapata huduma bora na zenye tija kwa manufaa ya Taifa kwa ujumla.
Naye, Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye ameishukuru na kuipongeza Serikali ya Zanzibar kupitia Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kwa kuona umuhimu wa kufika Makao Makuu ya Shirika la Posta nchini na kujionea shughuli mbalimbali pamoja na huduma zinazotolewa na Shirika hilo. Pia ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano katika kuhakikisha wananchi wa pande zote za Muungano wananufaika na huduma za Posta.
 Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania Macrice Mbodo ameishukuru Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati kwa kutenga muda wao na kuja kulitembelea Shirika la Posta . Kaimu Postamasta Mkuu ameongeza kuwa, zipo fursa mbalimbali ambazo Shirika la Posta linazifanyia kazi kwa upande wa Zanzibar ikiwemo Duka Mtandao ambalo linawawezesha wananchi kuuza na kununua bidhaa zao katika duka hilo na kufikishwa popote walipo. Pia fursa ya huduma za usafirishaji ambapo mwananchi ataweza kufikishiwa bidhaa na huduma mahali popote alipo kupitia mfumo wa anuani za Makazi na Postikodi unaoendelea kujengwa hapa nchini kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Katika hatua nyingine, Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar pamoja na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Rahma Kassim Ali walipata wasaa ya kutembelea Kituo cha Huduma Pamoja kinachotoa huduma mbalimbali za kiserikali, kilichopo katika Ofisi kuu ya Mkoa wa Dar es Salaam na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa katika kituo hicho.

 

About the author

mzalendo