Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

ilbet giriş

ilbet

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

poker

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

istanbulbahis giriş

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

kingroyal

meritking

Milanobet

casibom giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

İkimisli

onwin

grandpashabet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

bets10

jojobet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet giriş

jojobet giriş

grandpashabet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet

meritking

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

Grandpashabet Güncel Giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

pusulabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

dinimi sitiliri

Hacklink Panel

holiganbet

vdcasino

bets10

jojobet giriş

nerobet

cratosroyalbet

jojobet güncel giriş

meritking giriş

cratosroyalbet giriş

Meritking

jojobet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

tarafbet

kingroyal

bets10

jojobet

trust score weak 3

marsbahis

ikimisli giriş

tipobet

meritking

cratosroyalbet

jojobet

jojobet adres

jojobet giris

jojobet adres

marsbahis giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

marsbahis

deneme bonusu veren siteler

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

deneme bonusu

1xbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

hackhaber

grandpashabet

film izle

casibom

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

caddebet, caddebet giriş

alobet, alobet giriş

bets10

bets10

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

tarafbet

holiganbet

casibom

bets10 güncel giriş adresi

grandpashabet

jojobet

jojobet giriş

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

sweet bonanza siteleri

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

monobahis, monobahis giriş

Google

casinoroyal

primebahis

marsbahis

casibom giriş

Doctors | Akdeniz University Hospital Login

deneme bonusu veren siteler

casino siteleri

casibom

casibom giriş

casibom

casibom güncel giriş

sweet bonanza siteleri

casibom güncel giriş

deneme bonusu

matbet

grandpashabet

sekabet

jojobet

pusulabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

casibom

jojobet

jojobet

casibom

jojobet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

marsbahis giriş

mavibet

marsbahis

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

meritking

marsbahis

jojobet giris

jojobet telegram

holiganbet

holiganbet

jojobet telegram

jojobet giriş

holiganbet

Hacklink panel

jojobet

bets10

Google

jojobet

jojobet

jojobet giriş

holiganbet giriş

jojobet telegram

casibom giriş

jojobet giriş

casibom giriş

casibom güncel giriş

jojobet giriş

matbet

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet

mavibet giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

timebet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

sweet bonanza

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

cratosroyalbet

piabellacasino

robinbet

cratosroyalbet

cratosroyalbet

betgaranti

betkare

betkare

runtobet

runtobet giriş

1xbet

caddebet, caddebet giriş

yakabet

jojobet

jojobet giris

jojobet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

holiganbet güncel giriş

casibom güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet güncel

marsbahis

jojobet adres

jojobet adres

jojobet

holiganbet giriş

holiganbet güncel giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet giris

marsbahis

jojobet giris

marsbahis

jojobet güncel

jojobet güncel

jojobet telegram

jojobet güncel giriş

jojobet giris

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

jojobet güncel

jojobet güncel giriş

jojobet adres

jojobet güncel giriş

goldenbahis

nerobet

kulisbet, kulisbet giriş

pokerklas, pokerklas giriş

deneme bonusu

holiganbet giriş

cratosroyalbet

gorabet

jojobet

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

pusulabet

extrabet

Kimataifa

SERIKALI YAANZISHA ENEO MAALUM LA UWEKEZAJI LA EPZA JIJINI DODOMA KWA AJILI YA KUJENGA KONGANI ZA VIWANDA

Written by mzalendo

 

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashantu Kijaji akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Athony Mtaka wakikagua eneo maalum la uwekezaji (SEZ) lenye ukubwa wa hekari 1500 katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma.

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashantu Kijaji ,akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Mipango miji wa Halmashauri ya jiji la Dodoma, Aisha Masanja kuhusu ujenzi wa Kongani ya Viwanda katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma.

 

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashantu Kijaji,akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya eneo maalum la uwekezaji (SEZ) lenye ukubwa wa hekari 1500 katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara  Prof.Godius Kahyarara ,akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya eneo maalum la uwekezaji (SEZ) lenye ukubwa wa hekari 1500 katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Athony Mtaka,akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya eneo maalum la uwekezaji (SEZ) lenye ukubwa wa hekari 1500 katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma.

……………………………………………………..

Na.Alex Sonna,Dodoma.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashantu Kijaji  amesema Serikali imeanzisha Kongani ya Viwanda Dodoma itakayokuwa na viwanda vitakavyotumia malighafi zinazozalishwa hapa nchini, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya   Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika uanzishaji wa kongani za viwanda.

Dkt Kijaji ameyasema hayo katika Hafla fupi ya makabidhiano ya eneo maalum la uwekezaji (SEZ) lenye ukubwa wa hekari 1500 katika eneo la viwanda Nala lililotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji na Mauzo ya Nje (EPZA), iliyofanyika jijini Dodoma Januari 20, 2022.

“Kongani hii  itumike kuhudumia Kanda ya kati kwa kuwa na  viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo hususan Alizeti inayolimwa Dodoma, Singida na Simiyu ili kuwa na mafuta ya kula ya kutosha mahitaji ya ndani na  kuuza nje ya nchi na kutumia Reli ya Kisasa ya SGR kwa kusafirisha mizigo kwenda masoko ya nje ya nchi.” Amesema Waziri Kijaji.

Waziri Kijaji pia amezielekeza Taasisi za EPZA na TIC kushirikiana na Sekta Binafsi pamoja na Uongozi wa Mkoa wa Dodoma ili kuhakikisha kongani hiyo inaendelezwa kwa wakati ili kutimiza malengo ya Serikali ya Awamu ya Sita katika uanzishaji, uendelezaji na uwekezaji wa kongani za viwanda nchini.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka amebainisha Maeneo ya EPZA yanavutia wawekezaji hivyo Ofisi yake iko tayari kushirikiana na Wizara katika kuhakikisha miundombinu muhimu kama Maji, Umeme na Barabara inapatikana ili kukamilisha ujenzi wa kongani hiyo kwa wakati na kuvutia wawekezaji  na hivyo kuleta maendeleo katika mkoa huo na kwa Taifa.

”Tunataka  Rais Samia Suluhu Hassan akifikisha mwaka mmoja Machi 17 kama mkoa tumueleze  nini kimefanyika na akifikisha miaka 10 wamweleze nini kimefanyika eneo la uwekezaji wa viwanda.

Kwa upande wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara  Prof.Godius Kahyarara amesema ni muhimu EPZA kutenga maeneo ya kongani za kiuchumi  zenye hadhi ya kimataifa kwa kuzingatia wawekezaji wadogo zinazolenga kutoa ajira nyingi ili kutimiza Malengo ya Serikali katika kuongeza ajira na pato la Taifa.

” EPZA tengeni kongani maalum kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vya uzalishaji bidhaa za ujenzi ili kutosheleza mahitaji ya vifaa hivyo nchini ili tusiwe  tunaagiza vifaa hivyo kutoka nje ya nchi. 

Awali akiongea, Mkurugenzi Mkuu wa EPZA Bw. Charles Itembe amesema eneo hilo lililotengwa linatarajiwa kuwa kitivo maalumu cha uwekezaji katika nyanja mbali mbali kama vile  ununuzi,usafirishaji, kilimo, ujenzi, madinj, nguo na madawa na litatoa ajira takriban 100,000.

Naye, Afisa Mipango wa mkoa wa Dodoma amebainisha kuwa Mkoa umetenga maeneo kwa ajili ya ujenzi wa viwanda ambapo katika eneo la Nala hekari 2285 ambapo hadi sasa hekari 300 zimegawiwa kwa wawekezaji wa nje, 1500 kwa EPZA, na 21 kwa wawekezaji wazawa.

About the author

mzalendo