NAIBU WAZIRI KAPINGA AWATAKA WANANCHI KUTUNZA MIUNDOMBINU YA UMEME
Na.Issa Sabuni na Zuwena Msuya, Morogoro
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka wananchi kuhakikisha wanalinda na kutunza miundombinu ya umeme nchini ili itumike...
MWENYEKITI CCM RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU CCM TAIFA IKULU DAR...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya...
RAIS SAMIA ATOA SHIL. BILIONI 9 KUSOMESHA WATAALAMU BINGWA NA BOBEZI WA AFYA 601
Na. WAF - Dar es Salaam
Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa fedha kiasi cha Shilingi...
POLISI ARUSHA WAJA MBINU MPYA KUKABILIANA NA UHALIFU.
Na. Mwandishi wetu Jeshi la Polisi- Arusha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limekuja na mbinu mpya ya kukabiliana na matukio ya uhalifu...
OFISI YA WAZIRI MKUU YAGUSWA NAMNA KAMPUNI YA TWIGA INAVYOWAWEZESHA VIJANA WA MATONGO
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Dkt. Mwiga Mbesi akizungumza kwenye mradi...
MASAUNI ATETA NA MABALOZI WA NCHI TATU JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa hapa nchini, Nabil Hajlaoui(kushoto) muda...
VIDEO YA INJILI : ROZAA – ANAJIBU
https://youtu.be/T6L8bXgfK1s
Huyu ni Mwimbaji wa nyimbo za injili anayejulikana kwa jina la Rozalia Magige au (ROZAA)
Na ni miongoni wa waimbaji mahiri na anaendelea kufanya vizuri,
Hizi...
TEWW YALETA NEEMA MPANGO WA ELIMU CHANGAMANI KWA VIJANA (IPOSA)
Mwandishi Wetu- Singida
Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima imezindua awamu ya pili ya programu ya Mpango wa Elimu Changamani kwa Vijana walio nje ya...
SERIKALI KUWANOA WANAMIPANGO
Na Georgina Misama – MAELEZO
Serikali kupitia Tume ya Mipango imekutana na wanamipango kutoka kwenye Wizara, Idara zinazojitegemea, Mashirika ya Umma na Halmashauri nchini ili...