Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

spinco

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

DK.KIRUSWA ATAKA ELIMU KUHUSU SHERIA YA MADINI ITOLEWE KWA WACHIMBAJI

Written by Alex Sonna

NAIBU Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa,akizungumza  na wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Matongo kilichopo Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida.

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Kiruswa akiwa na wachimbaji wadogo wa madini Mkoani Singida

Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Miraji Mtaturu,akizungumza  na wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Matongo kilichopo Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida.

Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Singida, Chone Malembo akizungumza wakati wa ziara ya Dkt. Kiruswa Mkoani Singida

Wachimbaji wadogo wa madini katika Kijiji cha Matongo wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida wakimsikiliza Naibu Waziri wa Madini

***************************

NAIBU Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amemwagiza Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Singida kutoa elimu kuhusu Sheria ya Madini kwa wachimbaji wadogo wa madini ili waendeshe shughuli zao kwa kufuata Taratibu, Sheria na Kanuni za Madini.
Dkt. Kiruswa ametoa maagizo hayo Mei 14, 2022 alipotembelea na kuzungumza na wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Matongo kilichopo Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida.
Amepokea malalamiko kutoka kwa wachimbaji wa Kijiji cha Matongo ambapo wamemweleza kuwa hawaelewi Sheria za Madini zilizopo jambo linalowapa changamoto katika utekelezaji wa shughuli za uchimbaji katika maeneo yao.
Aidha, ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuhakikisha wanafanya utafiti katika kijiji hicho ili wachimbaji wachimbe kwa tija.
Wakati huo huo, Dkt.Kiruswa ametoa wito kwa taasisi za kifedha zikiwemo benki watembelee eneo hilo na maeneo mengine ili waweze kutoa elimu ya kutosha kwa wachimbaji wa madini kuhusu namna ya kupata mikopo na utunzaji wa fedha.
Akizungumzia migogoro ya wachimbaji wadogo katika Kijiji cha Matongo, Dkt. Kiruswa ametoa muda wa wiki mbili kwa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Madini ya Mkoa kuhakikisha wanamaliza migogogro yote ikiyowasilishwa na wananchi wakati wa ziara hiyo.
Akizungumzia ukosefu wa umeme na maji katika migodi hiyo na ubovu wa barabara inayoelekea mgodini hapo, Dkt.Kiruswa amesema, Serikali itaboresha mazingira hayo ili wachimbaji hao waweze kuchimba na kupata manufaaa. 
Amesema, Serikali ni sikivu na itahakikisha inatatua changamoto hizo kwa wakati ili waendelee na uchimbaji.
Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Miraji Mtaturu ameomba ofisi na GST wasogeze huduma za kitafiti katika maeneo hayo ya wachimbaji ili waweze kuchimba kwa tija.
Amesema, wachimbaji hao kwa sasa wanachimba kwa kubahatisha jambo linalofanya wapoteze fedha nyingi. 
Vilevile, Mtaturu ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Madini iweze kuwasaidia wachimbaji hao kupata mitaji ili iwasaidie kuweza kuchimba kwa kutumia vifaa vya kisasa vya uchimbaji kuendana na teknolojia.
Kwa upande wake, Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Singida, Chone Malembo ametumia fursa hiyo kuwataka wachimbaji kushirikiana na Ofisi ya Madini Singida ili waweze kutatua migogoro yote inayowasumbua wachimbaji.
Aidha, ameeleza kuwa wamepokea maelekezo ya Naibu Waziri na wamejipanga kuyatekeleza kwa kutoa elimu kuhusu Sheria na Kanuni za Madini pamoja na uchimbaji wenye tija ili wachimbaji waweze kufanya shughuli zao kwa urahisi. 
Aidha, amewataka kuzingatia sheria na kanuni zote za uchimbaji ili kuepusha migogogro inayojitokeza mara kwa mara na kusababisha wachimbaji hao kutumia muda mwingi katika kuitatua badala ya kutumia muda huo katika shughuli za uchimbaji.
Naibu Waziri wa Madini amefanya ziara ya siku mbili mkoani Singida ili kuzungumza na kusikiliza kero mbalimbali zinazowasumbua wachimbaji wadogo.

About the author

Alex Sonna