marsbahis giriş

deneme bonusu veren siteler

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

jojobet

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

holiganbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom

holiganbet giriş

NervEase

mersin escort

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

telegram @seo_anomaly - seo backlinks, black-links, traffic boost, link indexing hacking

vdcasino

grandpashabet

güvenilir bahis siteleri

ganobet

bets10 giriş

betnano

milanobet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet giriş

1xbet

tambet

bahiscasino

marsbahis

perabet giriş

perabet giriş

imajbet

grandbahis giriş

imajbet

grandbahis

imajbet giriş

jojobet

kulisbet giriş

pusulabet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

matbet, matbet giriş

tlcasino, tlcasino giriş

alobet, alobet giriş

kingroyal

restbet

jojobet giriş

casibom

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

celtabet

meritking giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

deneme bonus veren siteler

holiganbet

deneme bonusu

Nitric Boost

savoycasino giriş

starzbet

bahiscasino, bahiscaasino giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

casibom giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

pokerklas

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betturkey

betturkey giriş

pokerklas giriş

pokerklas giriş

pokerklas

betsmove

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

deneme bonusu veren siteler

parobet

jojobet güncel giriş

betsat

betsat giriş

xslot

xslot giriş

vaycasino

trendbet

vaycasino

Milanobet

casibom giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

İkimisli

onwin

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

kralbet

imajbet

holiganbet

perabet

perabet giriş

perabet

imajbet giriş

perabet

imajbet

perabet

perabet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

ankara escort

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

superbetin

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu veren siteler

Hacklink Panel

casinomilyon

vdcasino

zirvebet

perabet

efesbet

pokerklas

perabet

imajbet giriş

imajbet

kralbet giriş

perabet

สล็อตเว็บตรง

madridbet

casibom giriş

jojobet

deneme bonusu

jojobet

trust score weak 3

jojobet

deneme bonusu veren siteler

slot siteleri

imajbet

imajbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

dinamobet giriş

netbahis

1xbet giriş

marsbahis giriş

deneme bonusu

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

avşa kiralık daire

betturkey giriş

betturkey

betturkey

betturkey giriş

deneme bonusu

1xbet

lefkoşa night club

deneme bonusu

sekabet giriş

hackhaber

holiganbet

deneme bonusu veren siteler

sorgu paneli

marsbahis, marsbahis giriş

bahiscasino, bahiscasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betsat

casibom

betsat

betsat giriş

deneme bonusu veren siteler

tipobet giriş

casibom

kralbet

en iyi slot siteleri

bets10 güncel giriş adresi

superbetin

meritking

meritking

jojobet

Featured Kitaifa

WAKAZI WA MLIMBA WASHAURIWA KUTUMIA TAASISI ZILIZO RASMI KUPATA HUDUMA ZA FEDHA

Written by Alex Sonna
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro Bi. Neuster Ngelela, akiongea na wananchi wa Halmashauri hiyo (hawapo pichani) wakati wa kufunga program maalum ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.
Na. Ramadhan Kissimba, WF, Morogoro
 
Wakazi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoani Morogoro wametakiwa kuhakikisha wanatumia Taasisi za huduma ndogo za fedha ambazo zimeidhinishwa kisheria kufanya shughuli hizo nchini kwa mujibu wa Sheria.
 
Akizungumza katika program ya elimu ya fedha inayoendeshwa na Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Fedha nchini, Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba Neuster Ngelela, alisema kuwa ili kupunguza migogoro kati ya wananchi na watoa huduma ndogo za fedha ni vyema wananchi wakajielekeza kupata huduma hizo katika Taasisi za fedha zilizo rasmi na zilizosajiliwa na kupewa leseni ya kuendesha shughuli hizo.
 
Bi. Ngelela alisema kuwa kutokana na kasi ya maendeleo nchini kila mtu amekuwa na uhitaji mkubwa wa pesa, hivyo kuwasihi wananchi wa Halmashauri ya Mlimba na Tanzania kwa ujumla kuhakikisha pesa wanazozipata wanazitunza kwa ajili ya maisha ya baadae na hata wakiamua kukopa basi wakope kwa ajili ya kujiletea maendeleo.
 
‘’Katika maisha ya sasa kila jambo ni pesa hivyo ni vyema kila anayehitaji kupata huduma ya fedha iwe ni kukopa au kuwekeza ni vyema akaenda kupata huduma hizo katika Taasisi zilizosajiwa kutoa huduma hizo ili hata ikitokea mgogoro iwe rahisi mwananchi kupata haki yake, kwani Serikali haipendi wananchi wake waingie kwenye migogoro itakayowapotezea muda wa uzalishaji mali’’ alisema Bi. Ngelela.
 
Aidha, Bi.Ngeleja alitoa wito kwa wananchi wote wa Halmashauri ya Mlimba na vitongoji vyake kujitokeza kwa wingi ili kupata elimu kuhusu masuala ya fedha, uwekezaji na uwezeshaji wananchi kiuchumi, elimu ambayo itawasaidia katika kufanya maamuzi ya matumizi sahihi ya kipato wanachokipata kutokana na uzalishaji wa mazao mbalimbali yanayolimwa katika Halmashauri hiyo.
 
Akiongea katika program hiyo, Diwani wa Viti Maalum wa Halmashauri ya Mlimba, Mhe. Reniter Limba aliwashukuru waratibu wa program kwa elimu waliyoitoa kwa wananchi wa Halmashauri hiyo ambayo kwa namna moja au nyingine itasaidia kupunguza wimbi la utapeli lililokuwa linafanywa na watoa huduma za fedha ambao si waaminifu kwa kutoa mikopo yenye riba kubwa na kusababisha wananchi washindwe  kurejesha na kuleta taharuki katika familia.
 
Mhe. Limba, aliongeza kuwa njia ya kisasa iliyotumiwa na timu ya program ya elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha ya kutumia filamu kutoa elimu hiyo imewavutia wengi na kuahidi kuisambaza filamu hiyo kwa wananchi wengi zaidi ili kila mwana Mlimba na wananchi wote wa Wilaya ya Kilombero wafaidike na elimu hiyo.
 
Program ya kutoa elimu ya Fedha kwa Umma imeandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Fedha nchini ikiwa ni moja ya maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango Mkuu wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha wa Mwaka 2020/21-2029/30.
 
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro Bi. Neuster Ngelela, akiongea na wananchi wa Halmashauri hiyo (hawapo pichani) wakati wa kufunga program maalum ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.
 
 
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro Bi. Neuster Ngelela, akishauriana jambon a Afisa Usimamizi wa fedha kutoka Wizara ya Fedha Bw. Stanley Kibakaya katika program ya elimu ya fedha iliyotolewa katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Mlimba, Wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro.
 
 
Diwani wa Viti Maalum wa Halmashuri ya Mlimba, Mhe. Reniter Limba, akiongea na wananchi wa Halmashauri hiyo (hawapo pichani) wakati wa kufunga program maalum ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo. Nyuma ya Mhe. Diwani ni Mkuu wa Divisheni ya Afisa Maendeleo ya Jamii – Halmashari ya Mlimba, Bw. Sebastian Kaole.
 
 
Afisa usimamizi wa fedha kutoka Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, akiongea na wananchi wa Halmashauri hiyo (hawapo pichani) wakati wa kufunga program maalum ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.
 
 
Mratibu wa Mifuko na Program za Uwezeshaji, kutoka Baraza la  Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bw. Samwel Shikona, akieleza kuhusu fursa za kuwawezesha wananchi kiuchumi zinazotolewa na Baraza hilo wakati wa program ya elimu ya Fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.
 
 
Mratibu wa Program ya Elimu ya Fedha kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Gibson Mwakoba, akifafanua jambo kwa wananchi waliohudhuria program ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya fedha nchini katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri hiyo.
 
 
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini – Wizara ya Fedha, Morogoro)

About the author

Alex Sonna