Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

ibizabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

grandpashabet

grandpashabet giriş

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

WMA YAWAPONGEZA WAKULIMA KARATU KUZINGATIA MATUMIZI YA VIPIMO SAHIHI

Written by Alex Sonna

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akiongoza zoezi la kuhakiki uzito wa vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Agosti 9, 2024. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Veronica Simba – WMA

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Albogast Kajungu, amefanya ziara ya kushtukiza katika mashamba ya wakulima mbalimbali eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha na kuridhishwa na namna wakulima hao wanavyozingatia matumizi ya vipimo sahihi.

Akiongoza Timu ya Wataalamu wa WMA katika zoezi hilo, Agosti 9, 2024, Kajungu amesema lengo ni kujiridhisha ikiwa wananchi wanazingatia elimu inayotolewa na Wakala wa Vipimo kuhusu matumizi ya vipimo sahihi ili kuzilinda pande zote yaani wakulima, wafanya biashara na walaji.

Katika ziara hiyo, Timu hiyo ya Wataalamu wa WMA walihakiki uzito wa mazao aina ya vitunguu yaliyofungashwa katika vifungashio vya aina mbalimbali tayari kwa kuuzwa pamoja na kuzungumza na wakulima, wafanyabiashara na wasafirishaji wa mazao hayo.

“Niwapongeze sana kwa kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi maana katika mazao yote yaliyofungashwa ambayo tumepima, hakuna yaliyozidi uzito unaoelekezwa kisheria. Nawasihi muendelee hivyo kwani kila upande utapata faida stahiki,” amesema Kajungu.

Akifafanua zaidi kuhusu maelekezo ya kisheria kwa uzito wa mazao ya shamba yaliyofungashwa, Kajungu amesema mkulima yuko huru kufungasha kwa kutumia aina yoyote ya kifungashio isipokuwa azingatie uzito wake usizidi kilo 100.

Ametoa ufafanuzi huo kutokana na uelewa tofauti kwa baadhi ya watu wanaotafsiri kuwa sheria inakataza kufungasha mazao kwa kuongeza kishungi katika vifungashio.

“Niendelee kuwaelimisha na kuwaelewesha kuwa tafsiri sahihi ya lumbesa siyo kishungi bali ni uzito uliozidi kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa, Na katika hili niseme wazi huwezi kuthibitisha lumbesa kwa macho, ni lazima upime kujiridhisha kuwa mazao yaliyofungashwa yamezidi kilo 100,” amesisitiza Kajungu.

Katika hatua nyingine, Kajungu ameendelea kutoa ushauri kwa Halmashauri zote nchini kutumia mizani kupima mazao yaliyofungashwa ili kuondoa utata na manung’uniko yanayojitokeza kwa baadhi ya wakulima na wafanyabiashara kwamba wanatozwa faini kwa mazao yaliyofungashwa na kuwa na kishungi yakitafsiriwa kama lumbesa.

“Mwarobaini wa changamoto hiyo ni kutumia mizani kama sheria inavyoelekeza na siyo kutizama kwa macho.”

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wakulima na wafanyabiashara wa vitunguu katika eneo la Mang’ola wamekiri kunufaika zaidi kwa kila upande baada ya kuanza kuzingatia elimu ya vipimo sahihi waliyopatiwa na Serikali kupitia Wakala wa Vipimo.

Marieta Tlemai, mkulima wa vitunguu, kwa niaba ya wenzake, ametoa pongezi kwa Serikali kupitia Wakala wa Vipimo kwa kuwajali wakulima na kuweka sheria ya ufungashaji mazao inayolenga kulinda maslahi yao.

Awali, Timu hiyo ya Wataalamu kutoka WMA, ilitembelea Ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Karatu ili kueleza dhamira ya ziara yao na kupokelewa na Katibu Tawala, Dkt. Lameck Karanga ambaye aliwahakikishia kuwa Ofisi yake inaunga mkono jitihada za kutokomeza lumbesa ili kulinda maslahi ya wananchi wake ambao wengi hujishughulisha na kilimo cha vitunguu.

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akiongoza zoezi la kuhakiki uzito wa vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Agosti 9, 2024. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) Albogast Kajungu (kulia) akimpongeza Mfanyabiashara wa Vitunguu katika eneo la Mang’ola wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha, Felix Matle kwa kuzingatia maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kuzilinda pande zote. Wataalamu wa WMA, walifanya ziara ya kushtukiza katika eneo hilo, Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo husika yanazingatiwa.

Wataalamu wa Wakala wa Vipimo (WMA), wakiwa katika eneo la Mang’ula wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha kuhakiki vitunguu vilivyofungashwa tayari kwa kuuzwa. WMA ilifanya ziara ya kushtukiza Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

Vitunguu vilivyofungashwa vikipimwa katika mzani wakati wa zoezi la kuhakiki mazao yaliyofungashwa eneo la Mang’ula, wilayani Karatu, Mkoa wa Arusha. Wakala wa Vipimo (WMA) ilifanya ziara ya kushtukiza katika eneo hilo Agosti 9, 2024 ili kujiridhisha endapo maelekezo ya Serikali kwa wakulima na wafanyabiashara kutozidisha kilo 100 kwa mazao yaliyofungashwa ili kulinda pande zote, yanazingatiwa.

About the author

Alex Sonna