Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

CCM YAZINDUA KAMPENI UCHAGUZI MDOGO KWAHANI Z’BAR

Written by mzalendo

 NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa (kulia), akimkabidhi Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 Mgombea nafasi ya Ubunge katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kwahani (kushoto) Khamis Yussuf Mussa(Pele) katika uzinduzi wa kampeni hizo zilizofanyika Uwanja wa Ofisi ya Tawi la CCM Sebleni Zanzibar leo Mei 26, 2024.

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR.

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi Wananchi wa Jimbo la Kwahani kufanya maamuzi sahihi ya kumchagua mgombea aliyesimamishwa na CCM kwani ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 kwa vitendo.

Nasaha hizo amezitoa wakati akizindua kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo katika Uwanja wa Tawi la CCM Sebleni Zanzibar.

Alisema CCM imejipanga kuhakikisha mgombea wake anashinda katika Uchaguzi huo ili kuendeleza maendeleo na ustawi wa jamii katika Jimbo hilo ambalo ni ngome ya CCM toka kuanzishwa kwa mfumo wa Vyama vingi vya  siasa nchini.

Katika maelezo yake Dkt.Dimwa,amesema Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi amefanya kazi kubwa na nzuri,hivyo anastahili kupewa Viongozi imara na makini wanaotokana na CCM ili wamsaidie kazi.

” Maendeleo ya Jimbo hili yatazidi kuimarika zaidi chini ya Viongozi wachapakazi,waadilifu na wachapakazi wanaojali utu na maisha ya Wananchi wote bila ubaguzi wa kisiasa,kikabila na kidini na kazi hiyo ataifanya kwa ufanisi mkubwa ndugu yetu Khamis Pele.” alisisitiza Dkt.Dimwa.

Akizungumzia mafanikio ya CCM katika utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025 uliofanyika katika Jimbo la Kwahani ikiwemo ujenzi wa Skuli ya kisasa ya ghorofa Shehia ya  Muungano iliyogharimu zaidi ya Bilioni 6.1,ujenzi wa Soko la Kwahani uliogharimu kiasi cha zaidi ya milioni 500, wanufaika wa miradi wa TASAF ni 242 unaogharimu zaidi ya milioni 577.4 pamoja na utoaji wa Pencheni Jamii kwa Wazee 582.

Pia utekeleza wa Ilani ya CCM kwa upande wa Mbunge na Mwakilishi wameimarisha sekta za Elimu,afya,maji safi na Salama, ujenzi wa Ofisi za CCM ngazi zote,vikundi vya ujasirimali, ununuzi wa vifaa vya michezo na misaada ya Kijamii kwa Wananchi vilivyogharimu shilingi 467.8.

Kupitia Mkutano huo Dkt.Dimwa, alimkabidhi Ilani ya Uchaguzi Mgombea huyo Khamis Yussuf Mussa (Pele), na kumsisitiza kuwa ilani hiyo ndio mkataba kati ya wananchi na CCM hivyo akishinda kazi kubwa ya kuendeleza maendeleo kwa wananchi wa jimbo hilo.

Kampeni hizo za Uchaguzi huo zinafanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Ahmada Yahya Abdul Wakil (Shaa) tarehe 8,April 2024 kwa maradhi ya shinikizo la damu, na Uchaguzi huo umepangwa kufanyika June 8, mwaka 2024.

About the author

mzalendo