Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

Redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

grandpashabet

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

dizipal

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

casibom

Featured Kitaifa

TANZANIA YAUNGA MKONO UAMUZI WA SADC – MAJALIWA

Written by mzalendo

*_Ni kuhusu mbinu za uvunaji wa maji na udhibiti wa mafuriko_*

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania inaunga mkono uamuzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) juu ya kuongeza mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko na miundombinu ya kuhifadhi maji hayo ili yatumike wakati wa ukame ama kiangazi kuzuia mafuriko msimu wa mvua nyingi.

“Tanzania inaunga mkono uamuzi huo na inasisitiza Sekretariet ya SADC kuongeza misaada kwa nchi wanachama katika ujenzi wa mabwawa ya kutunza maji ambayo yatatumika katika vipindi vya ukame na kiangazi pamoja na kuzuia mafuriko katika vipindi vya mvua,” amesema.

Waziri Mkuu amesema hayo leo (Jumatatu, Mei 20, 2024) wakati akizungumza kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kuhusu athari za mvua za El Nino. Ameshiriki mkutano huo kwa njia ya mitandao kutokea ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

Maamuzi hayo yaliyopendekezwa kwenye kikao cha Mawaziri wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo yalitaka ziongezwe mbinu za uvunaji wa maji, udhibiti wa mafuriko na miundombinu ya kuhifadhi maji kwa msaada kutoka kwa Sekretarieti ya SADC, Mashirika ya Uendelezaji Mabonde ya Mito (RBOs) na wadau wa maendeleo ili kuongeza nguvu ya kukabiliana na ukame ama mafuriko yanayosababishwa na hali ya hewa kwenye ukanda wa SADC.

Mapendekezo mengine yaliyotolewa ni kuboresha utendaji wa Usimamizi wa Rasilimali za Maji Jumuishi (IWRM); kufuatilia viwango vya maji na kutekeleza huduma za WASH; kuboresha usimamizi wa maji yanayohusisha nchi zaidi ya moja na ushirikiano wa kimataifa; kuhamasisha uhifadhi wa maji na kukuza matumizi ya maji machafu yaliyotibiwa na maji yaliyochujwa chumvi (desalination).

Akielezea kuhusu ujenzi wa mabwawa ya kutunzia maji ambayo yatatumika katika vipindi vya ukame na kiangazi pamoja na kuzuia mafuriko katika vipindi vya mvua, Waziri Mkuu aliwaeleza wajumbe wa mkutano huo kuwa Serikali ya Tanzania tayari imeandaa Mpango Mkakati wa Ujenzi Malambo 40 Nchini (rain water ponds) kuanzia Novemba 2023 hadi Julai 2024 ambao ni awamu ya kwanza.

“Lakini tuna mkakati kwa ajili ya ujenzi wa malambo (charco dams) katika vijiji vilivyopo maeneo kame ambayo yapo pembezoni mwa barabara kuu ili kuongeza maji yatakayotumika kwa kilimo cha umwagiliaji,” amesema na kuongeza:

“Pia Serikali ina mpango mkakati wa ujenzi na ukarabati wa mabwawa makubwa tuliyonayo kwa lengo la kuwezesha kilimo cha umwagiliaji kwenye maeneo hayo ili kuwa na uzalishaji wa mazao ya chakula kwa kiasi kikubwa,” amesema na kuongeza kuwa Tanzania itawasiliana na Sekretarieti juu ya mipango ya uvunaji maji ya mvua ambayo imeiandaa.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amesema Tanzania itaendelea na mipango ya kuhakikisha inaongeza uzalishaji wa chakula ili kuendelea kuwa na ziada ya kutosha kwa mahitaji ya ndani na hata kuuza ziada hiyo nje ya nchi.

Amesema katika kukabiliana na matatizo ya lishe nchini, mkazo mkubwa umewekwa kwenye kuongeza tafiti za uzalishaji wa mbegu zilizoongezewa virutubishi (biofortified) ili kuongeza upatikanaji wa mbegu hizo kwa wakulima na hivyo kuongeza uzalishaji wa mazao na kusaidia katika kuboresha lishe ya jamii hususan kwa watoto chini ya miaka mitano, akinamama wajawazito na wanaonyonyesha.

“Tanzania inaunga mkono mpango wa nchi za SADC kuagiza mazao ya nafaka kutoka nchi wanachama zenye uzalishaji wa ziada wa mazao hayo. Pia tutaendelea kuunga mkono jitahidi za SADC katika kufanya tathmini ya kina ya hali ya usalama wa chakula na lishe. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaunga mkono jitihada zitakazofanywa na sekretarieti ya SADC katika kusaidia nchi wanachama wa SADC zenye upungufu wa nafaka kupata masoko ya nafaka hizo,” amesema.

Akitoa ufafanuzi kuhusu maafa yaliyosababishwa na kunyesha kwa mvua za El Nino na kimbunga HIdaya, Waziri Mkuu aliwaeleza wakuu hao wa nchi kwamba Serikali ilichukua hatua za haraka ili kukabiliana na athari zilizojitokeza. “Hatua hizo ni pamoja na kutoa misaada ya kibinadamu kwa waathirika, kurejesha hali ya majengo na miundombinu ikiwemo barabara, miundombinu ya maji na umeme.”

Washiriki wa mkutano huo walikuwa ni wakuu wa nchi za Angola, Botswana, DRC, Namibia, Lesotho, Zambia, Zimbabwe na Waziri Mkuu wa Eswatini. Washiriki wengine walikuwa ni Mawaziri kutoka Madagascar, Afrika Kusini, Malawi, Msumbiji, Mauritius na Shelisheli.

About the author

mzalendo