Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

türk porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet güncel giriş

girne escort

magusa escort

ramadabet

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

AGRI CONNECT YAONGEZA MNYORORO WA THAMANI WA MAZAO – MUFINDI

Written by mzalendo

Na Mwandishi Wetu , Mufindi.

Imeelezwa kwamba kukamilika kwa ujenzi wa Barabara ya Km. 30.3 kutoka Sawala -Mkonge- Iyegeya uliogharimu shilingi bilioni 12.17 kupitia mradi wa Agri- Connect unaofadhiliwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) umeongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya mbogamboga, chai na kahawa kwa wakulima wa wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa.

Hayo yameelezwa mwishoni mwa wiki na Meneja wa TARURA wilaya ya Mufindi Mhandisi Richard Sanga alipozungumza na waandishi wa habari katika mashamba ya chai wilayani hapa.

Mhandisi Sanga amesema kukamilika kwa ujenzi wa barabara hiyo kumeongeza mnyororo wa thamani ya mazao ya wakulima wilayani hapo ambapo awali mazao yao yalikuwa yanaharibika njiani kabla ya kufika viwandani na hivyo wananchi hao na vyama vya ushirika kupata hasara kubwa.

“Lengo kubwa la mradi huu ilikuwa kuwawezesha wakulima kutoa mazao yao mashambani na kufikisha viwandani yakiwa na hali nzuri kwani kabla ya mradi huu kutekelezwa mazao ya wananchi hasa chai yalikuwa yanaharibika njiani kabla ya kufika viwandani hususan kipindi cha mvua na hivyo kudhorotesha uchumi wa mwanachi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla”

“Tunashukuru kwa kupata mradi huu kwani kukamilika kwa barabara Km. 30.3 kumewezesha wananchi kukua kiuchumi na kuongeza tija katika uzalishaji pamoja na kurahisisha shughuli za usafiri kwa wakazi wa maeneo mengine yanayozunguka mradi huu zikiwemo kata za Mtwango, Luhunga, Ihanu na Mdabulo kwani awali usafiri ilikuwa ni changamoto”. Aliongeza Mhandisi Sanga
Aidha, Mhandisi Sanga aliongeza kusema kwamba jumla ya barabara hiyo ni km 40.7 hivyo Km. 10.4 zilizobaki sasa hivi wanaendelea na matengenezo kwa kiwango cha lami kwa kutumia teknlojia mbadala ya ‘Ecoroads’.

Amesema TARURA wanaendelea kuhakikisha barabara zote wanazozisimamia zinapitika katika majira yote na wananchi wake wanasafiri na kusafirisha mazao yao ili kuwainua kiuchumi wananchi wake.

Naye Bw. Santino Mdeta mkulima wa chai kutoka kijiji cha Mkonge amesema kata ya Luhunga vipo vijiji vingi vinavyolima chai hivyo wanaishukuru Serikali kupitia mradi wa Agri-connect kwa kuwasaidia Barabara ambayo ilikuwa changamoto kubwa sana kwa wakulima wa zao hilo.

Amesema kabla barabara haijatengenezwa ilikuwa changamoto kubwa sana kwani chai zilizokuwa zikichumwa Kwenda kiwandani zilikuwa zikifika kwa shida kwa kuwa zao hilo linahitaji kufikishwa kiwandani ndani ya masaa nane mara baada ya kuchumwa.

Amesema walikuwa wakipata hasara kubwa kwani chai zilikuwa zikifika kwa shida viwandani na katika kipindi cha mvua ilikuwa ni hasara kwa mkulima kwani zao hilo mara nyinyi huchumwa kipindi cha masika ambapo mvua zinakuwa ni nyingi na kusababisha kutokufika kwa wakati.

About the author

mzalendo