Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

starzbet

starzbet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

palacebet

ultrabet

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

betebet

gonebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

doeda

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

grandpashabet giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

portobet

dinamobet giriş

casibom

casibom

casibom

casibom

jojobet

casibom

casibom

casibom

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

betasus

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

Featured Kitaifa

RAIS SAMIA ARIDHIA UJENZI WA BARABARA YA KM 41 KUTOKA KIBADA -MWASONGA -KIMBIJI-WAZIRI BASHUNGWA

Written by Alex Sonna

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara.

Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia kitengo cha dharura imekuwa ikirudisha mawasiliano kwenye maeneo ambayo mawasiliano yamekatika kutokana na uharibifu.

Waziri wa Ujenzi Mhe Innocent Bashungwa ameyasema hayo tarehe 29 Aprili 2024 katika Manispaa ya Kigamboni wakati alipotembelea na kukagua barabara ya Kibada-Mwasonga-Kimbiji akiwa katika ziara ya kikazi ya siku mbili Jijini Dar es salaam

Amesema zoezi la kufungua miundombinnu ya barabara limefanikiwa kutokana na serikali ya awamu sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuiwezesha kibajeti TANROADS kupitia kitengo cha dharura ili kurahisisha shughuli za kiuchumi na utoaji wa huduma.

Waziri Bashungwa amewahakikishia wananchi kote nchini kuwa hakuna barabara ambayo mawasiliano yatakatika kutokana na mvua kisha ikaachwa bila ya mawasiliano yake kurudishwa kwa haraka.

Kuhusu ujenzi wa barabara katika wilaya ya Kigamboni Waziri Bashungwa ameeleza kwamba, serikali ya awamu sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeridhia ujenzi wa barabara ya kutoka Kibada kwenda Mwasonga hadi Kimbiji yenye urefu wa kilometa 41.

“Awali ujenzi wa barabara ya Kibada kwenda Mwasonga hadi Kimbiji yenye urefu wa kilomita 41, ilitakiwa iishie hapo, lakini kutokana na maombi yaliyoletwa na mbunge wenu (mbunge wa Kigamboni) serikali imeridhia na hivyo tumeongeza kilometa 10 na kufanya ujenzi wa barabara hiyo itakuwa ni kilometa 51 kumalizia kipande chote kiluchobakia katika barabara hii” Amesisitiza Waziri Bashungwa

Amepongeza hatua za haraka zinazoendelea kuchukuliwa na TANROADS, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es saklaam pamoja na TARURA katika kukabiliana na athari za miundombinu ya barabara na madaraja zilizotokana ana mvua za El-Nino

Kwa upande mwingine, Waziri Bashungwa ameagiza kuundwa kwa timu maalumu na kisha kupelekwa katika eneo la Magogoni lililopo kata ya Tungi wilayani Kigamboni kwa ajili ya kufanya usanifu na kisha kuja na majawabu ya juu ya nini kifanyike ili kutatua changamoto ya maji kuzingira makazi ya wananchi wa eneo hilo.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema mkoa huo unahitajika kufumuliwa kwenye mifumo imara na thabiti ya kusafirisha maji ya mvua lengo likiwa ni kuondoa athari zinazotokana na mafuriko ikiwemo wananchi kupoteza maisha.

Mkuu huyo wa Mkoa ameendelea kwa kusema kuwa, watu wengi wamejenga juu ya mifumo hiyo ya kusafirisha maji ya mvua hivyo kama mkoa watafanya usanifu kupata suluhu ya changamoto ya mafuriko.

Akizungumza kwa niaba ya wanachi, mbunge wa jimbo la Kigamboni Dkt. Faustine Ndugulile amesema, kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya kutoka Kigamboni kuelekea Mwasonga hadi Kimbiji itakuwa ni faida kubwa kwa wakazi wa Kigamboni kwani inatumiwa na watu wengi na inapita kuelekea kwenye viwanda zaidi ya 10.

Dkt. Ndugulile ameongeza kuwa, barabara hiyo inapitisha magari zaidi ya 1,000 madogo kwa makubwa yenye uzito tofauti hivyo ni barabara muhimu kiuchumi na kwa shughuli za uzalishaji.

Kando na hayo, Ndugulile ametoa ombi kwa mkandarasi anayejenga barabara hiyo pia kujielekeza kwenye ujenzi wa mifereji ya maji kwani imekuwa ni changamoto kubwa katika barabara za Kigamboni.

About the author

Alex Sonna