Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

starzbet

starzbet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

holiganbet

betsalvador

jojobet

holiganbet

jojobet

betpark güncel giriş

betpark

https://www.newstrendline.com/

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet güncel giriş

jojobet güncel giriş

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

betsat

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

betsat

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

trendbet

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

holiganbet

uyuşturucu satın al

jojobet güncel giriş

casibom

royalbet

imajbet

kafacasino

betface

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

pusulabet

betsat

betpark

vdcasino

jojobet

casibom

matbet

nerobet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

starzbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

casino siteleri

jojobet

tubidy

Uncategorized

MHE. KIKWETE:MIFUMO MIPYA YA UTENDAJI KAZI SERIKALINI KUWABANA WATUMISHI WASIOFANYA KAZI

Written by mzalendo
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza  leo na Menejimenti ya Chuo cha Ufundi Arusha ( ATC) ikiwa ni muendelezo wa ziara  yake ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya mfumo wa utendaji kazi kwa watumishi wa umma kutika Chuo  Ufundi Arusha ( ATC)  yaliyofanyika katika Chuoni hicho 
Mkurugenzi wa Maadili kutoka Ofisi ya Rais, UTUMISHI na Utawala Bora  ambaye pia ni Mwezeshaji wa Mafunzo ya Mfumo wa Utendaji Kazi kwa Watumisgi wa Umma ,Bi. Leila Mavika  akizungumza kabla ya kumkaribisha  Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe.Ridhiwani Kikwete 
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa ameongozana na Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha( ATC)  Dkt.Musa Chacha wakati akitembelea Chuo hicho  mara baada ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya mfumo kwa watumishi wa umma.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na baadhi ya wanafunzi wakati akitembelea Chuo cha Ufundi Arusha ( ATC)  mara baada ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya mfumo kwa watumishi wa umma.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akisalimiana na baadhi ya timu ya na Menejimenti ya Chuo cha Ufundi Arusha ( ATC) pamoja na baadhibya wanafunzi wa chuo hicho  ikiwa ni muendelezo wa ziara  yake ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya mfumo wa utendaji kazi kwa watumishi wa umma kutika Chuo  Ufundi Arusha ( ATC)  yaliyofanyika katika Chuoni hicho.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwa  na Mkuu wa Chuo cha Arusha( ATC) Dkt.Musa Chacha wakiangalia baadhi ya mashine za kufundishia wanafunzi kwa vitendo katika chuo hicho kilichopo Jijini Arusha.
  Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya  Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Serikali ya wananfunzi wa   Chuo cha Ufundi Arusha ( ATC) mara baada ya kuwasili Chuoni hapo  ikiwa ni muendelezo wa ziara  yake ya kukagua maendeleo ya mafunzo ya mfumo wa utendaji kazi kwa watumishi wa umma kutika Chuo  Ufundi Arusha ( ATC)  yaliyofanyika katika Chuoni hicho 
Na Lusungu Helela- Arusha 
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwani Kikwete amesema matumizi ya mfumo wa PIPIMS, PEPMIS na HR Assessment  katika Utumishi wa Umma nchini  itaimarisha Utumishi wa Umma kwa  kuwabana Watumishi wanaopenda kukaa ofisini pasipo kufanya kazi.
Mhe.Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jijini Arusha wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na Watumishi wa  Ofisi ya  Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha ( AICC) na Chuo cha Ufundi Arusha ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi ya kukagua mafunzo ya matumizi ya Mfumo wa Kupima Utendaji Kazi wa Watumishi wa Umma na Taasisi (PEPMIS na PIPMIS) na Mfumo Maalum wa Tathmini ya hali ya Rasilimaliwatu Serikalini (HR Assessment).
Amesema Serikali imedhamiria kuimarisha Utumishi wa Umma kwa kuhimiza uwajibikaji  ili kuhakikisha kama Taifa linakuwa na utumishi wa umma unaopimika kwa  kumpima Mtumishi mmoja mmoja pamoja  na Taasisi kwa ujumla.
Ameongeza kuwa mfumo wa PEPMIS umekuja kuwa mbadala wa OPRAS ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anayelenga kuimarisha mifumo ya uwajibikaji inayowezesha viongozi na watumishi wa umma kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi wakati na mahali popote.
Katika hatua nyingine Mhe. Kikwete amewataka Maafisa Utumishi na Maafisa Tawala kuacha kukaa ofisini badala yake waende maeneo ya kazi ili kusikiliza changamoto zinazowakabili watumishi walio chini yao.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe.John Mongela amesema zama hizi hazihitaji watu wenye misuli kutokana na kukua na teknolojia. Hivyo, teknolojia imerahisisha utendaji kazi na sisi tuko tayari kuisimamia utekelezaji wake.
Amesema ujio wa mafunzo hayo  yamekuja wakati muafaka ambapo  Maafisa Utumishi na Maafisa Tawala wataanza kubadilika na  kuachana na utaratibu wa kizamani wa utendaji kazi wao.
Hata hivyo ametumia fursa hiyo kuiomba Ofisi ya Rais, UTUMISHI na Utawala Bora kuwanoa upya  Maafisa Utumishi na Maafisa Utawala  wa mikoa na Halmashauri kwani utendaji wao wa kazi sio wa kuridhisha ikizingatiwa wao ndo wenye jukumu la kuwasimamia watumishi wengine.

About the author

mzalendo