Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

bets10

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

hd porno

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

holiganbet

grandpashabet

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10 sorunsuz giriş

girne escort

magusa escort

bets10

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

TUME YA MADINI YAAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA

Written by Alex Sonna

KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 18,2023 jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Tume hiyo katika kipindi cha mwaka 2022/2023 na mikakati ya mwaka 2023/2024.

 

SEHEMU ya Waandishi wa habari na Watumishi wa Tume ya Madini wakimsikiliza Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo,akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Tume hiyo katika kipindi cha mwaka 2022/2023 na mikakati ya mwaka 2023/2024.

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 masoko na vituo vya ununuzi wa madini vilichangia jumla ya Sh. bilioni 157.4  kama mrabaha na ada ya ukaguzi wa madini nchini.

Hayo yameelezwa leo Agosti 18,2023 jijini Dodoma na Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo wakati akitoa taarifa  kwa waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Tume hiyo katika kipindi cha mwaka 2022/2023 na mikakati ya mwaka 2023/2024.

Mhandisi Lwamo amesema kuwa, Tume ya Madini imefanikiwa kuanzisha masoko 42 ya madini na vituo vidogo vya kuuzia madini 94 kama mkakati wa kuimarisha udhibiti wa biashara ya madini nchini ili kuongeza mapato yatokanayo na rasilimali madini kwa Serikali.

”Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 masoko na vituo vya ununuzi wa madini vilichangia jumla ya shilingi  bilioni 157.4  kama mrabaha na ada ya ukaguzi wa madini nchini ikiwa ni sawa na asilimia 23.22 ya makusanyo yote yaliyokusanywa na Tume katika mwaka husika.”amesema Mhandisi Lwamo

Aidha amesema kuwa katika kipindi cha  Mwaka wa Fedha 2022/2023, Tume ya Madini imefanikiwa kutoa jumla ya leseni za uchimbaji madini 9,642 kati ya leseni 9,174 zilizopangwa kutolewa na tume hiyo kwa mwaka wa fedha uliopita.

“Katika kuendelea kuimarisha uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini, Tume imefanikiwa kutoa jumla ya leseni za uchimbaji madini 9,642 ambazo zinajumuisha leseni za uchimbaji mkubwa, uchimbaji wa kati, uchimbaji mdogo, biashara ya madini pamoja na uchenjuaji wa madini, na kati ya leseni zilizotolewa, leseni 6,511 sawa na asilimia 70.97 zimetolewa kwa wachimbaji wadogo”, alisema Mhandisi Lwamo.

Ameongeza kuwa, kuongezeka kwa utoaji wa leseni hizo unadhihirisha azma ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuwaendeleza wachimbaji wadogo na kuongeza mchango wao katika sekta ya Madini.

Amesema kuwa Tume ya Madini  imeendelea kusimamia uwasilishaji wa Mipango ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (LCPs) kutoka kwa Wamiliki na Waombaji wa leseni za madini pamoja na watoa huduma kama takwa mojawapo la Sheria ya Madini Sura ya 123.

“Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/23, jumla ya mipango 656 ya Ushirikishwaji wa Watanzania ilipokelewa na kufanyiwa uchambuzi na kati ya mipango iliyowasilishwa, 652 ilikidhi vigezo na kuidhinishwa.” Alimalizia Mhandisi Lwamo.

 Hata hivyo amesema kuwa Mwelekeo wa Sekta ya Madini unalenga  kuhakikisha Mchango wa Sekta ya Madini katika Pato la Taifa unafikia asilimia 10 au zaidi ifikapo mwaka 2025 kama inavyofafanuliwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa, Ilani ya  Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2020 pamoja na Mpango Mkakati wa Tume ya Madini wa Mwaka 2019/2020-2023/2024.

“Katika kuhakikisha azma hiyo inafikiwa, Tume ya Madini inatarajia kuwa na mikakati ifuatayo ili kuwa na shughuli za madini ambazo ni endelevu  za kuimarisha usimamizi na udhibiti katika maeneo ya uzalishaji wa madini ujenzi na madini ya viwandani kwa kuongeza Wakaguzi Wasaidizi wa Madini Ujenzi (AMAs), vitendea kazi (PoS) pamoja na kushirikisha Mamlaka nyingine za Serikali zinazosimamia na kutumia rasilimali hizi yaani Halmashauri, Polisi, TARURA & TANROADS, hii  itasaidia kuuongezeka kwa makusanyo yatokanayo na rasilimali ya madini ujenzi na madini ya viwandani”, amesema Mhandisi Lwamo.

About the author

Alex Sonna