Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

https://www.newstrendline.com/bilgi-kutusu/

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

holiganbet

betsalvador

mavibet

mavibet giriş

jojobet

bets10 sorunsuz giriş

grandpashabet güncel giriş

https://www.newstrendline.com/

holiganbet

ultrabet giriş

lunabet

mavibet

setrabet

imajbet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

casibom

casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

casibom

betsat

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

sahabet

bets10 giriş

dinamobet giriş

casibom

casibom

jojobet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

jojobet

ultrabet

casibom

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

capitolbet giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa haber

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betsat

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

grandpashabet

girne escort

magusa escort

dedebet

holiganbet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

starzbet

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

Featured Kitaifa

REA KUGAWA MITUNGI YA GESI YA KUPIKIA 2,700 KILA MKOA

Written by Alex Sonna

MKURUGENZI Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA),akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 18,2023 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya wakala huo na mwelekeo wa mwaka wa fedha 2023/24.

MKURUGENZI Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA),akijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na  waandishi wa habari leo Agosti 18,2023 jijini Dodoma wakati akitoa taarifa kuhusu utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya wakala huo na mwelekeo wa mwaka wa fedha 2023/24.

 

Na.Alex Sonna-DODOMA

KATIKA  Mwaka wa fedha 2023/24,Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imepanga kugawa mitungi ya gesi ya kupikia (LPG) 2,700 kila mkoa ili kuongeza matumizi ya nishati safi ambayo yatasaidia kulinda na kuhifadhi mazingira ambapo hekta 400,000 za misitu zinaharibiwa kila mwaka kutokana na shughuli za kibinadamu.

Hayo yamesemwa leo Agosti 18,2023 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy,wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya wakala huo na mwelekeo wa mwaka wa fedha 2023/24.

Mhandisi Saidy amesema kuwa lengo la serikali ni kubadili mitizamo ya wananchi katika matumizi ya nishati chafu ili kujikita katika matumizi ya nishati safi ya gesi na umeme ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kutaka taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 300 kuacha matumizi ya kuni na mkuu.

“Wakala, umeanza kutekeleza Mradi wa kusambaza mitungi ya gesi ya kupikia kwa utaratibu wa utoaji ruzuku kuwezesha usambazaji wa mitungi ya gesi ya kupikia (LPG) 71,000  yenye thamani ya Sh. bilioni tatu pamoja na majiko banifu 200,000 katika maeneo ya vijijini.

“Kwa mwaka wa Fedha 2023/24 jumla ya fedha  takribani Sh. bilioni 10 zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha mradi huo”amesema Mhandisi Saidy 

Amesema , mradi mwingine ni ule wa kusambaza gesi asilia ya kupikia katika Mikoa ya Mtwara, Lindi na Pwani pembezoni mwa Mkuza wa bomba kuu la kusafirisha gesi asilia.

Vile vile, amesema utekelezaji wa Mradi huo utahusisha REA na TPDC kwa mwaka wa fedha 2023/24 na jumla ya Sh. bilion 20 zinatarajiwa kutumika.

“Mradi huu utahusisha ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia (CNG) lenye urefu wa km 44.4 (Mnazi Mmoja – Lindi (km 22.9) na Mkuranga – Pwani (km 21.5) ambapo jumla ya nyumba/wateja 980 kunufaisha (Mnazi Mmoja – Lindi, wateja 451 na Mkuranga-Pwani, wateja 529)”amesema

Hata hivyo, amesema Serikali kupitia REA kwa kushirikiana na Benki ya Dunia (WB) imetenga Dola za Kimarekani milioni sita kwa ajili ya mradi wa usambazaji wa majiko banifu ya kupikia 200,000 katika maeneo ya vijijini na vijiji miji Tanzania bara.

Aidha amesema kuwa REA ipo katika mchakato wa kuanzisha vituo maalum kwa ajili ya kupima gesi vijijini zinazotumika kupikia majumbani ili kuwezesha wananchi wengi kutumia nishati hiyo na kuondokana na matuzi ya kuni na mkaa yenye athari kubwa kiafya,kimazingira na kiuchumi.

Mhandisi Saidy amesema  katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi nchini REA, imepanga kuhakikisha kuwa gesi inapatika katika maeneo ya vijijini kwa gharama ambazo mwanachi wa kawaida anaweza kuzimudu.

“Katika kufanikisha hilo hivi sasa Wakala wa Nishati Vijijini tupo katika mazungumzo na Kampuni ya PUMA ili kujenga vituo vya kupima gesi katika maeneo mbalimbali ili kuwezesha wananchi kupata hudumu kulingana na kiasi cha fedha walizonazo.

“Vituo hivi vya kupima gesi vitawezesha wananchi kupata huduma kwa fedha waliyonayo utakuwepo utaratibu ambao utawezesha mtu kupima gesi kwa fedha aliyonayo akitaka kilo moja anapata siyo kama ilivyo sasa mtu analazimishwa kununua kulinga na ujazo uliopo”amesema 

Ameeleza kuwa wanaendelea na jitihada na kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa matumizi ya nishati safi na kuachana na matumizi ya nishati chafu katika maeneo mbalimbali nchini.

“Wananchi wamekuwa na hofu kuhusu upatikanaji wa nishati safi lakini pia bei yake lakini niwahakikishie kuwa gharama za matumizi ya gesi ni ndogo ukilinganisha na matumizi ya kuni na mkaa ambayo yanaathari kubwa kiuchumi,kiafya na kimazingira”amesema

About the author

Alex Sonna