Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10 giriş

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betsat

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

matbet

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

Pusulabet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

tarafbet

spinco

tümbet güncel giriş

betsat giriş

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

kralbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

bets10

girne escort

magusa escort

deneme bonusu

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

jojobet

jojobet

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

dizipal

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

Featured Kitaifa

JKT YATAJA MKAKATI WA KUZALISHA MBEGU BORA ZA ALIZETI NCHINI

Written by Alex Sonna

Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

 Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiendelea kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023 

Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiangalia Alizeti wakati akikagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

Mkurugenzi wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kutoka JKT Kanali Peter Lushika,akielezea ekari 500 zilizolimwa zitazalishwa tani 600 za mbegu za alizeti wakati wa ziara ya kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

KAIMU  Kamanda wa kikosi cha 834KJ Makutopora Meja James Macheta,akielezea jinsi muda waliotumia kuliandaa Shamba hilo wakati wa ziara ya kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

Meneja Mashamba Makutopora JKT Kapteni Ezekiel Mtani,akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara ya kukagua shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino Mkoani Dodoma leo Aprili 17,2023.

 

BAADHI ya vijana walioshiriki katika kilimo wakielezea jinsi walivyojifunza hatua mbalimbali ambazo zitawasaidia mara baada ya kuhitimu mafunzo hali itakayowasaidia kuendesha uchumi wao.

Na.Alex Sonna-CHAMWINO

KATIKA  kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mafuta ya kula nchini,Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limejipanga kuzalisha  kwa wingi mazao ya mafuta kama alizeti na michikichi na kuhakikisha wanaongeza upatikanaji wa mbegu bora za maza0.

Hayo yameelezwa leo Aprili 17,2023 Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma na Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Brigedia Jenerali Hassan Mabena wakati alipotembelea shamba la uzalishaji wa mbegu bora za alizeti shamba lenye ukubwa wa ekari 500 lililopo Chenene Chamwino.

Amesema Taifa limekuwa na uhitaji wa tani laki sita na hamsini elfu (650,000) za mafuta ya kupikia na upatikanaji ni tani laki mbili na tisini elfu (290,000)  na kuna upungufu wa tani laki tatu na sitini elfu(360,000) hivyo wamejipanga kuhakiki wanaondoa upungufu huo.

“Kama JKT tumejikita katika kilimo, Mifugo na Uvuvi na kwa upande wa chakula tumejitosheleza sasa tunataka tujikite katika uzalishaji wa mazao ya mafuta na hapa tumeanza na uzalishaji wa mbegu za zao la alizeti ili kuhakikisha mbegu bora inapatikana JKT na wakulima wapate mbegu bora” amesema.

Aidha amesema kwa kushirikiana na Taasisi ya utafiti wa kilimo TARI kituo cha Ilonga walifanya utafiti wa udongo na kuthibitika kuwa na kiwango kinachotakiwa katika uzalishaji wa zao la alizeti na kuhakikisha mbegu inayozalishwa ni ya uhakika itakayomsaidia mkulima tofauti na mbegu nyingine zinazotumika msimu mmoja.

“Pia kwa kushirikiana na wataalamu wa Kilimo katika kudhibiti magugu na wadudu waharibifu ili kuhakikisha tunapata mbegu bora, pia tunashirikiana na wataalamu wa hali ya hewa ili kuwa na mazao ya uhakika bila kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi” amesema.

Ameongeza kuwa “ ili kuwa na kilimo cha uhakika katika eneo hili tutatengeneza mabwawa ili kuhifadhi maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wakati tunajiandaa kutengeneza miondombinu ya umwagiliaji katika eneo hilo tuwe na kilimo cha uhakika” amesema.

Amebainisha kuwa kwa upande wa zao la mchikichi katika kikosi 821 KJ Kigoma zimelimwa ekari 800 za mbegu za msingi wakati ekari 1200 zikiandaliwa lengo ni kufikia uzalishaji katika ekari 2000 zitakazozalisha mbegu za Mchikichi zitakazo tumika katika Halmashauri zinazolima zao la mchikichi.

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi kutoka JKT Kanali Peter Lushika amesema katika ekari 500 zilizolimwa zitazalishwa tani 600 za mbegu za alizeti huku lengo ni kufikia tani 1300 hadi tani 1500 za mbegu bora za alizeti.

Amesema mara baada ya kuzalisha mbegu za alizeti za kutosha JKT watafungua mashamba ya zao la alizeti ili kuongeza uzalishaji wa zao hili lengo ni kufikia ekari 5000 za mashamba ya alizeti.

Nae Kaimu Kamanda wa kikosi cha 834KJ Makutopora Meja James Macheta amesema katika eneo hilo kuna shamba la ukubwa wa ekari 1000 na lilianza kuandaliwa mwezi wa 10 na kupandwa mwezi Disemba, 2022 na ekari 200 zimelimwa katika eneo la Wilaya ya Kongwa.

Katika hatua nyingine amesema uzalishaji katika mashamba hayo vijana wa kujitolea wameshirikishwa kwa asilimia 100 katika ngazi zote ikiwa ni kuwajengea uwezo na kuwapa ujuzi.

Nao baadhi ya vijana walioshiriki katika kilimo Abdul Mmasi amesema kupitia kilimo hicho wamejifunza hatua mbalimbali ambazo zitawasaidia mara baada ya kuhitimu mafunzo hali itakayowasaidia kuendesha uchumi wao.

“Mafunzo hayo ni mazuri yatatusaidia mimi nina digree(Shahada) lakini nikiwa katika mafunzo haya nimejifunza hatua kwa hatua shughuli za kilimo mafunzo yatanisaidia nikimaliza mafunzo nitajikita katika kilimo” amesema Mmasi.

About the author

Alex Sonna