Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

mavibet

setrabet

betebet

betebet

gonebet

piabet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

holiganbet güncel giriş

mavibet giriş

piabellacasino giriş

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

mavibet giriş

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

casibom

jojobet

casibom

jojobet

jojobet

ultrabet

fixbet

fixbet

casibom

fixbet

Hacklink panel

betturkey

betnano

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

kralbet giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

casibom güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

pokerklas

grandpashabet

bets10

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

redwin

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

holiganbet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

kralbet

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Featured Kitaifa

MEWAKA KUENDELEA KUBORESHA MBINU ZA UJIFUNZAJI NA UFUNDISHAJI

Written by Alex Sonna

 

Asila Twaha, TAMISEMI

Serikali imesema kuwa, itaendelea kuboresha miundombinu ya elimu katika ujifunzaji na ufundishaji kwa kuhakikisha Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) yanafikia lengo.

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Grace Magembe anayeshughulikia afya amebainisha hayo Septemba 19, 2022 Jijini Dodoma wakati akifungua Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini (MEWAKA) kwa wawezeshaji wa Kitaifa lengo likiwa kuwajengea uwezo wakati watakapokwenda kutekeleza majukumu yao katika ngazi ya Mikoa na Halmashauri.

Ameeleza kuwa Serikali imeendelea kuboresha vituo vya walimu (TRCs) vitakavyotumika kutoa Mafunzo endelevu ya Walimu Kazini pamoja na kununua vifaa vya TEHAMA vitakavyosaidia katika uendeleshaji wa mafunzo hayo.

“Mafunzo haya yamepangwa kutolewa katika ngazi za shule na vituo vya walimu ambapo walimu wote wanaelekezwa kushiriki kikamilifu” amesisitiza Dkt. Grace

Mafunzo hayo yamelenga kufikia Halmashauari 40 ambazo hazijapatiwa mafunzo.

Aidha, Dkt. Grace amesema Halmashauri 19 kati 40 zilizobaki katika Mikoa ya Kigoma, Tanga, Simiyu, Mara, Rukwa, Singida na Dodoma zitapatiwa mafunzo kwa walimu wa shule ya msingi kupitia programu ya Shule Bora.

Amewataka viongozi wanaosimamia mpango huo na wawezeshwaji kusimamia kikamilifu mpango huo ambao Serikali kwa kushirikiana na wadau wameuwekeza.

Amewataka kuhakikisha kuwa, mafunzo hayo yanakuwa na tija na endelevu kwa walimu.

Pia, amewaagiza walimu wote nchini kushiriki kikamilifu mafunzo hayo katika jumuiya za kujifunza kwa ngazi ya shule na vituo vya walimu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET)Dkt. Aneth Komba ameishukuru Serikali kwa kuendelea kuwawezesha walimu kwa kuwapatia mfunzo na kueleza kuwa, mafunzo hayo yatatoa nafasi ya walimu kuweza kupata mbinu tofauti za kufundishia na kuweza kuwaelekeza jinsi ya kuweza kusoma kwa maktaba mtandao lakini pia kuweza kutumia njia ya “Learning Management System (LMS) ambayo itawawezesha kupata nyenzo tofauti za kufundishia kwa kutumia njia ya kieletroniki.

Mwenyekiti wa Mafunzo Endelevu ya Walimu Kazini Bi. Modesta Ng’aida(Mkufunzi chuo cha Ualimu Butimba) kwa niaba ya wawezeshwaji hao amesema, mafunzo hayo watakayopata yatakuwa ni mwongozo wa kuwawezesha kwenda kuwa mabalozi wazuri katika maeneo watakao elekezwa kuenda kuyatekeleza.

“Tunaihakikishia Serikali yetu hamjakosea sisi tunaowakilisha wenzetu tutahahakikisha tunaifikisha elimu tuliyoipata kwa manufaa ya watoto wetu ambao ndio wanafunzi wetu” amesema Ng’aida

Pia, Dkt. Grace amtoa wito kwa walimu kuendelea kutoa elimu ya shuleni na duniani kwa kujua kuwa wao wamepewa jukumu kubwa la kuaminika.

“Walimu mnajukumu kubwa sana tusaidianeni na wazazi ili kuwasimamia watoto kwa kuwaongoza katika elimu ya shule na duniani ili watoto wetu wawe ni wenye tabia njema”
amesema Dkt. Grace

About the author

Alex Sonna