Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

meritking

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

jojobet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betlivo

betra

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

grandpashabet

meritbet

tümbet güncel giriş

betsat

vdcasino giriş

jojobet

Jojobet

betsat

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

betpark

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

vidobet

vdcasino giriş

Featured Kitaifa

TAASISI YA IPRT,CHUO CHA DAYSTAR CHA KENYA ZAINGIA MAKUBALIANO KUWANOA WADAU WA MAWASILIANO YA UMMA

Written by Alex Sonna

Mratibu Mafunzo wa Taasisi ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania IPRT Dk. Titus Simsamba (kulia) pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo cha Daystar Prof. Laban  Ayiro (kushoto) wakipongezana mara baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji (MOU) baina ya taasisi hizo ili kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati mahususi kwa watendaji wakuu, maofisa mawasiliano, maofisa utumishi pamoja na maafisa mbalimbali katika mashirika hapa nchini. Hafla ya utiaji saini makubaliano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam 

Mratibu Mafunzo wa Taasisi ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania IPRT Dk. Titus Simsamba (kulia) pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo cha Daystar Prof. Laban  Ayiro (kushoto) wakisaini makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji (MOU) baina ya taasisi hizo ili kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati mahususi kwa watendaji wakuu, maofisa mawasiliano, maofisa utumishi pamoja na maafisa mbalimbali katika mashirika hapa nchini. Hafla ya utiaji saini makubaliano hayo ilifanyika jijini Dar es Salaam

Makamu Mkuu wa Chuo cha Daystar cha nchini Kenya  Prof. Laban  Ayiro (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa pamoja na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya kusaini makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji (MOU) baina ya chuo hicho na Taasisi ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma Tanzania (IPRT) ili kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati mahususi kwa watendaji wakuu, maofisa mawasiliano, maofisa utumishi pamoja na maafisa mbalimbali katika mashirika hapa nchini. Kulia ni Mratibu Mafunzo IPRT Dk. Titus Simsamba. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam

………………………………….

Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam:

Taasisi ya Mahusiano na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania (IPRT) imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kiutendaji (MOU) baina yake na Chuo Kikuu cha Daystar cha nchini Kenya.

Kupitia makubaliano hayo taasisi hizo mbili zitashirikiana kutoa mafunzo kuhusu mawasiliano ya kimkakati (strategic communication and leadership) mahususi kwa watendaji wakuu, maofisa mawasiliano, maofisa utumishi pamoja na maafisa mbalimbali katika mashirika hapa nchini.

Makubaliano hayo yalisainiwa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam ambapo ilishuhudiwa Mratibu wa mafunzo Taasisi ya IPRT Dk. Titus Simsamba pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo cha Daystar Prof. Laban  Ayiro wakiwakilisha taasisi hizo mbili katika utiaji saini makubaliano hayo yanayoashiria mwanzo wa safari ya pamoja katika kutimiza adhima hiyo muhimu.

“Lengo moja kuu la makubaliano haya yanayoshuhudiwa hii leo ni kuongeza ufanisi katika mafunzo tunayoyatoa kwa walengwa wa kozi zetu’’ alisema Dk Simsamba kwenye hafla hiyo iliyohudhuliwa na wadau mbalimbali wakiwemo wakufunzi kutoka Chuo cha Daystar pamoja na wenzao kutoka hapa nchini.

Dk Simsamba alibainisha zaidi kuwa kupitia makubaliano hayo wadau mbalimbali wa mawasiliano na uongozi hapa nchini wakiwemo waandishi wa habari watakuwa kwenye nafasi ya kushiriki mafunzo mbalimbali ya kujinoa kitaaluma yatakayotolewa na wataalamu kutoka chuo cha Daystar pamoja na wataalam wa ndani kupitia taasisi ya IPRT.

“Habari njema ni kwamba hatua hii muhimu inakuja ikiwa ni siku chache tu tumetoka kukamilisha mafunzo ya kwanza kabisa kupitia programu hii tuliyoyafanya ndani ya wiki moja huko mkoani morogoro ambapo walengwa walipata wasaa kujifunza kozi mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya kimkakati kwa taasisi na mashirika, mawasiliano wakati wa mgogoro (crisis communication), usimamizi wa chapa (brand management), mawasiliano fanisi, mawasiliano binafsi na mawasiliano ya kitaasisi,’’

“Mafunzo hayo hayakuishia darasani tu bali pia washiriki walipata wasaa wa kutembelea Hifadhi ya  Taifa ya Mikumi iliyopo mkoani Morogoro ambapo walipata  fursa ya kufurahisha nafsi zao kwa kutazama vivutio vya utalii vilivyopo katika hifadhi hiyo sambamba na kuunga mkono jitihada za Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassani kwa kutangaza utalii wa ndani,’’ alisema

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Chuo cha Daystar Prof. Laban  Ayiro alisema makubaliano hayo baina ya taasisi  hizo mbili zinazotoka kwenye mataifa mawili yanayounda Jumuiya moja ya Afrika Mashariki ni muendelezo wa mahusiano imara baina ya wananchi na serikali zinazounda Jumuiya hiyo hususani katika nyanja nzima ya kitaaluma kupitia mawasiliano ya Umma na uongozi,

“Kwetu sisi huu umekuwa ni mwanzo mzuri sana kwa kuwa si tu tutakuwa tunakuja kutoa mafunzo bali pia na sisi tutapata nafasi ya kujifunza zaidi kutoka kwa wenzetu wa Tanzania kwa kuwa mafunzo tunayoyatoa ni ya kiutendaji zaidi na hivyo yamekuwa yakihusisha mijadala ambayo mwisho wa siku inatujenga wote. Lengo kubwa ni kuhakikisha washiriki wa mafunzo haya wanapata kile walichotarajia kukipata baada ya kukamilika kwa mafunzo,’’ alisema.

Aliongeza kuwa ushirikiano huo mpya baina ya taasisi yake na IPRT utatekelezwa kwa urahisi zaidi kwa kuwa taasisi zote mbili zina nia ya pamoja ambayo ni kutoa mafunzo kwa wanataaluma wa mawasiliano ya umma na uongozi ili kuwawezesha kutekeleza wito wao wa utoaji huduma kwa kuzingatia weledi, ubunifu na ujuzi unaotakiwa.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo yaliyofanyika mkoani Morogoro, Padre Masoke Edward alisema mafunzo hayo yamekuja wakati muafaka kwa kuwa yamewajenga zaidi washiriki wakiwemo viongozi wa dini ambao wanakutana na kuwasiliana na makundi ya watu mbalimbali, hivyo mafunzo hayo yamekuwa na tija kubwa kwao.

About the author

Alex Sonna