Featured Kitaifa

RAIS SAMIA AMJULIA HALI MAMA FATMA KARUME HOSPITALI YA LUMUMBA

Written by Alex Sonna

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Mama Fatma Karume, Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Lumumba, Zanzibar, tarehe 11 Agosti, 2026.

About the author

Alex Sonna