Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

royalbet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

Featured

MHE LUSWETULA: DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 INATEKELEZWA KWA VITENDO

Written by Alex Sonna

 

 


Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(katikati), akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Fedha wanaoshiriki katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam, wakati alipotembelea banda la wizara hiyo.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akipokea mfuko wenye vipeperushi vyenye taarifa mbalimbali za Benki Kuu ya Tanzania kutoka kwa Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayesimamia Utawala na Udhibiti wa Ndani, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh, wakati alipotembelea banda la benki hiyo katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(kulia), akisikiliza maelezo ya kutoka kwa Mkuu wa Sehemu ya Mafunzo ya Muda Mfupi wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Bi. Dorah Chenyambuga (Kushoto), wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(kulia), akisikiliza maelezo ya kutoka kwa Afisa Utumishi Mkuu kutoka Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Fedha, Bi. Dorothea Charles, wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb)(kulia), akisikiliza maelezo ya kutoka kwa Afisa Msimamizi wa Mali za Serikali kutoka Idara ya Usimamizi wa Mali za Serikali, Wizara ya Fedha, Bi. Grace Matagi, wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, jijini Dar es Salaam.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Dar es Salaam)

Na. Chedaiwe Msuya na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula, amesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 tayari unaonekana kwa vitendo kupitia kazi zinazofanywa na idara na taasisi mbalimbali za Wizara ya Fedha, huku akiwapongeza watumishi kwa namna walivyojipanga kuonesha mchango wao katika kufanikisha malengo ya taifa.

Mhe. Luswetula amesema hayo alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, yenye kaulimbiu ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, Fahari ya Tanzania”.

Alisema kuwa Idara na taasisi mbalimbali za Wizara ya Fedha zimekuwa zikifanya vizuri katika maonesho hayo hususan katika kuwasilisha elimu na taarifa mbalimbali na yanaonesha kwa dhahiri mwelekeo wa Serikali wa kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

“Nimefarijika sana kwa namna Wizara ilivyojipanga katika Maonesho haya, mabanda mengi katika jengo hili la Wizara yote yanaonesha namna yanavyokwenda kutimiza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 na yamebeba mwelekeo huo wa kuijenga Tanzania kuelekea uchumi wa kipato cha juu,” alisema Mhe. Luswetula.

Aidha, Mhe. Luswetula alipongeza hatua ya Wizara ya Fedha ya kuendelea kutumia mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa majukumu yake, akisema mabadiliko hayo yanaondoa matumizi yasiyo ya lazima ya karatasi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma, ambapo hatua hio inaonesha ubunifu mkubwa na matumizi ya teknolojia katika kiwango cha juu, jambo linaloiwezesha Wizara kwenda sambamba na viwango vya kimataifa.

Mhe. Luswetula alisema Serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara na wawekezaji kupitia maboresho mbalimbali ya mifumo na huduma.

“Napenda kuwalika wafanyabiashara na wawekezaji wanaotaka kuwekeza nchini Tanzania waje wawekeze, Serikali imeweka mazingira wezeshi na vivutio mbalimbali vinavyowawezesha kufanya biashara katika mazingira bora, haya yote yanafanyika kwa lengo la kuhakikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inafikiwa” alisema Mhe. Luswetula.

About the author

Alex Sonna