Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

sakarya escort bayan

Samsun Avukat

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

istanbul escort

bets10

bets10 giriş

millibahis

vipslot

festwin

parmabet

celtabet

kulisbet giriş

mavibet

piabellacasino

mavibet giriş

mavibet

piabellacasino

artemisbet giriş

mavibet

piabellacasino

piabellacasino

piabellacasino giriş

piabellacasino giriş

deneme bonusları veren siteler

doeda

marsbahis giriş

festwin

porno izle

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Casibom

Casibom

casibom güncel giriş

casibom giriş

marsbahis

bets10

gobahis, gobahis giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

jojobet

betsat

dinamobet giriş

süpertotobet

casibom

ultrabet

jojobet

jojobet

ultrabet

casibom

fixbet

süpertotobet

ultrabet

Hacklink panel

betturkey

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

istanbulbahis

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

medusabahis giriş

casibom

casibom

betsin

meritking

marsbahis

deneme bonusu

betsa

meritking

crypto scam

meritking

meritking

madridbet

meritking

doeda

spyhackerz

holiganbet

şanlıurfa konteyner

jojobet güncel giriş

İmajbet

grandpashabet

imajbet

betgross

biabet

artemisbet giriş

casibom

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

perabet

grandpashabet

grandpashabet

betsat

vdcasino

jojobet

Jojobet

matbet

meritbet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

cratosroyalbet

giftcardmall/mygift

kulisbet

mavibet giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

girne escort

magusa escort

bahibom

jojobet

tubidy

medusabahis

Girne Escort

deneme bonusu

taraftarium

taraftarium

taraftarium

casibom

realbahis

realbahis

avrupabet

avrupabet

kareasbet

fixbet

casibom

Earn money link shortener

porno

vdcasino giriş

holiganbet

grandpashabet

Uncategorized

TANESCO YAWEKEZA BILIONI 10.5 KUIMARISHA HUDUMA YA UMEME KONGWA NA MAENEO JIRANI

Written by Alex Sonna

 

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.5.

Mradi huo unahusisha ujenzi wa kituo cha kubadilishia njia za usambazaji umeme, usimikaji wa Transforma ya Kudhibiti Umeme yenye uwezo wa MVA 20 pamoja na ujenzi wa njia mpya ya umeme ya msongo wa kilovoti 33 yenye urefu wa kilomita 92 kutoka Zuzu hadi Mbande.

Akizungumza June 16,2026 Wilayani Kongwa wakati wa uzinduzi wa mradi huo, Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema uwekezaji huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, salama na wenye ubora kwa wananchi na wawekezaji.

Amesema mradi huo umeondoa utegemezi wa njia moja ya umeme iliyokuwa ikitoka Dodoma Mjini kwenda Kongwa, hali iliyokuwa ikisababisha changamoto za kukatika kwa umeme wakati wa matengenezo au hitilafu za kiufundi.

“Mradi huu utaimarisha uthabiti wa mfumo wa usambazaji wa umeme katika Wilaya za Kongwa, Gairo, Chamwino na baadhi ya maeneo ya Mpwapwa,tutaongeza uwezo wa TANESCO kuhudumia mahitaji ya sasa na ya baadaye ya umeme kutokana na ukuaji wa shughuli za kiuchumi na kijamii,” amesema Ndejembi.

Amebainisha kuwa Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya nishati ambapo kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha zaidi ya megawati 4,000 za umeme, huku ikilenga kufikia zaidi ya megawati 8,000 katika miaka ijayo ili kuendana na mahitaji ya maendeleo ya Taifa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange, amesema kukamilika kwa miundombinu hiyo kutasaidia kupunguza athari za hitilafu kwenye mfumo wa usambazaji wa umeme, kuboresha viwango vya umeme na kuongeza uhakika wa huduma kwa wananchi na wawekezaji.

Ameeleza kuwa uwekezaji huo utafungua fursa mpya za uwekezaji wa viwanda, biashara, kilimo cha umwagiliaji na huduma za kijamii zinazotegemea umeme wa uhakika katika ukanda wa kati wa Tanzania.

“Mkoa wa Dodoma unaendelea kukua kwa kasi kutokana na kuwa Makao Makuu ya Nchi. Hivyo TANESCO inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ili kuhakikisha miundombinu ya umeme inaendana na kasi hiyo ya maendeleo,” amesema Twange.

Ameeleza kuwa Mradi huo umetekelezwa na kampuni za State Grid Electrical & Technical Works Limited, Central Electricals International Limited na Ezeetec Limited chini ya usimamizi wa TANESCO.

Uzinduzi wa miundombinu hiyo unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuimarisha Gridi ya Taifa na kuongeza uhakika wa nishati kwa maelfu ya wananchi, taasisi za umma, wafanyabiashara na wawekezaji katika Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza TANESCO kwa utekelezaji wa mradi huo, akisema umekuwa jawabu la changamoto zilizokuwa zikitajwa mara kwa mara bungeni.

“Maswali mengi bungeni yalikuwa yanatokana na changamoto za umeme katika eneo hili. Leo tunaona majibu yake kupitia mradi huu mkubwa ambao utaimarisha maendeleo ya wananchi na wawekezaji,” amesema Mgalu.

Kukamilika kwa mradi huo kunatajwa kuwa hatua muhimu katika kuimarisha upatikanaji wa nishati ya uhakika katika ukanda wa kati wa Tanzania, huku wananchi wakitarajia kushuhudia ukuaji wa shughuli za kiuchumi na maendeleo ya kijamii yaliyokuwa yakikwamishwa na changamoto za umeme kwa muda mrefu.

About the author

Alex Sonna