Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

Hacklink panel

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

sekabet

casibom

mavibet

meritking

dedektör

vdcasino giriş

casibom

Grandpashabet Güncel Giriş

jojobet

holiganbet

jojobet

betsat

sahabet

jojobet

grandpashabet

ultrabet giriş

lunabet

avrupabet

setrabet

jojobet giriş

holiganbet giriş

timebet

jojobet

jojobet

holiganbet

mavibet

marsbahis

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino giriş

vipslot

vipslot

vipslot

vipslot

realbahis

mavibet

kavbet

piabellacasino giriş

pashagaming

casinoroyal

teosbet

piabellacasino

norabahis

artemisbet

piabellacasino

casinoroyal

almanbahis

deneme bonusları veren siteler

deneme bonusu veren siteler

marsbahis giriş

festwin

deneme bonusu

av ซับไทย

vdcasino

xxxเย็ดยับ

mariobet

jojobet

casibom güncel giriş

casibom giriş

meritking

meritking giriş

avrupabet, avrupabet giriş

deneme bonusu

deneme bonusu

betpark giriş

bets10

dinamobet giriş

casibom

vaycasino

jojobet

jojobet

jojobet

casibom

vaycasino

ultrabet

casibom

casibom

Hacklink panel

betturkey

milanobet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

betixir

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet

padişahbet

marsbahis

betturkey giriş

casibom

casibom

deneme bonusu veren siteler

meritking

marsbahis giriş

deneme bonusu

betsa

meritking

meritking

meritking

meritking

madridbet

meritking

deneme bonusu veren siteler

spyhackerz

jojobet

uyuşturucu satın al

jojobet giriş

casibom

royalbet

casibom

kafacasino

betface

pashagaming

casibom

deneme bonusu

casibom giriş

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

pokerklas

perabet

betpark

holiganbet

vdcasino

jojobet

casibom

maxwin

Gorabet

deneme bonusu

deneme bonusu

vdcasino

1xbet

betwoon

giftcardmall/mygift

Uncategorized

TANESCO YAWEKEZA BILIONI 10.5 KUIMARISHA HUDUMA YA UMEME KONGWA NA MAENEO JIRANI

Written by Alex Sonna

 

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa, uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni 10.5.

Mradi huo unahusisha ujenzi wa kituo cha kubadilishia njia za usambazaji umeme, usimikaji wa Transforma ya Kudhibiti Umeme yenye uwezo wa MVA 20 pamoja na ujenzi wa njia mpya ya umeme ya msongo wa kilovoti 33 yenye urefu wa kilomita 92 kutoka Zuzu hadi Mbande.

Akizungumza June 16,2026 Wilayani Kongwa wakati wa uzinduzi wa mradi huo, Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema uwekezaji huo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, salama na wenye ubora kwa wananchi na wawekezaji.

Amesema mradi huo umeondoa utegemezi wa njia moja ya umeme iliyokuwa ikitoka Dodoma Mjini kwenda Kongwa, hali iliyokuwa ikisababisha changamoto za kukatika kwa umeme wakati wa matengenezo au hitilafu za kiufundi.

“Mradi huu utaimarisha uthabiti wa mfumo wa usambazaji wa umeme katika Wilaya za Kongwa, Gairo, Chamwino na baadhi ya maeneo ya Mpwapwa,tutaongeza uwezo wa TANESCO kuhudumia mahitaji ya sasa na ya baadaye ya umeme kutokana na ukuaji wa shughuli za kiuchumi na kijamii,” amesema Ndejembi.

Amebainisha kuwa Serikali imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya nishati ambapo kwa sasa Tanzania ina uwezo wa kuzalisha zaidi ya megawati 4,000 za umeme, huku ikilenga kufikia zaidi ya megawati 8,000 katika miaka ijayo ili kuendana na mahitaji ya maendeleo ya Taifa.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange, amesema kukamilika kwa miundombinu hiyo kutasaidia kupunguza athari za hitilafu kwenye mfumo wa usambazaji wa umeme, kuboresha viwango vya umeme na kuongeza uhakika wa huduma kwa wananchi na wawekezaji.

Ameeleza kuwa uwekezaji huo utafungua fursa mpya za uwekezaji wa viwanda, biashara, kilimo cha umwagiliaji na huduma za kijamii zinazotegemea umeme wa uhakika katika ukanda wa kati wa Tanzania.

“Mkoa wa Dodoma unaendelea kukua kwa kasi kutokana na kuwa Makao Makuu ya Nchi. Hivyo TANESCO inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ili kuhakikisha miundombinu ya umeme inaendana na kasi hiyo ya maendeleo,” amesema Twange.

Ameeleza kuwa Mradi huo umetekelezwa na kampuni za State Grid Electrical & Technical Works Limited, Central Electricals International Limited na Ezeetec Limited chini ya usimamizi wa TANESCO.

Uzinduzi wa miundombinu hiyo unatajwa kuwa hatua muhimu katika kuimarisha Gridi ya Taifa na kuongeza uhakika wa nishati kwa maelfu ya wananchi, taasisi za umma, wafanyabiashara na wawekezaji katika Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani.

Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza TANESCO kwa utekelezaji wa mradi huo, akisema umekuwa jawabu la changamoto zilizokuwa zikitajwa mara kwa mara bungeni.

“Maswali mengi bungeni yalikuwa yanatokana na changamoto za umeme katika eneo hili. Leo tunaona majibu yake kupitia mradi huu mkubwa ambao utaimarisha maendeleo ya wananchi na wawekezaji,” amesema Mgalu.

Kukamilika kwa mradi huo kunatajwa kuwa hatua muhimu katika kuimarisha upatikanaji wa nishati ya uhakika katika ukanda wa kati wa Tanzania, huku wananchi wakitarajia kushuhudia ukuaji wa shughuli za kiuchumi na maendeleo ya kijamii yaliyokuwa yakikwamishwa na changamoto za umeme kwa muda mrefu.

About the author

Alex Sonna