Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet giriş

tümbet

tümbet

tümbet giriş

ultrabet

Pusulabet

grandpashabet giriş

casibom

pokerklas

jojobet giriş

marsbahis

marsbahis

betturkey giriş

betturkey

pokerklas giriş

jojobet güncel giriş

pokerklas

royalbet giriş

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

betpark giriş

capitolbet

jojobet güncel giriş

ilbet giriş

ilbet

ilbet

ilbet giriş

bets10

bets10

bets10

Milanobet

casibom giriş

cratosroyalbet

timebet

İkimisli

onwin

cratosroyalbet

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10 giriş

imajbet

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

jojobet güncel

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

artemisbet

kavbet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

betpark

grandpashabet giriş

Hacklink Panel

สล็อตเว็บตรง

grandpashabet

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

deneme bonusu

Hacklink Panel

jojobet

vdcasino giriş

zirvebet

kavbet giriş

goldenbahis giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

artemisbet giriş

Meritking

goldenbahis

สล็อตเว็บตรง

trendbet

marsbahis giriş

holiganbet

jojobet

holiganbet

trust score weak 3

holiganbet

Canlı Casino Siteleri

stake giriş

jojobet güncel

jojobet adres

jojobet giriş

jojobet

jojobet

pokerklas

jojobet giriş

sekabet giriş

netbahis

sapanca bungalov

mobilbahis

goldenbahis giriş

interbahis

agb99

safirbet

Hacking forum

trend hack methods

deneme bonusu

betturkey

betturkey giriş

betturkey giriş

betturkey

betpas

1xbet giriş

holiganbet giriş

restbet

dinamobet giriş

hackhaber

grandpashabet

dizipal

casibom

interbahis, interbahis giriş

kulisbet, kulisbet giriş

aresbet, aresbet giriş

superbetin

meritking

ilbet

ilbet giriş

jojobet giriş

onwin

royalbet

cratosroyalbet

stake

bets10 güncel giriş adresi

tempobet

jojobet giriş

perabet

ilbet

deneme bonusu

jojobet giriş

holiganbet giriş

Ankara escort

marsbahis

güvenilir bahis siteleri

dizipal

vdcasino giriş

piabet

alobet, alobet giriş

holiganbet

piabet

piabet

marsbahis

dental implants turkey

robinbet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu

jojobet güncel giriş

jojobet giriş

holiganbet

jojobet güncel giriş

turkey dental implants

dental implants turkey

betturkey

teosbet

grandpashabet

gameofbet

marsbahis giriş

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino giriş

jojobet

casibom giriş

jojobet

jojobet

jojobet

jojobet giriş

jojobet

jojobet giriş

pokerklas

pokerklas

mavibet

meritking giriş

meritking

marsbahis

betsmove

betsmove

mavibet

holiganbet giriş

jojobet

marsbahis

jojobet giriş

pokerklas

holiganbet

marsbahis

holiganbet

sekabet

Hacklink panel

betturkey

holiganbet

grandpashabet

holiganbet

jojobet

holiganbet

holiganbet

jojobet giriş

jojobet giriş

jojobet

holiganbet

marsbahis

jojobet

meritking

bahsegel

bahsegel giriş

betturkey

betturkey giriş

sahabet giriş

meritking giriş

meritking

truvabet

betgaranti

betoffice

piabet

Bet365 Giriş

ilbet

ilbet giriş

turkey dental implants

roketbet 2026

vdcasino

casibom

deneme bonusu

jojobet

klasbahis

jasminbet

stresser

free stresser

ip stresser

stresser test

free ip stresser

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas

betine

jojobet

Featured Kitaifa

BARAZA LA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA LAPIGA MARUFUKU DAWA HATARISHI, LATOA ONYO KALI KWA WATOA HUDUMA WASIOSAJILIWA

Written by Alex Sonna

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Nicolao Joseph Otieno,akionyesha dawa zilizopigwa marufuku kwa waandishi wa habari kuhusu tamko kwa umma kuhusu huduma za Tiba Asili na Tiba Mbadala leo Juni 5,2026 jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala, Prof. Nicolao Joseph Otieno,akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko kwa umma kuhusu huduma za Tiba Asili na Tiba Mbadala leo Juni 5,2026 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna,Mzalendo blog-DODOMA

Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini limepiga marufuku matumizi, uingizwaji, usambazaji na uuzaji wa baadhi ya dawa za tiba asili baada ya uchunguzi kubaini uwepo wa kemikali za dawa za kisasa pamoja na viambata hatarishi vinavyoweza kuhatarisha afya za watumiaji.

Akizungumza leo Juni 5,2026  jijini Dodoma na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa Baraza hilo,Prof. Nicolao Joseph Otieno, amesema hatua hiyo imechukuliwa kufuatia matokeo ya ufuatiliaji wa dawa za tiba asili uliotekelezwa katika mikoa ya Dodoma, Morogoro, Pwani na Dar es Salaam katika mwaka wa fedha 2025/2026.

Prof. Otieno amesema uchunguzi huo umebaini kuwa dawa ya Powaful Banana Medicine, ambayo baadaye ilibadilishwa jina na kuitwa Banana Medicine, ilikuwa imechanganywa na kemikali za dawa za kisasa za kuongeza nguvu za kiume aina ya Sildenafil na Tadalafil pamoja na dawa za maumivu za Tramadol na Paracetamol bila kuainishwa kwenye lebo wala wakati wa usajili.

Kutokana na ukiukwaji huo, Baraza limefuta rasmi usajili wa dawa hiyo kuanzia Juni 1, 2026 na kumuagiza mtengenezaji wake, Powaful Products Company Ltd, kuiondoa sokoni mara moja.

Aidha, dawa nyingine inayojulikana kwa jina la Vitamax maarufu kama “viasali”, ambayo haikuwa imesajiliwa nchini, imepigwa marufuku kuingizwa, kusambazwa, kuuzwa na kutumika baada ya uchunguzi wa maabara kubaini kuwa ilikuwa na kemikali hizo hizo za dawa za kisasa licha ya kudaiwa kutengenezwa kwa viambata vya mimea tiba.

“Matumizi ya dawa hizi yanaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya ikiwemo magonjwa ya moyo, figo na ini, shinikizo la damu, utegemezi wa dawa na hata vifo kwa baadhi ya watumiaji,” amesema  Prof. Otieno.

Katika hatua nyingine, Baraza limeagiza kuondolewa sokoni kwa toleo namba MN1060 la dawa ya Joy yenye usajili TZ25TM0010 baada ya kubainika kuwa na kiwango kisichokubalika cha sumu kuvu, ambayo inaweza kusababisha saratani ya ini, uharibifu wa figo na kupunguza kinga ya mwili.

Mbali na hatua hizo, Baraza limetoa onyo kali kwa waganga wa tiba asili wanaotoa huduma bila usajili wa kisheria, likikumbusha kuwa kufanya hivyo ni kosa linaloweza kusababisha faini ya shilingi laki tano, kifungo cha miaka miwili au adhabu zote mbili kwa pamoja.

Pia limezitahadharisha taasisi za habari, watangazaji na watumiaji wa mitandao ya kijamii dhidi ya kutangaza dawa au huduma za tiba asili bila kibali rasmi kutoka Baraza. Kwa mujibu wa kanuni zilizopo, wanaokiuka masharti hayo wanaweza kutozwa faini isiyopungua shilingi milioni moja.

Prof. Otieno amesema Baraza limebaini ongezeko la wafanyabiashara wanaotumia virutubisho vya chakula kama dawa za kutibu magonjwa mbalimbali kinyume cha sheria pamoja na kubadili maduka ya virutubisho kuwa kliniki zisizosajiliwa zinazotoa huduma za kitabibu kwa kutumia vifaa visivyotambuliwa kisheria.

Kutokana na hali hiyo, Baraza limetoa maelekezo kwa wazalishaji, wasambazaji na wauzaji wote wa dawa za tiba asili kusajili au kuorodhesha bidhaa zao mara moja. Amesema baada ya miezi sita kuanzia tarehe ya tamko hilo, ukaguzi maalumu utaanza na dawa zote ambazo hazitasajiliwa au kuorodheshwa zitakamatwa na kutaifishwa kwa mujibu wa sheria.

Hata hivyo amewataka  wananchi kuhakikisha wanapata huduma za tiba asili kutoka kwa waganga na vituo vilivyosajiliwa pekee, pamoja na kutumia dawa ambazo zimethibitishwa ubora na usalama wake na Baraza.

Prof. Otieno amewakumbusha watoa huduma za tiba asili kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukiza, hususan ugonjwa wa Ebola ambao umeripotiwa katika nchi jirani za Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa kuzingatia kanuni za usafi na kutumia vifaa kinga wanapohudumia wagonjwa.

Baraza limesisitiza kuwa litaendelea kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na taasisi nyingine za Serikali kuhakikisha huduma za tiba asili na tiba mbadala nchini zinakuwa salama, bora na zinazolinda afya za wananchi.

About the author

Alex Sonna