marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

betbey

imajbet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

padişahbet

holiganbet

grandpashabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

romabet

marsbahis

royalbet

artemisbet

kavbet

parmabet

mislibet

imajbet giriş

artemisbet

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

markajbet güncel giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

madridbet giriş

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

holiganbet

kingroyal giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

casinomilyon

taksimbet

jojobet güncel giriş

xslot

xslot giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Fixbet

jojobet

meritking

vdcasino

Featured Kitaifa

WIZARA YA FEDHA YAENDELEA KUPITIA UPYA SHERIA YA UNUNUZI WA UMMA SURA YA 410

Written by Alex Sonna

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma, Wizara ya Fedha, Bi. Emma Komba, akizungumza wakati wa kufunga kwa niaba ya Kaimu Kamishna wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma, Wizara ya Fedha, Bw. Alex Habara, kikao kazi cha Mapitio ya Sheria ya Ununuzi wa Umma Sura ya 410, kikao kazi kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya.

Washiriki wa kikao kazi, kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, wakifuatilia kikao hicho, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Sheria kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma, Bw. Paul Kadushi, akizungumza wakati wa kikao kazi, kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, wakifuatilia kikao hicho, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma – Wizara ya Fedha, Bi. Emma Komba (katikati walioketi), Mkurugenzi wa Sheria kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma, Bw. Paul Kadushi (kulia kwake), Afisa Sheria Daraja la Kwanza, Wizara ya Fedha, Bw. Paul Kimweri (kushoto kwake), wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa kikao kazi, kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma – Wizara ya Fedha, Bi. Emma Komba, akiagana na Mkurugenzi wa Sheria kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma, Bw. Paul Kadushi, baada ya kufunga kikao kazi, kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

Katibu wa Afya kutoka Kituo cha Afya Nkuhungu, Bi. Patricia Joseph, akitoa maoni wakati wa Kikao kazi kilichoandaliwa na Wizara ya Fedha, cha Mapitio ya Sheria ya Ununuzi wa Umma Sura ya 410, kilichowakutanisha, Watumishi wa Idara hiyo, Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) pamoja na watekelezaji wa Ununuzi wa Umma katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi, Sekondari, na vituo vya afya, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

kikao kazi, kilichowakutanisha watekelezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF – Dodoma)

Na Asia Singano, WF – Dodoma

Wizara ya Fedha, imeendelea kupitia upya Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410, kwa lengo la kuioanisha na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kupitia kikao kazi kilichowakutanisha watelekezaji wa ununuzi wa umma na ugavi katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya.

Mchakato huo ulianza kwa kikao kazi kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper, Jijini Dodoma, ambapo watekelezaji wa Ununuzi wa Umma katika ngazi za chini za Serikali za Mitaa, Shule za Msingi na Sekondari pamoja na vituo vya afya, walipata fursa ya kutoa maoni na mapendekezo yatakayosaidia kuboresha Sheria hiyo.

Akizungumza wakati wa kufunga Kikao hicho, Kwa niaba ya Kaimu Kamishna wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma – Wizara ya Fedha, Bw. Alex J. Habara, Kamishna Msaidizi wa Idara hiyo Bi. Emma Komba, alisema mapitio hayo yanalenga kujenga mfumo wa kisasa unaojumuisha hatua zote za mnyororo wa ugavi, kuanzia upangaji wa mahitaji, ununuzi, ugomboaji wa mizigo, upokeaji, uhifadhi na utunzaji, usambazaji, hadi uondoshaji wa mali za umma.

Aliongeza kuwa mapitio hayo pia yamezingatia nguzo na malengo ya Dira ya Maendeleo 2050, ikiwemo ukuaji wa uchumi, maendeleo ya viwanda, pamoja na maendeleo jumuishi na endelevu.

‘’Mapitio ya Sheria hii ni hatua ya kimkakati ya kuhakikisha kuwa masuala yote yanayohusu mnyororo mzima wa ugavi yanajumuishwa kikamilifu katika Sheria mpya, na kwamba mageuzi hayo yatakuwa chachu ya kuchochea maendeleo ya Taifa’’ alisema Bi. Emma.

Aliongeza kuwa Wizara ya Fedha, itazingatia na kufanyia kazi mapendekezo yote yaliyowasilishwa kwa kuyachambua kwa kina ili kubaini maeneo ya kuboresha na kuweka misingi imara itakayosaidia Taifa kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Sheria kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Paul Kadushi, alisisitiza kuwa Mamlaka hiyo itaendelea kutoa elimu kwa watekelezaji wote wa ununuzi wa umma na ugavi ili kurahisisha utendaji kazi katika Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST).

‘’Sisi PPRA kama wadhibiti wa ununuzi wa umma, sehemu ya nguvu ambayo tumeelekeza kwenye kutoa elimu kwa wazabuni na makundi maalumu, tunahitaji pia kuelekeza kwenu na kuwajengea uwezo ili muweze kutekeleza kazi za ununuzi wa umma kwa ufanisi zaidi’’ alisema Bw. Kadushi.

Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410, imeipa Wizara ya Fedha, jukumu la kisheria la kupitia na kuhuisha sera, sheria, kanuni, miongozo, pamoja na maelekezo mbalimbali yanayohusu ununuzi wa umma na ugavi nchini.

About the author

Alex Sonna