marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

jojobet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

casinomilyon

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

interbahis

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

betcio

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

bets10

bets10

bets10 giriş

bets10

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

savoybetting

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

deneme bonusu 2026

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Waziri Sangu Abainisha Hifadhi Skimu Inavyoenda Kubadili Maisha Ya Watanzania

Written by Alex Sonna

 

Na MWANDISHI WETU,

Dodoma. 

 

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarika kwa kasi, ukifikia thamani ya shilingi trilioni 11.2 hadi Machi 2026 kutoka trilioni 4.3 mwaka 2020, hatua inayoakisi ukuaji wa uwekezaji, uimara wa usimamizi na kuongezeka kwa ushiriki wa wananchi kupitia Hifadhi Skimu.

Ukuaji huo umeambatana na upanuzi wa huduma za hifadhi ya jamii, hususan kupitia hifadhi skimu zinazolenga kuwafikia wananchi waliojiajiri, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuongeza wigo wa wanachama na kuimarisha ushirikishwaji wa makundi mbalimbali ya jamii katika mfumo wa hifadhi ya jamii.

Akizungumza jijini Dodoma tarehe 27 Aprili 2026 wakati akifungua Mkutano wa 56 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, alisema mafanikio ya Mfuko yanatokana na mageuzi ya usimamizi, uwekezaji wenye tija na matumizi ya teknolojia katika utoaji wa huduma.

Alisisitiza kuwa hifadhi skimu ni nguzo muhimu ya mustakabali wa hifadhi ya jamii nchini, akibainisha kuwa Serikali inalenga kuhakikisha Watanzania wengi zaidi, hususan waliojiajiri, wanajumuishwa katika mfumo huo.

“Upanuzi wa hifadhi skimu ni hatua muhimu ya kuhakikisha hakuna Mtanzania anayebaki nje ya mfumo wa hifadhi ya jamii,” alisema Mhe. Sangu.

Waziri huyo pia aliipongeza NSSF kwa mchango wake katika uchumi wa taifa kupitia uwekezaji katika miradi mbalimbali ya maendeleo inayozalisha ajira na kuchochea ukuaji wa sekta binafsi, akitaja kiwanda cha sukari cha Mkulazi kuwa mfano wa uwekezaji wenye tija.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, alisema mafanikio hayo yametokana na usimamizi madhubuti wa fedha, uwekezaji salama na matumizi ya mifumo ya TEHAMA iliyofikia takribani asilimia 99 ya huduma.

Alisema katika Mpango Mkakati wa miaka mitano (2026/27–2030/31), NSSF inalenga kufikia thamani ya shilingi trilioni 24.7 ifikapo Juni 2031, pamoja na kuongeza wanachama hadi milioni 6.6, huku mkazo ukiwekwa katika kuimarisha mpango wa Hifadhi Skimu na kuzingatia misingi ya mazingira, jamii na utawala bora (ESG). Katika kupata hati safi za ukaguzi kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), mafanikio hayo yametokana pia na Mfuko kufuata misingi ya utawala bora, uwazi, uwajibikaji na uwekezaji wenye tija, hali inayoendelea kuimarisha imani ya wadau na umma kwa ujumla.

Pamoja na mafanikio hayo, Mfuko unaendelea kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiwemo baadhi ya waajiri kutowasilisha michango kwa wakati, kuwasilisha michango chini ya kiwango halisi, pamoja na uelewa mdogo wa masuala ya hifadhi ya jamii kwa baadhi ya makundi ya wananchi, hali inayopatiwa ufumbuzi kupitia elimu na uhamasishaji unaoendelea.

Katika hatua nyingine, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ametoa pongezi kwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita imeweka mazingira bora na wezeshi ya ufanyaji kazi, uwekezaji pamoja na biashara, jambo lililochochea ongezeko la wanachama na uimara wa mifumo ya hifadhi ya jamii.

Katika hatua nyingine, Waziri Sangu alieleza kuwa mipango ya Mfuko inaendana kikamilifu na mipango mikuu ya Serikali ikiwemo Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 na Sera ya Taifa ya Kinga ya Jamii. Alisema Serikali inalenga kuhakikisha ifikapo mwaka 2050, takribani asilimia 70 ya Watanzania watakuwa wamefikiwa na mifumo ya hifadhi ya jamii kupitia upanuzi wa Hifadhi Skimu na mifumo jumuishi ya kinga ya kijamii.

Waziri huyo alisema mafanikio ya sekta hiyo ni sehemu ya mwelekeo mpana wa taifa wa kujenga uchumi shirikishi unaomlinda kila Mtanzania.

Mkutano huo wa 56 wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa NSSF unajadili Mpango Mkakati wa Nane pamoja na bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27, likiwa ni jukwaa muhimu la kuweka mwelekeo wa baadaye wa Mfuko na mustakabali wa hifadhi ya jamii nchini.

 

About the author

Alex Sonna