marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

หวยออนไลน์

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas, betpas giriş, betpas güncel

casibom

Brain Savior Review

bets10

https://guinguinbali.com/

boostaro review

casibom giriş

jojobet giriş

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

nesinecasino

tambet

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

grandpashabet

holiganbet

sekabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

palacebet

marsbahis

royalbet

elexbet giriş

kavbet

milanobet

restbet

imajbet

betpas

imajbet

interbahis

kulisbet giriş

pusulabet giriş

betparibu, betparibu giriş

kulisbet, kulisbet giriş

bahiscasino, bahiscaasino giriş

kulisbet, kulisbet giriş

betebet

restbet

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

casibom

trimology review

betcup

holiganbet

holiganbet giriş

nakitbahis

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet giriş

betebet

gonebet, gonebet giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet giriş

dinamobet

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

Nitric Boost Ultra

supertotobet giriş

supertotobet

supertotobet giriş

supertotobet

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

sahabet

starzbet

grandpashabet giriş

jojobet

jojobet güncel giriş

jojobet

jojobet giriş

jojobet

netbahis

netbahis giriş

betsat

betsat giriş

pokerklas

pokerklas giriş

pokerklas giriş

kingroyal

tümbet

tümbet giriş

tümbet giriş

tümbet

kıbrıs escort

jojobet

jojobet güncel giriş

ilbet

ilbet giriş

xslot

xslot giriş

bets10

bets10

bets10 giriş

Tipobet

jojobet

türk ifşa

casinoroyal

İkimisli

casinofast

superbetin

bahibom

marsbahis

betsin

casino zonder cruks

vdcasino

vdcasino

vdcasino

bets10

bets10

jojobet

lunabet

lunabet giriş

betpas

betpas giriş

pokerklas

pokerklas giriş

mislibet

mislibet giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Featured Kitaifa

DKT. MWIGULU AWAPONGEZA VIONGOZI WILAYA YA HAI KUSIMAMIA VIZURI SEKONDARI YA MBATAKERO

Written by Alex Sonna

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kwa kusimamia vizuri mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Mbatakero na kubakiza ziada ya sh. milioni 4.33.

Ametoa pongezi hizo leo (Jumamosi, Februari 21, 2026) wakati akizungumza na wakazi wa Kata ya Weruweru mara baada ya kuzindua shule mpya ya sekondari ya Mbatakero, wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro ambayo imejengwa kupitia mradi wa SEQUIP.

Viongozi waliopongezwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Dionis Myinga, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai, Edmund Rutaraka, Mhandisi wa Wilaya, Arnold Matandiko na Afisa Elimu wa Wilaya sehemu ya sekondari, Margaret Muro.

Dkt. Mwigulu amesema ujenzi wa shule hiyo unatokana na dhamira ya dhati aliyonayo Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuondoa kero zinazowasumbua wananchi. “Tunaposema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa kuna watu huwa hawatuelewi. Lakini hawa waliokuwa wakitembea km. 18 kwenda na kurudi shuleni, wao na wazazi wao wanaelewa zaidi kazi nzuri inayofanywa na Mheshimiwa Rais wetu.”

“Kama mlivyosikia, Rais Dkt. Samia anapoelezwa kuna shida, anasema viongozi watatue changamoto hiyo, ndicho kilichotokea katika shule hii ambayo wanafunzi walilazimika kutembea umbali mrefu. Katika kipindi cha miaka minne, amejenga zaidi ya shule 1,300 za sekondari na amemaliza kabisa suala lililokuwa linaitwa chaguo la pili (second selection)”.

Mapema, akitoa taarifa ya ujenzi wa shule hiyo mbele ya Waziri Mkuu, Mhandisi Matandiko alisema ujenzi wake umegharimu sh. milioni 584.28 na kwamba uwepo wa shule hiyo utasaidia kuondoa adha waliyokuwa wanapata wanafunzi wa eneo hilo ya kutembea umbali km. 9 kwenda kwenda sekondari za Roo na Longoi ambazo ziko jirani na kijiji cha Mbatakero.

Alisema shule hiyo mpya ina madarasa nane, jengo la TEHAMA, jengo la utawala, maabara tatu za kemia, fizikia na baiolojia, kisima kimoja na matundu 10 ya vyoo.

Alisema wakati wa ujenzi kulikuwa na kazi zilizofanywa na wananchi ambayo thamani yake ni milioni 2.49 na hivyo kupunguza gharama, hali iliyowezesha wao kubaki na ziada ya sh. milioni 4.33 ambazo walishaomba kibali kwa Mkurugenzi zitumike kununua viti na meza za walimu ambavyo havikuwepo kwenye hela ya mradi.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya Bomang’ombe hadi Kikavuchini kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilomita 25.7 na kuzungumza na wananchi.

Meneja wa TARURA Wilaya ya Hai, Mhandishi Kuya Francis alisema ujenzi wa barabara hiyo ulianza Agosti 05, 2024 na unatarajiwa kukamilika Mei 31, 2026. “Utekelezaji wa mradi huu umefikia asilimia 70 ambapo kazi zilizofanyika ni kuandaa tabaka la kwanza la barabara km 3.5, kuweka lami km 2.5, kujenga makutano ya barabara (roundabout) na kujenga mitaro na vivuko.

Alisema hadi kukamilika kwake mradi huo utagharimu sh. bilioni 2.99 na kwamba hadi sasa wameshapokea sh. milioni 569.73 katika awamu ya kwanza ambapo taratibu za kupokea sh. milioni 861.78 za awamu ya pili zinaendelea.

About the author

Alex Sonna