Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

deneme bonusu

bahiscom

betgit

betgaranti

grandpashabet

grandpashabet

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

lordcasino

marsbahis

luxbet

gobahis

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

vipslot

millibahis

realbahis

marsbahis

marsbahis

marsbahis giriş

meritking

meritking giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

meritking giriş

realbahis

vipslot giriş

norabahis

luxbet

betnis

betnis

parmabet

betplay

Hacklink panel

pokerklas

jojobet

Google

holiganbet

jojobet

rekorbet giriş

mislibet giriş

kareasbet giriş

vipslot

netbahis

meybet giriş

netbahis

betra

primebahis

tümbet

tümbet giriş

betzula

betzula giriş

onwin

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

betzula

betzula giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

betpark

casibom giriş

meritbet

meritbet giriş

uyuşturucu satın al

xxxx

runtobet

runtobet giriş

1xbet

marsbahis, marsbahis giriş

gameofbet

jojobet

netbahis giriş

prensbet

lordcasino giriş

ganobet

gobahis giriş

orisbet giriş

kareasbet

orisbet

millibahis

betnis giriş

orisbet giriş

parmabet giriş

kareasbet

maritbet

kareasbet giriş

gobahis giriş

prensbet giriş

aresbet giriş

vaycasino

prensbet

orisbet

luxbet giriş

meybet

meybet

millibahis giriş

marsbahis giriş

norabahis giriş

ganobet

perabet giriş

mislibet giriş

vipslot giriş

meybet giriş

rekorbet

goldenbahis

goldenbahis

perabet, perabet giriş

alobet, alobet giriş

deneme bonusu

casibom giriş

cratosroyalbet

starzbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

cratosroyalbet

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

pusulabet

pusulabet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

Grandpashabet

holiganbet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

amgbahis

casibom

mavibet

jojobet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

ibizabet

jojobet giriş

goldenbahis

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

elitbahis

mislibet giriş

betnis

norabahis

elitbahis

mavibet güncel giriş

mavibet giriş

jojobet

mavibet giriş

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet

cratosroyalbet güncel giriş

mavibet

jojobet güncel giriş

mavibet

cratosroyalbet giriş

cratosroyalbet güncel giriş

deneme bonusu

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

jojobet

jojobet

casibom güncel giriş

jojobet

casibom

jojobet

monobahis

deneme bonusu

deneme bonusu

tipobet

bets10

sekabet güncel giriş

casibom

grandpashabet

casibom

jojobet

grandpashabet

jojobet

jojobet

nerobet

goldenbahis

jojobet

Hacklink panel

tümbet

safirbet

test55

Hacklink panel

Hacklink giriş

taksimbet

Featured Kitaifa

WAZIRI MAVUNDE ATOA TAARIFA YA MAFANIKIO MAKUBWA YA SIKU 100 ZA RAIS SAMIA

Written by mzalendo

Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde,akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 26,2026 katika Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan katika siku 100 za kipindi cha Uongozi wake katika awamu ya sita.

Na.Alex Sonna – DODOMA

Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa ahadi na maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ndani ya siku 100 za kipindi cha pili cha uongozi wake katika Awamu ya Sita, hatua inayoendelea kuipa Sekta ya Madini mchango mkubwa katika uchumi wa Taifa.

Akizungumza leo Januari 26,2026 na waandishi wa habari jijini Dodoma, Mhe.Mavunde,amesema kuwa taarifa hiyo imejikita katika maeneo 10 ya kimkakati yanayochochea ukuaji wa sekta na kuimarisha ustawi wa wananchi wanaofaidika na rasilimali za madini.

Makusanyo Ya Maduhuli Yapaa Kwa Kiwango Cha Rekodi
Waziri Mavunde,amefafanua kuwa makusanyo ya sekta hiyo yameongezeka kutoka Sh bilioni 213.36 mwaka 2016/17 hadi kufikia Sh trilioni 1.07 mwaka 2024/25, sawa na asilimia 107.13 ya lengo lililowekwa. Katika kipindi cha Julai hadi Desemba 2025 pekee, sekta imekusanya Sh bilioni 653.94, ambazo ni asilimia 108.99 ya lengo kwa kipindi hicho.

“Kati ya Novemba 2025 na Januari 25, 2026, jumla ya Sh bilioni 311.80 zimekusanywa, sawa na asilimia 111 ya lengo la Sh bilioni 280.64. Amesema mafanikio hayo yametokana na uimarishaji wa mifumo ya usimamizi, udhibiti wa biashara ya madini na mapambano dhidi ya utoroshaji wa madini.”amesema Mhe.Mavunde

Sekta Ya Madini Yapanda Katika Pato La Taifa
Amesema Sekta ya Madini imeendelea kukua kwa kasi ambapo mchango wake katika Pato la Taifa umeongezeka kutoka asilimia 6.8 mwaka 2020 hadi asilimia 10.1 mwaka 2024. Katika robo ya kwanza ya mwaka 2025 mchango huo ulifikia asilimia 11 na kuongezeka hadi asilimia 12 katika robo ya pili.

Uongezaji Thamani Wa Madini Waongezeka
Waziri Mavunde amesema kuwa maandalizi ya Mkakati wa Uongezaji Thamani Madini wa miaka mitano (2026/27 – 2030/31) yamefikia hatua nzuri, huku viwanda vya uongezaji thamani vikipangwa kujengwa katika mikoa ya Arusha, Dodoma, Kahama, Mbeya, Lindi na Pwani.

Aidha, amesema ujenzi wa jengo la Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) unaendelea, mradi ukiwa umefikia asilimia 10. Tani 14.66 za dhahabu zenye thamani ya Sh trilioni 3.75 zimeuzwa katika viwanda vya usafishaji dhahabu nchini kati ya Julai na Desemba 2025, huku BOT ikiongeza akiba ya dhahabu kwa kununua tani 17.03 zenye thamani ya Sh trilioni 4.97.

“Wizara kupitia STAMICO pia iko katika hatua za mwisho za kukamilisha mtambo wa kusafisha chumvi uliopo Kilwa, wenye uwezo wa kuzalisha tani 24,480 kwa mwaka, unaotarajiwa kuanza kazi Februari 2026.”amesema

Ajira Kwa Watanzania Zaongezeka Kwa Kasi
Akizungumzia ushiriki wa Watanzania katika miradi ya madini (local content), Waziri Mavunde amesema kuwa ajira zimeongezeka kutoka 6,668 mwaka 2018 hadi 18,853 mwaka 2024, sawa na asilimia 97 ya ajira zote katika sekta hiyo mwaka huo.

Manunuzi ya bidhaa na huduma kwa kampuni za Kitanzania yaliongezeka kutoka Sh trilioni 1.85 mwaka 2018 hadi Sh trilioni 4.41 mwaka 2024, sawa na asilimia 88 ya manunuzi yote.

Utoaji Wa Leseni Waongezeka
Waziri Mavunde amesema kuwa hadi kufikia Desemba 2025, jumla ya leseni 12,130 zilitolewa sawa na asilimia 117.8 ya lengo la mwaka 2024/25. Kati ya Julai na Desemba 2025 pekee leseni 8,418 zilitolewa, sawa na asilimia 147 ya lengo la kipindi hicho.

Aidha,amesema leseni 73 zilifutwa baada ya kubainika kutokuendelezwa, maeneo hayo yakitarajiwa kutengwa kwa wachimbaji wadogo, vijana na wanawake kupitia programu ya MBT.

Biashara Ya Madini Yaongezeka Nchini
Katika mwaka wa fedha 2024/25, Wizara ilisajili masoko 44 na vituo 114 vya ununuzi wa madini, ambapo biashara ya Sh trilioni 4.031 ilifanyika. Kati ya Julai – Desemba 2025 biashara ya Sh trilioni 3.102 ilifanyika kupitia masoko hayo.

Maabara Za Kisasa Zaongezewa Nguvu
Mhe.Mavunde amsema wizara imeanza ujenzi wa maabara kubwa ya kisasa ya uchunguzi wa sampuli za madini Kizota, Dodoma, yenye thamani ya Sh bilioni 14.3. Sambamba na hilo, ujenzi wa maabara za kanda Chunya na Geita unaendelea, huku sampuli 19,705 zikichambuliwa kati ya Julai – Desemba 2025.

Minada Ya Vito Yaleta Mapato
Waziri amesema minada mitatu ya vito iliyofanyika Mirerani na Arusha imeingiza madini yenye thamani ya Sh bilioni 2.74, huku Serikali ikipata zaidi ya Sh milioni 247 kupitia ada mbalimbali. Wizara pia inaandaa kurejesha Arusha Gem Fair (AGF) ifanyike kila mwaka.

Nishati Safi Ya Kupikia Yaendelea Kusogezwa Kwa Wananchi
Pia Waziri Mavunde amesema kuwa wizara imenunua mitambo miwili ya kuzalisha Rafiki Briquettes inayosimikwa Tabora na Dodoma, itakayokamilika Februari – Machi 2026. Pia imegawa makontena 10 katika mikoa mbalimbali na kukamilisha ununuzi wa pikipiki 30 zitakazokabidhiwa mawakala Februari 2026.

Utafiti Wa Madini Waongezewa Kasi
Serikali imetekeleza utafiti katika QDS 221 na 222 Rufiji na Kibiti, na kuongeza eneo lililofanyiwa utafiti hadi asilimia 98. Aidha, vituo 32 vya kufuatilia matetemeko ya ardhi vimesimikwa, hatua inayoongeza usalama katika shughuli za madini.

About the author

mzalendo