Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Jumamosi, tarehe 24 Januari,2026, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Jumamosi, tarehe 24 Januari,2026, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.
