Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Alhamis, tarehe 27 Novemba 2025, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, leo Alhamis, tarehe 27 Novemba 2025, Afisi Kuu ya CCM, Kisiwandui, Zanzibar.
