marsbahis giriş

marsbahis giriş telegram

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Eros Maç Tv

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

meritking

Hacklink panel

Postegro

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

หวยออนไลน์

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

meritking giriş twitter

new unblocked games

totalsportek

retro bowl

betpas

casibom

Brain Savior Review

artemisbet

https://guinguinbali.com/

casibom giriş

jojobet

NervEase

escort sakarya

sakarya escort

izmit escort

imajbet

vdcasino

meritking giriş

ganobet

bets10 giriş

jojobet

holiganbet

ibizabet

jojobet

dizipal

1xbet

1xbet

cratosroyalbet

marsbahis

marsbahis

artemisbet

artemisbet

kavbet giriş

mislibet

betra

kavbet

aresbet

jojobet

betasus giriş

holiganbet giriş

kulisbet, kulisbet giriş

alobet, alobet giriş

betparibu, betparibu giriş

bekabet, bekabet giris

jojobet

Superbetin giriş

jojobet giriş

pokerklas

สล็อตออนไลน์ theprepperwebsitepodcast com

perabet

trimology review

jojobet

holiganbet

holiganbet giriş

jojobet

holiganbet

holiganbet

pusulabet

holiganbet giriş

Nitric Boost

tarafbet güncel giriş

betebet

betgar, betgar giriş

tipobet

jojobet

retro bowl

retro bowl unblocked 76

jojobet

dinamobet güncel giriş

holiganbet

holiganbet giriş

alpha fuel pro

Alpha Fuel Pro

trimology review

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

netbahis

netbahis giriş

netbahis

netbahis giriş

starzbet

Gamdom

grandpashabet giriş

bets10

betsmove

mavibet

bets10 giriş

betsmove

netbahis

netbahis giriş

casibom

royalbet

bibubet

https://pasands.com/

يلا شوت

hantavirus token

restbet

kumar siteleri

kralbet

Grandpashabet

tümbet

tümbet giriş

tümbet

tümbet giriş

parmabet

kavbet

kavbet giriş

kavbet

kavbet giriş

artemisbet

artemisbet

artemisbet giriş

parmabet

parmabet giriş

mislibet

parmabet

vdcasino

marsbahis

Featured Kitaifa

JOHARI:MIKATABA YA UBIA IZINGATIE MASLAHI YA TAIFA

Written by Alex Sonna

 

MWANASHERIA  Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari,akizungumza leo Oktoba 7, 2025, jijini Dodoma, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

MWANASHERIA  Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari,akizungumza leo Oktoba 7, 2025, jijini Dodoma, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

MKURUGENZI  wa Huduma za Sheria kutoka PPPC, Bi. Flora Tenga,akizungumza wakati wa  mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

MKURUGENZI  wa Huduma za Sheria kutoka PPPC, Bi. Flora Tenga,akizungumza wakati wa  mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

SEHEMU ya washiriki wakimsikiliza Mwanasheria  Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari (hayupo pichani),wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

MWANASHERIA  Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

Na Alex Sonna-DODOMA

MWANASHERIA  Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari, amewataka mawakili wa serikali kuhakikisha maslahi ya taifa yanapewa kipaumbele wakati wa majadiliano na usimamizi wa mikataba ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPP), ili miradi hiyo iwe na manufaa kwa Watanzania.

Mhe. Johari ametoa wito huo leo Oktoba 7, 2025, jijini Dodoma, wakati wa kufungua mafunzo ya siku tatu kwa mawakili wa serikali kuhusu masuala ya ubia, yaliyoandaliwa na Kituo cha Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC).

Mafunzo hayo yamelenga kuwawezesha mawakili wa Serikali  kuelewa kwa kina dhana ya PPP, sheria na mwongozo wake, pamoja na namna bora ya kusimamia, kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa miradi ya ubia kati ya Serikali na sekta binafsi.

Amesema kuwa  mafunzo hayo yanatarajiwa kuwajengea uwezo mawakili wa serikali kuhusu misingi ya miradi ya ubia, mfumo wa kisheria unaosimamia PPPC nchini, usimamizi wa vihatarishi, majadiliano na usimamizi wa mikataba ya ubia, pamoja na mifumo ya kifedha inayotumika katika utekelezaji wa miradi hiyo.

“Naamini baada ya mafunzo haya, mawakili wa serikali wataimarika katika kushauri, kujadiliana na kusimamia masuala ya kisheria kuhusu mikataba ya PPPC kwa ufanisi, huku wakihakikisha maslahi ya taifa yanabaki kuwa kipaumbele,” amesema Mhe.Johari

Aidha ameongeza kuwa mikataba ya ubia ni nyenzo muhimu katika kufanikisha maendeleo ya taifa, hivyo ni lazima iandaliwe kwa umakini na kwa kuzingatia maslahi ya muda mrefu ya nchi.

“Hii itasaidia kufanikisha malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, ikiwemo kuboresha maisha na kuongeza kipato kwa wananchi,” amesisitiza Mhe. Johari.

Hata hivyo amesema kuwa  serikali imeweka misingi madhubuti ya kisheria na kitaasisi kusimamia miradi ya ubia, ikiwa ni pamoja na kutungwa kwa sera na sheria husika, ili kuhakikisha ubia huo unaleta manufaa kwa pande zote mbili.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kutoka PPPC, Bi. Flora Tenga, amesema kuwa mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo mawakili wa serikali ili waweze kusimamia mikataba ya ubia kwa ufanisi na kuliepusha taifa na hasara.

“Mwanasheria Mkuu ndiye mwenye jukumu la kutekeleza mikataba ya ubia kwa niaba ya serikali. Hivyo ni muhimu mawakili wake wakapata mafunzo haya ili kuepuka makosa ya kisheria yanayoweza kulisababishia taifa hasara,” amesema Bi. Tenga.

Aidha ameongeza kuwa mikataba yoyote lazima ipitie hatua stahiki, ikiwemo tathmini ya thamani ya fedha, maandiko ya kisheria na ukaguzi wa kina kabla ya kutiwa saini. Kukosekana kwa mojawapo ya hatua hizo kunaweza kuleta changamoto kubwa.

Naye Mshiriki Moja kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw.Stanslaus Silayo,ametoa shukrani kwa Kituo cha PPPC kuwapa mafunzo hayo ambayo  yatawasaidia kuingia mikataba yenye tija kati ya serikali na sekta binafsi na kupunguza hatari ya hasara kwenye miradi ya ubia.

About the author

Alex Sonna