Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Backlink paketleri

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Illuminati

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink Panel

Hacklink

Masal oku

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink Panel

Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink

Buy Hacklink

Hacklink

Hacklink

Hacklink satın al

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Hacklink panel

Masal Oku

Hacklink panel

Hacklink satın al

Hacklink Panel

unblocked games

unblocked games 76

new unblocked games

retro bowl

retro bowl

retro bowl unblocked 76

casibom giriş

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacklink Panel

Hacking forum

aresbet, aresbet giriş

betcio, betcio giriş

cratosroyalbet, cratosroyalbet giriş

tipobet

jojobet

ilbet

ilbet giriş

pulibet

cratosroyalbet

tarafbet

kavbet

betgar giriş

bets10 güncel giriş adresi

betsat giriş

betebet

jojobet giriş

ilbet

hilbet

jojobet giriş

casibom güncel giriş

Ankara escort

casibom

güvenilir bahis siteleri

film izle

vdcasino giriş

betasus

marsbahis, marsbahis giriş

Google

bahiscasino

ultrabet

betasus

casibom

Greece Fentanyl Buy

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

jojobet

jojobet

casibom giriş

jojobet giriş

sweet bonanza giriş

sweet bonanza

deneme bonusu

sekabet

1win

holiganbet

pusulabet

marsbahis

vdcasino giriş

vdcasino

vdcasino

limanbet

marsbahis

betnano

parmabet

kingroyal

jojobet giriş

jojobet

aresbet giriş

aresbet

mislibet

marsbahis

marsbahis

mavibet

meritking

marsbahis giriş

mavibet güncel giriş

marsbahis güncel giriş

marsbahis güncel giriş

limanbet

bahiscasino giriş

royalbet

mislibet

aresbet

royalbet

parmabet

holiganbet

Hacklink panel

betpas

jojobet

Google

jojobet

holiganbet

bahiscasino giriş

mislibet giriş

royalbet giriş

royalbet giriş

marsbahis giriş

perabet

betpark

parmabet

primebahis

tümbet

tümbet giriş

otobet

otobet giriş

sahabet

meritking giriş

meritking güncel giriş

padişahbet

realbahis

sonbahis

cratosslot

1xBet Giriş

otobet

otobet giriş

roketbet 2026

deneme bonusu

deneme bonusu

deneme bonusu

mavibet giriş

timebet

timebet

casibom giriş

meritbet

casibom

uyuşturucu satın al

matbet

runtobet

runtobet giriş

1xbet

pokerklas, pokerklas giriş

meritbet

jojobet

perabet giriş

perabet

betnano giriş

betpark giriş

gobahis giriş

betnano

betnano giriş

bahiscasino

gobahis

limanbet giriş

betnano giriş

parmabet giriş

betnano

betkolik giriş

perabet giriş

gobahis giriş

royalbet giriş

aresbet giriş

vaycasino giriş

betkolik

bahiscasino

gobahis giriş

bahiscasino giriş

bahiscasino

aresbet giriş

marsbahis giriş

parmabet giriş

betpark

perabet giriş

mislibet giriş

perabet

limanbet giriş

limanbet giriş

grandbetting

parmabet

matbet, matbet giriş

betcio, betcio giriş

deneme bonusu

kavbet giriş

deneme bonusu veren siteler

meritbet

kingroyal

https://sjconsultors.com/

ikimisli

kavbet

enjoybet

sakarya escort bayan

casibom güncel giriş

jojobet giriş

Samsun Avukat

sezarcasino

sezarcasino

Mariobet

Mariobet

betbox

casibom

mavibet giriş

meritking

dedektör

vdcasino giriş

marsbahis

jojobet

deneme bonusu veren siteler

jojobet giriş

jojobet güncel giriş

jojobet

betsat

bets10 sorunsuz giriş

jojobet

betgit

turkey dental implants

mavibet

mavibet giriş

setrabet

jojobet

anadoluslot

süratbet

jojobet giriş

betvoy

meritking

meritking giriş

meritking güncel giriş

kingroyal

bets10

bets10 giriş

vdcasino

aresbet

mislibet giriş

gobahis

limanbet

mislibet

mavibet

mavibet giriş

mavibet

aresbet giriş

kavbet

kavbet giriş

ikimisli giriş

ikimisli

ikimisli giriş

ultrabet

ultrabet giriş

mavibet

deneme bonusu veren siteler

deneme bonusu veren siteler

romabet

meritking

deneme bonusu veren siteler

av ซับไทย

vdcasino

vdcasino

xxxเย็ดยับ

Jojobet

Jojobet

Featured Kitaifa

KAMPUNI YA CRCEG INATEKELEZA KWA UBORA NA KASI UJENZI UWANJA WA AFCON ARUSHA – SERIKALI

Written by Alex Sonna

 

Na Prosper Makene, Arusha

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ameipongeza Kampuni ya CRCEG ya kutoka nchini China ambayo inajenga uwanja wa mpira wa miguu jijini Arusha utakaotumika kwa michuano ya AFCON 2027 kwa kuweza kujenga uwanja huo kwa kasi na viwango vya hali ya juu.

Akizungumza mwishoni mwa wiki wakati wa halfa ya kumalizika kwa awamu ya kwanza ya ujenzi wa zege na kuanza rasimi kufunga paa la uwanja huo, Naibu Waziri amesema kuwa ni mara ya kwanza nchini kuona mkandarasi anamaliza kazi aliyopewa kabla ya muda kwani amemaliza awamu ya kwanza siku 20 kabla ya  muda uliopangwa kwenye mkataba.

Mwinjuma alimaalufu kama Mwana Fa amesema: “Mkataba huu wa ujenzi wa uwanja mkubwa wa michezo jijini Arusha, ulitiwa saini tarehe 19, mwezi wa 3, mwaka jana (2024), lakini natambua kazi rasmi zilianza tarehe 25, mwezi wa 7, mwaka huo huo, baada ya utaratibu wa kukabidhiana site pamoja na shughuli zingine za awali kukamilika. Mkandarasi amepewa jukumu la kufanya usanifu, kujenga, na kufanya manunuzi muhimu yatakayokamilisha usanifu wa mradi huu kwa kuzingatia vigezo elekezi.” 

Aliongezea, “Hivyo, tangu mradi kuanza, mkandarasi ulijielekeza kuanza kazi zako katika maeneo hayo mara moja kwa kushirikiana na Mshauri Elekezi wa Wizara, Dar Al-Handasah, ili kutekeleza majukumu yako ya kikimkataba. Kwa kumbukumbu nilizonazo, kazi hii kwa upande wa ujenzi katika saite, hususan umwagaji wa zege, ulianza kutekelezwa tarehe 25, mwezi wa 11, mwaka 2024. .Leo hii, tarehe 19, mwezi wa 7, mwaka 2025, ikiwa ni siku 236 baadaye, shughuli kubwa ya kumwaga zege takribani mita za ujazo elfu 50 inakamilika. Hii inadhihirisha umakini, weledi, na ustadi wa hali ya juu wa Mkandarasi.”

Naibu Waziri aliendelea kusema kuwa kazi hiyo iliyotukuka ya mkandalasi inawapa tumaini kubwa Serikali na watekelezaji wa mradi huo, kuwa kazi itakamilika kwa wakati na kwa viwango tunavyotarajia. 

“Kwa kasi hii mliyoionyesha, Watanzania wana uhakika wa kuwa wenyeji wa mashindano ya AFCON mwaka 2027, nasi tunajivunia kusimama mbele yao tukiwadhihirishia, kwa vitendo, kuwa shauku yao itatimia. Mradi unatazamiwa kukamilika tarehe 24 mwezi wa 7 mwaka kesho, na tunaamini hilo linawezekana. Hii itatuwezesha kuutumia uwanja, kuujua na kujiandaa vizuri kabla ya mashindano ya AFCON.”

Mwana Fa alieleza kuwa, mafanikio na kasi ya CRCEG mpaka kufikia hatua hii ni kutokana na ushirikiano ambao kwanza Serikali, kupitia Wizara yake ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, unauonyesha kwa kufanya malipo kwa wakati na kutoa ushirikiano katika vyombo vingine mbalimbali vya kiserikali vinavyosimamia shughuli hii pale unapohitajika. 

“Aidha, kwa kurahisisha shughuli za Mkandarasi za kitaalamu na usimamizi, natambua mchango mkubwa unaowekezwa katika utekelezaji wa mradi kupitia Mshauri Elekezi, Dar Al-Handasah, pamoja na Ofisi ya Msimamizi wa Wizara iliyopo hapa hapa site, yaani Clerk of Work. Vile vile tunatambua kuwa kuwepo kwa ofisi hizi katika mradi kunasaidia kuzitatua changamoto kwa wakati pindi zinapojitokeza, lakini pia kurahisisha utekelezaji na kusababisha Mkandarasi kujielekeza mojakwa moja katika utekelezaji wa mradi, ” alisema Naibu Waziri na kusisitiza.

“Ushirikiano huu unazidi kujenga mahusiano yetu, kati ya mtu mmoja mmoja, makampuni ya kichina na ya wazawa kupitia mikataba midogo, wafanyabiashara na wataalamu wa ndanii inasaidia kuhamisha ujuzi na kubakiza ufanisi nchini, na pia inazidi kuimarisha mahusiano kati ya Serikali ya Tanzania na China..”

Mwana Fa ambaye pia ni Mbunge wa Muheza alisema kuwa mradi huo ni mmoja wa miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Mheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. “Pongezi na asante nyingi zimfikie, anapoona juhudi hizi bila shaka zinamtia moyo na kuzidi kumuhakikishia kuwa thamani ya pesa na maono ya Serikali yake yana tija na kuwapa tumaini watanzania.”

Alimalizia kwa kusema kuwa mradi huo ni wa kimkakati, unaodhamiria kuongeza chachu ya michezo nchini, ikiwa ni jitihada za makusudi kulea vipaji na kutengeneza jamii yenye nguvu na afya borakupitia michezo. 

“Niwatie moyo wakandarasi na wadau wote wanaohusika katika utekelezaji wa mradi huu; historia inajengwa, na tunayo kila sababu ya kujivunia kuwa miongoni mwa watekelezaji. Mradi huu ukaweke alama nyingine kubwa katika uhusiano kati ya Tanzania na China.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Arusha Kenani Kihongosi amesema: “imekuwa nikiufuatilia kwa ukaribu sana mradi huu wa ujenzi wa uwanja mkubwa wa michezo jijini Arusha tangu ulipoanza kutekelezwa mwaka jana(2024). Sababu ya kuufuatilia mradi huu kwa ukaribu huo ni kutokana na kuwa miongoni mwa miradi mikubwa inayotekelezwa na Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo zaidi ya shilingi Bilioni 338 za Kitanzania zinawekezwa katika utekelezaji wa mradi huu.”

RC aliongezea: “Lakini pia, mimi ni mdaumkubwa wa michezo, nikiamini kuwa michezo ni nguzo mojawapo ya kuimarisha afya na nguvu kwa vijana ambao ni taifa la kesho, na kwa Watanzania wote kwa ujumla.”

Amesema kuwa anatambua kuwa mradi huo unatarajiwa kukamilika ifikapo tarehe 24 mwezi wa saba mwaka kesho. “, Mimi, kama ilivyokuwa kwa watangulizi wangu, nafurahishwa na juhudi zinazofanywa na mkandarasi katika utekelezaji wa mradi.

Kwa kasi ninayoiona, ni wazi kuwa mradi utakamilika ndani ya wakati, ili wakazi wa Arusha wawe wa kwanza kuutumia uwanja huu na kuonajuhudi inayofanywa na serikali yao,si kwa maneno tu bali kwa vitendo.”

Aliongezea kuwa Arusha ni kitovu cha utalii, na uwanja huu ni kivutio kingine cha utalii wa michezo.

“Hivyo, naendelea kuwaasa wakandarasi na wadau wote kuendelea kufanya kazi kwa bidii na kwa kujituma ili kukamilisha mradi kama inavyotarajiwa. Kiuchumi, natambua jinsi ambavyo shughuli za ujenzi wa uwanja huu umetengeneza ajira kwa vijana na wanawake wengi,” alisema.

RC Kihongosi alisistiza; “Lakini pia, utakapokamilika, uwanja huu utazalisha ajira zaidi, kuibua biashara mpya zinazohusiana na michezo na burudani, kukuza sekta ya utalii, na kuchangia katika pato la taifakwa ujumla. Kwa hiyo, kwangu mradi huu ni wa muhimu sana, na nausubiria kwa hamu kubwa.”

Aliwaeleza wakandarasi wanatekeleza mradi huo kuwa atendelea kuwapa ushirikiano katika masuala yote ya kiutawala, utaratibu, vigezo, na usimamizi unaotarajiwa kutolewa na ofisi yangu pamoja na taasisi zilizo chini yake ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa mafanikio na viwango.

“Aidha, nitoe rai kwa wadau wote wa utekelezaji wa mradi huu kusimamia kwa umakini, kwa uadilifu, na kwa uwajibikaji mkubwa fedha na muda wa utekelezaji, ili thamani ya fedha ionekane na maono ya Serikali yatimie. Mafanikio ya mradi huu yatakuwa sababu nyingine ya kuendeleza mahusiano kati ya Serikali ya Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China, ” alisema.

Vilevile, amesema kuwa mradi huo umefungua fursa za kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo baina ya wataalamu na wakandarasi wa ndani, katika kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kwa maslahi ya Taifa la leo na la vizazi vijavyo.

Alimalizia kwa kusema: “Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha itaendelea kutoa ushirikiano wake kikamilifu ili kuhakikisha maandalizi ya mashindano ya AFCON yanafanyika kama yanavyotarajiwa, na kwa viwango vinavyokidhi matarajio ya nchi yetu.

“Kwa dhati kabisa, nichukue fursa hii kumshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa busara na wa kizalendo wa kuwekeza kwenye miundombinu ya michezo nchini,ikiwa ni sehemu ya kukuza vipaji, kuimarisha afya za Watanzania, na kulinda heshima ya nchi kimataifa.”

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kampuni ya CRCEG Wang Yusheng amesema: “Kwa niaba ya CRCEG, napenda kutoa shukrani kubwa kwa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo pamoja na serikali ya Tanzania kwa ukarimu, upendo, na msaada wao wakati wote tangu kuanza kwa mradi. Pia, nawashukuru vyema washauri elekezi, na timu zote zilizoshiriki katika ujenzi huu mpaka kufikia hapa. Zaidi ya hayo, ninawapongeza wafanyakazi wote waliojitoa usiku na mchana kwenye mradi huu mpaka kupelekea kazi hii kufikia hapa, tunawashukuru sana.”

Yusheng aliongezea: ” Tangu kuanza kwa ujenzi wa Uwanja huu wa Michezo mnamo tarehe 25 Julai 2024, chini ya uangalizi wa viongozi wetu na msaada wa wadau mbalimbali, tumeshinda changamoto nyingi. Kwa bidii ndani ya siku 360, tumefanikiwa kumaliza kazi ya zege kwa siku ishirini kabla, na haya ni mafanikio makubwa ya awali.”

Amesema kuwa ujenzi wa uwanja huo ni mfano mzuri katika kuonyesha ushirikiano wa nchi ya China na Tanzania, na uthibitisho wa jitihada za CRCEG katika kuijenga “Mpango wa Mkanda Moja na Njia Moja”. Hii ni kuhakikisha uwanja unakamilika kwa ubora. Uwanja huu utakuwa jukwaa jipya la michezo wa mpira wa miguu, likisaidia Tanzania kukua kimichezo, kuboresha sura ya jiji, na kuvuta fursa za maendeleo. Pia kuleta mchango mpya kwenye uchumi wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.

“Tunatambua kuwa hii ni hatua moja, lakini bado kuna hatua nyingine zaidi ili kukamilisha mradi huu. Hatua hii ya mwanzo ni mwendelezo wa jitihada mbalimbali ambazo tayari tumezianzisha. Huu ni ushaidi wa dhamira yetu ya kusonga mbele ili kufanikisha malengo ya mradi huu. Kwa dhima ya “Uhuru, Umoja na Kazi” ya Reli ya TAZARA, tutaendelea kufanya kazi kwa bidii, kupanua mipango, na kuhakikisha mradi unakamilika kwa wakati mnamo Julai 2026.

“Mwisho, Nawatakia kila la kheri, katika majukumu yenu ya kujenga Taifa, na tunatarajia uwanja huu kukamilika ili utumike kama ilivyopangwa. Hii itachochea kuimarika kwa urafiki kati ya nchi ya China na Tanzania mara dufu. Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, Naibu waziri na wageni wote, nawatakia Afya njema na mafanikio makubwa.Asante”.

 

About the author

Alex Sonna