MRAJIS Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara, Absalom Cheliga,akizungumza wakati akifungua Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
MRAJIS Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara, Absalom Cheliga,akizungumza wakati akifungua Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
MRAJIS Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Manyara, Absalom Cheliga,akizungumza wakati akifungua Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
AFISA Ushirika Mwandamizi kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Bi.Happyness Olotu,akiwasilisha mada wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
AFISA Ushirika Mwandamizi kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Bi.Happyness Olotu,akiwasilisha mada wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
AFISA Ushirika Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) ,Justin Mogendi,akiwasilisha mada wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
AFISA Ushirika Mkuu Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) ,Justin Mogendi,akiwasilisha mada wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
AFISA Ushirika Wilaya ya Simanjiro, Moses Kaaya ,akizungumza wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.
SEHEMU ya washiriki wakisikiliza mada mbalimbali wakati wa Mafunzo kwa Wanachama wa Vyama vya Ushirika vya Mazao ya Bustani ikiwa ni utekelezaji wa Mradi kwa awamu ya pili Mwaka 2024/25 yaliyofanyika leo Juni 2,2025 Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara.